Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Wewe lazima akili zako zitakuwa mgando huwezi ukaandika hoja za kipuuzi kiasi hiki...
 
Irrelevant and outdated song of id.io.ts. Wake up you id.io.t!
 

kuna kitu kitu umekalia,ndo kinachokusumbua, ptuuuh!
 

godsenior hapa umenena kero yangu kubwa kuhusu Chadema. Binafsi nawafagilia sana Chadema, lakini kwenye suala la ukabila wananipa wasiwasi mkubwa. Kusema kweli bila ushabiki hili ni doa kubwa sana la Chadema, na watu kibao wanalisema japo kwa kunong'onanong'ona.

Angalizo: wahusika wasilifanyie mzaha bali walifanyie kazi ili watu wawe na imani kubwa na chama. Wasipofanyia kazi hili, kwenye uchaguzi ujao siwapi kura ya Urais honestly, ila nitawapa ya mbunge na diwani. Ilivyo sasa inajenga picha kwamba Chadema ikichukua nchi, ikulu watajaa wachaga tupu!
 


Jamani sidhani kama mimi nikiwa CEO mahali nitamchagua Director mbali na wale ninao wafahamu, lazima nimchague yule ninaye mfahamu siwezi kwenda manzese aje awe Director... CHA MUHIMU NI MTENDAJI MZURI NA ATALETA MATUNDA. Ukiangalia SERIKARI yetu hakuna aliye chaguliwa kuwa mkuu wa wilaya bila kufahamiana na anaye wachagua... hakuna aliyepewa ubalozi kama sio kabila, dini moja au hata walikwenda shule moja au mafunzo ya kijeshi pamoja nadhani utakumbuka kauli ya eidha ni Mh. Lowasa au Mh. Kikwete ".....hatukufahamiana leo au jana.... tumetoka mbali..." so hilo la chadema lisikushtue mkuu.... angalia UTENDAJI WAO. then JUDGE them

na SWALA LA mchumba wa zitto kuwa MCHAGA tatizo ni nini????????????? Ulitaka aje kwenye kabila lenu???? angekuja kwenu wachaga wangesema ameoa Mmakonde.... tutaishia wapi??????????
 

Sio sababu ya Msingi hiyo! Unataka kuniambia hakuna waliosama zaidi ya hao viti Maalum wa chadema?? Hoja hapa hiki chama hakina sura ya Utaifa! Ni kikundi cha watu Maalum kwa maslahi binafsi, huku wakitumia akili za watu kama wewe kujipatia uhalali!
 
Jk vs liziwan pwan na mashemej gasia binamu mahiza wapambe lukuvi..
Pinda vs tunu netball,
mwinyi vs mwinyi afya na east africa pm
-lowasa vs sioi mkwe na batilda kimada
-nchimbi vs mku wa mkoa dom mke
-malecela vs le mutuzi
-makamba vs januari
-mkapa vs mramba mume mwenza na dastani kule mtwara,
-kawawa vs vita na dadake,
-nape na babak,
-mwigulu na simbachawene wamekekana wazinzi,
-msekwa na ana abdala,
-6 na ma6,
-shelukindo na mama bitris,
-nyerere na makongoro,.
Da ebu niazimeni betri kamchina kangu kamekata chaji listi hi ni ndefu neza fika mpaka asbuh
 

Kwa sababu kichwani mwako umejaa ubinafsi/ubaguzi lazima hoja zako ziwe za kuangalia kibinafsi binafsi vinginevyo wapo wanaokutumia kwa kukupa msukumo
 

Acheni Upum****vu nyie... Dr. Slaa ni mchaga???, ZItto ni mchaga??? Lissu ni mchaga???? huyo mke wa Dr. Slaa niliskia ni "mhaya" (not sure) mbona hampigi kelele... Msigwa ni mchaga?? Nassari ni Mchaga??? Mdee ni mchaga??? na wako wengi wanao wakilisha chadema from different places wakiwa na identity zao na sio wachaga..... Mbeya - Mh. J.Mbilinyi.. mwanza, Ukerewe... msoma...

