Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Usimlaumu kikwete suala la ubaguzi ni la ccm wote,wakati Wa mkapa wakati mrema yuko Nccr mageuzi walisema ni chama cha Wachaga,wakti Wa mkapa walisema cuf ni ya Waislam

Hili swala hata kama lilikwepo wakati ule si kwa kiwango cha sasa
Na lazima ukumbuke viongozi walilikemea kwa nguvu nyingi akiwepo mwalimu 1995
Mwaka 2010 hali ndio ilianza kuwa mbaya zaidi baada ya Ccm kuitumia dhana hiyo kurudi madarakani,Na baada ya kuhubiri ukabila na ukanda
Bado JK alikaa kimya bila kukemea,hali sasa sio shwari tena,Ni swala la muda tu hili bomu lazima litalipuka.na hakuna atakayekuwa salama pamoja na huyu JK
 

Inasemekana wengine waliingia mpaka Misikitini na kuwahadaa Waislamu huku wakiponda wagombea wa Imani zingine.
 
Siasa za ukanda zimeasisiwa na chama tawala hasa wakiwa kwenye majukwaa hasa katibu mwenezi waliona njia pekee ya kupambana na upinzani ni kuasisi siasa za ukabila.
2010 Jk alivoona hali ngumu na hakupata kura nyingi wakaanza kusingizia Ukristo.
Hamna kitu kibaya ka ubaguzi wao wanautumia ili kupata madaraka kwa kuwagawa Watanzania. Refer kauli ya Rizimoko kuwa Raisi hawezi kutoka kanda ya kaskazini kwani wao sio Watanzania.
 
Kwani kile CHADEMA ambacho kina wakurugenzi wote wa Kaskazini na Wakristo ni uzao wa Kikwete?
 
Kwani kile CHADEMA ambacho kina wakurugenzi wote wa Kaskazini na Wakristo ni uzao wa Kikwete?

kila kitu kinategemea asili yake, cdm mwasisi wake akimetoka kanda ya kaskazini na hakuanziasha kwa ajili ya kabila lake wala kwa watu wa kaskazini, na cuf vivyo hvyo! Sasa nyie mnaposimama majukwaan na kuhubiri udin mnataka kugawa watz, badiliken
 

Kula pilao yako huko ucje kutufia hapa na mapovu yako mdomoni hatu na maji hapa
 

Nimepoteza muda Wangu kusoma hii post na sijaelewa inamaanisha nini, nadhani usinge tumia viroba labda ungeeleweka
 
Siri ya undugu na ufamilia wa CHADEMA anajua Chacha Wangwe ambaye aliuawa na chama hicho.
Dada wa Mbowe alipoamua kujitoa CHADEMA na kujiunga CCM naye akafa ghafla.... Akili ku mkichwa
 
Wadau na wanaJF kwa mwenye safu au orodha ya uongozi wa CHADEMA atuwekee hapa ili tuiangalie (kwa jicho la Lissu) kama haina udini, undugu, shemeji wala ukanda.

UPDATE 1
Tuanze na Wenyeviti wa CHADEMA

Mtei babamkwe wa Mbowe, Mwenyekiti 1990-1997
Bob Makani shemeji yake Mtei, Mwenyekiti 1997- 2004
Mbowe mkwe wa Mtei, Mwenyekiti 2004 hadi sasa
 
Mzee Mtei alikuwa na akili , ilivyo anza CDM, structure yake ilikuwa Yeye, Bob Makani, Kimesera, Ngululipi, ? Marehemu Gibons Mwaikambo alikuwa on the way ku join? , lakini hawa watoto sio jua hesabu , wao wanafikiri maisha ni mdomo mchavu tu , ndio hivyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…