Nilihangaika na foleni za vitambulisho vya uraia mwanzoni kabisa lakini sikupata kitambulisho wala namba ya nida,na kimsingi wahanga wa hili ni wengi tukaambiwa turudie tena tuka tiii tukaanza upya mchakato wa kupata kitambulisho cha uraia,lakini mpaka sasa sina kitambulisho wala namba ya NIDA.kaka kwanini hukusajili kwa alama za vidole kwq msisitizo wote ule...
mbaya zaidi airtel huwq wanatukumbusha wateja wao kuzisajili hizi lain zetu kila siku ukipiga tu simu kwa mtu kabla simu haijapokelewa unakumbushwa na mhudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kuna sababu nje ya ile ya 31 December
Sasa usajili bila namba ya nida?kaka kwanini hukusajili kwa alama za vidole kwq msisitizo wote ule...
mbaya zaidi airtel huwq wanatukumbusha wateja wao kuzisajili hizi lain zetu kila siku ukipiga tu simu kwa mtu kabla simu haijapokelewa unakumbushwa na mhudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app