Mbona CUF imejaa waislamu na wakristo wa chache hamjasema lolote... hizi fikra ndio tatizo badala ya kuangalia utendaji tunabaki kubwabwajw kwenye vitu visivyo vya muhimu... ni mangapi yamevumbuliwa na chadema na tukashukuru kwa wao kuwa upinzani na hatukusema kwakuwa ni wachaga... acheni UJINGA... Leteni Hoja tusongeshe mbele gurudumu la nchi yetu...
 
Kwa sababu kichwani mwako umejaa ubinafsi/ubaguzi lazima hoja zako ziwe za kuangalia kibinafsi binafsi vinginevyo wapo wanaokutumia kwa kukupa msukumo

waambie Kengewakijani hao....Fikra fupi....
 

Huyu kweni ni ******-REMA
 
Sio sababu ya Msingi hiyo! Unataka kuniambia hakuna waliosama zaidi ya hao viti Maalum wa chadema?? Hoja hapa hiki chama hakina sura ya Utaifa! Ni kikundi cha watu Maalum kwa maslahi binafsi, huku wakitumia akili za watu kama wewe kujipatia uhalali!

Kweli fikra zako ni kama hiyo avata yako... haya linganisha viti maalu wa CCM na CHADEMA. na sura ya kitaifa ni ipi???????????? KIJANI au ndo kama alivyo sema "...KAMPENI NI YANGU NA FAMILIA YANGU....." HICHO NDIO kina sura ya kitaifa????

na ndio mana unakaa ardhini.. mizizi wewe.. inafikiria kwenda chini badala ya juu....
 

Huyu kweni ni ******.R.E.M.A
 
Sio sababu ya Msingi hiyo! Unataka kuniambia hakuna waliosama zaidi ya hao viti Maalum wa chadema?? Hoja hapa hiki chama hakina sura ya Utaifa! Ni kikundi cha watu Maalum kwa maslahi binafsi, huku wakitumia akili za watu kama wewe kujipatia uhalali!

sawa ata CCM ni kikundi cha dhaifu maalum kwa maslahi binafsi huku wakitumia akili za watu kama wewe dhaifu kujipatia uhalali
 
lowestein tutake radhi wakazi wa Manzese. Ina maana hatufai kuwa viongozi wa ngazi za juu kama wakurugenzi etc?!!
 
Last edited by a moderator:
lowestein Wacha kutokwa na mapovu wewe kibaraka huna tofauti na vibaraka kutoka upande wa pili na umelewa mapenzi hadi unashindwa kutumia akili yako japo kidogo.

Swala la msingi hapa ni chadema kushughulikia malalamiko na kero za wananchi isiwe kama chama tawala wanaojiona wapo right kila kona.

Kwani kwa mfano we unadhani mkoa wote wa Singida hakuna ambaye angeweza teuliwa viti maalumu mpaka awe huyo dada ake Lissu?
Na mfumo huu ukiendelea hautakifikisha chama popote ni lazima sasa mfumo ubadilike.
Siyo eti mbona CCM wamewekana ndugu na ninyi mnaiga kila kitu BIG NO.
Chama si sehemu ya kupeana favour wala kupeana ulaji wana familia.
 
Last edited by a moderator:
lowestein Mkuu hapa tunabadilisha mawazo, hatugombani. Hata mimi mwenyewe naipenda sana Chadema, ila ni ukweli uliowazi kuwa kuna element ya uchaga (ktk nafasi za kuteuliwa) upende usipende. Usifoke na kutukana bali fanyia kazi malalamiko ya watu. Kiongozi mzuri ni yule anayesikiliza watu wanasemaje au wanamuonaje, and then anafanyia kazi concerns za watu, siyo kuja juu kama unavyoashiria wewe. Wengi tunaipenda chadema na tunataka mabadiliko ktk nchi yetu, ndo maana tunaanika kasoro za chama chetu ili kijirekebishe na kuwa imara zaidi. Just be objective mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa godsenior ni rimote watu WANAMBONYEZA tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…