Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Umeona eeeeeeeee!

Jamaa hata hawajitambui kabisa kwenye maisha yao wanatumikia kafiri wapate ulaji.

mtatapatapa sana na hiyo hoja yenu mfu.kama ni ukanda mzee wetu makani alitokea moshi sio? au heche naye ni mchaga? watu waliofilisika sera huwaza ukabila na udini.kwa taarifa yenu cdm ina wanachama na wapenzi wengi kanda ya ziwa kuliko hata kaskazini.
 

pls go to the point.
 

tuzungumzie meno ya tembo kwanza,nani anawajibika kwa kuwakumbatia wachina hapa nchini.hiyo ndiyo issue yenye maslahi ya taifa.achana na habari ya cdm
 
Huwa najiuliza sana, Hivi Lengo la Edwin Mtei kuanzisha CHADEMA lilikuwa ni nini?

Ndio maana nyie magamba hovyo kabisa. Kwani hivyo vingine havikuanzishwa na mtu? kwa taarifa yenu kaskazini haikwepeki. Mrema, Mbatia, etal wote ni wa kaskazini. Wake wa hao viongozi wenu asilimia 90 ni kask. Au mnabisha? HATA KINANA ni wa kaskazini, ukiacha Sumaye, na Mamvi yule fisadi LOwasa.

BTW je hivi ni nani mwasisi/mwanzilishi wa hili ccm lenu tokea TAA na alikuwa na lengo gani? Je alikuwa wa Kusini, mashariki, magharibi au kati?

Hizo alergy zenu za kikaskazini pelekeni huko kwenu.
 

Kama wananyanyaswa wanasubiri nini kuondoka? yaani ktk mamilion ya wanachadema wanyanyaswe wao tu? mbona mimi msukuma lakn sinyanyaswi? KAMATI KUU YA CDM INA WAJUMBE WANGAPI? NA WANATOKA MIKOA GANI? unategemea nani awajengee chama then wao waje waongoze tu,mwigamba hata uchaguzi tu wa madiwani aliukimbia wenzake wakahakisha ushindi unapatikana,alikuja magu kuomba ubunge halafu akaingia mitini hata familia ya kwao haimuelewi ipo hapa magu mtaa wa ibidanja.wasukuma ni watu ma giant na huwa si watu wa kulialia na kutegemea kubebwa na ukabila au udini.
 
Hatutamchagua mtu wala kumkataa kwa kabila lake wala dini yake na hatutamchagua mtu msaliliti eti tu yeye ni wa kanda yetu au kabila letu au kwa kigezo tu cha kuwaondoa wachaga au watu wa kaskazini. soure: mimi mwenyewe msukuma wa igoma mwanza
 
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.
Kama Bob Makani ni muasisi sasa suala la ukanda na udini linaloimbwa na chama cha familia yenu linatoka wapi huoni na nyie mnatakiwa mjipange pia?
 
Kwanini swala la ukabila linapozungumzwa watu humkimbilia makani kuwa ndio ngao halisi yakutokuwa wabinafsi? achani ukweli uitwe ukweli na uongo uite jina lake!
 
Bob Makani ndiyo kigezo? Weka hapa majina mengine ya viongozi wa ngazi ya juu wa chadema waisalamu japo 10 nikupe shilingi millioni moja haraka.
 
bob makani ndiyo kigezo? Weka hapa majina mengine ya viongozi wa ngazi ya juu wa chadema waisalamu japo 10 nikupe shilingi millioni moja haraka.

nadhani madai yako ndiyo madai dhaifu kabisa kupata kutokea hapa tangu jf izaliwe ! Hongera sana kwa kuvunja rekodi !
 

Dha'if sana!
 

KAMANDA , HAWA WOTE WANAOENEZA HIZO PROPAGANDA HILO WANALIFAHAMU BALI WANAFANYA HIVYO KAMA MBINU YA KUOKOA CCM , wala HATA SI WATU WA DINI HATA KIDOGO , NI WAVURUGAJI TU ! MIMI NAWAONA KAMA WAPAGANI , MAANA KUIUNGA MKONO CCM NI SAWA KABISA NA KUMWABUDU SHETANI .
 
Kwa akili yako ndogo umeona udini ni ukiristo tu!nikikwambia uweke viongozi wa chama fulani wakristo wafike 10 utaweka?
 
Kuna watu wanafurahia Mh Mbowe kuondoka kwenye nafasi ya Uenyekiti,kuna wanaotaka hata kuandamana ili aondoke,je chama ni cha kikabila kwasababu tu kwamba mwenyekiti ana kabila?Kwahiyo mwenyekiti akiwa mgogo basi chama ni cha kigogo?

Kuna anayeweza kuniambia ukabila uko wapi kwenye chama cha cdm?Je ni kweli kuwa mwenyekiti mchagga akiondoka ndo chama kitakuwa si cha wachagga?Ili linanitatiza sana tu!

 

Chama hiki kimejipambanua kuwa ni cha wachaga kwa kuzingatia mambo yafuatayo:
1. Viongozi wakuu wa juu hawakuchaguliwa kwa sifa bali ni kwa kabila lao. M/kiti, mtunza fedha akina mnyika. Makatibu wengi wa mikoa ni akina kilewo, munisi, kiwia
2. Kati ya wabunge 25 wa kuteuliwa hakuna wanaotoka mikoa ya kusini ya mtwara na lindi kama wapo tutajie
3. Asilimia kubwa ya wabunge wa kuteuliwa ni wachaga au watu wanaousiana na big fish kama vile rose kamili, dada yake lisu n.k.
4. Kwenye chadema sio tu chama cha kikabila bali ni chama chenye mwelekeo wa kifamilia.
 
nina ubhakika kuna watakaokuja na kuweka kujibu baadhi ya maswali yako hapo juu,however Lissu ni mchagga?chama ni cha kifamilia kwasababu tu kuna wenye uhusiano ambao wako ndani ya chama?je ccm ni chama cha kikwere kwasababu mwenyekiti na familia yake wana nfasi ndani ya chama?je chama hicho ni cha kifamilia?
 
Hakuna ukabila kwenye Chadema ni maneno ya watu wavivu kufikiria. Kuna viongozi wengi wa kaskazini kwasababu kuna wabunge wengi kaskazini. Zitto mafano wakati anaingia Chadema alikuwa kijana kidogo na hakuwa na kitu hivyo sio ukabila vilevile wanaosema Chadema ni chama cha Wachagga ni wana Chama au? kwasababu huwezi kuwa kiongozi kama si mwanachama. Sugu, Msigwa, Lissu, mbunge wa Mwanza wote hawa hawajatokea kaskazini!. Kama unataka kukosoa chama jiunge kwanza huwezi kuchagua watu tu wa Lindi wakati hawako kwenye harakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…