Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeongezea - From CCM member!CCM wakikupa hata ujumbe wa jumuia yeyote ngazi ya kata, nahama CCM.
I swear!!!
Ndugu zangu
Kamwe sitachoka kuwaelimisha vijana wenzangu hapa jukwaani9
Leo mimi kama kiongozi wa zamani wa chadema na muasisi mkuu wa Chadema UK nakuletea sababu tatu kuu za kuiogopa chadema
No 1. Chadema ni wakabila na wabaguzi sana, mfano mzuri ni ishu ya lwakatare kutibiwa third class wakati Nassari aliejigonga pua kutibiwa first class
![]()
![]()
No 2 . ni wadini
Mimi nikiwa kiongozi wa Chadema UK wakati huo nililazimishwa na Lema kuweka mkutano wa Chadema Bar bila kujali kuwa wenzetu waisilamu walikuwa wamefunga hivyo wasingeweza kuja bar kuhudhuria mkutano lakini pamoja na ushauri wote Lema alisema tuachane nao waisilamu kwani hawahitajiki chadema
![]()
Matapeli
Wakati mnahangaika kuchangia M4C wao wanatumia hizo hela kwenda holiday ulaya wakati wanashindwa kutoa matibabu kwa makamanda wa juu kama lwakatare kisa eti hajatoka kaskazini
Dr Slaa kajikopesha mamilioni wakati makamanda kibao wana njaa kali hawasaidiwi zaidi ya kupewa viroba viwavuruge akili
JITAMBUE!
CCM wakikupa hata ujumbe wa jumuia yeyote ngazi ya kata, nahama CCM.
I swear!!!
For what I know kuna tofauti moja ya msingi kati ya Lwakatare na Nassar. Wakati Nasar ni Mbunge ambapo nadhani Mbunge anapoumwa gharama zinakuwa chini ya bunge, Lwakatare yeye sio mbunge and so, kutokana hilo hoja yako hii inakosa uzito labda kama ungemtaja kiongozi yeyote wa CHADEMA mwenye hadhi sawa na Lwakatare lakini yeye alipoumwa alikuwa handled with First Class care.....hata hivyo, hapa pia unapaswa kuwa makini; manake mtu kama Ndesamburo hata kama asingekuwa Mbunge anaweza kutibiwa First Class kwa kutumia gharama zake mwenyewe! So, hata kama una mfano wa mwana-CHADEMA ambe sio mbunge ambae amepata kutibiwa first class ni lazima uwe na uhakika kwamba gharama zilikuwa covered na CHADEMA!No 1. Chadema ni wakabila na wabaguzi sana, mfano mzuri ni ishu ya lwakatare kutibiwa third class wakati Nassari aliejigonga pua kutibiwa first class
![]()
![]()
Jambo likizungumzwa sana na kurudiwa sana linakua kweli
Umeona eeeeeeeee!Tatizo kanda zingine zina misukule ya kaskazini! Msigwa, Wenje!
Mnyukano mkali unaoendelea ndani ya CHADEMA ni dhahiri ni baina ya kundi ambalo halitokei kaskazini na watu wa kaskazini(SLAA, LEMA, MBOWE, MNYIKA, n.k) wanaoamini kuwa chama kiliasisiwa kaskazini, kikalelewa kakskazini na pengine wana imani kuwa bila ya watu wa kaskazini CHADEMA hakitakuwepo tena.
Ombi langu ni viongozi wengine wa CDM ambao hawatokei kaskazini(mimi namjua HECHE peke yake kwa sababu ni ndugu yangu) waje waseme, hii nguvu waliokuja nayo akina LEMA kama zina chembechembe za u-kaskazini au la, na kama ndiyo hivyo hawaoni kama wao kuendelea kuwepo CHADEMA wanasaliti wenyeji wa mikoa kwa vile na wao wanawahitaji kuwapigania?
Sasa hivi mnyukano uliopo tunaoujua ni Kati ya LOWASA, SITA, MEMBE Na SUMAYE.
Hayo mengine Ni ya kwako Na Lumumba.