Dharau: Airtel wameanza kufungia laini zisizosajiliwa

Dharau: Airtel wameanza kufungia laini zisizosajiliwa

Kwema Wakuu,

Binafsi kwangu sio kwema kabisa, Nimekosa dili kadhaa sababu ya Kuhindwa kuwasiliana. Leo tarehe 19/12/2019 hawa AIRTEL bila ya sababu za msingi wameamua kuwafungia wateja wake ambao hawajasajili laini zao. Inashangaza kuzifunga leo wakati tarehe ya mwisho ni 31/12/2019.

Nimeshindwa kuwasiliana na watu mbali mbali ambao wananijua kupitia number hii. Na kwa kupitia number ingine imekua usumbufu kuanza kujitambulisha tena upya. Kiherehere hiki hakijulikani kinatoka wapi wakati tarehe rasmi ya kufunga laini hazijafika.

TCRA wapo tu na toka asubuhi sijaona kama wametoa tamko lolote hadharani kuhusu hii kadhia ya leo ya Airtel
 
Microphone test😆😆😆.

Hawa mbwa wamejua kunikomesha leo.
 
Inashangaza sana! Ni kama wameamua kuwahujumu watanzania.

Ni jana tu nilikuwa namsikiliza mh. Rais kuhusu kusajili line kwa alama za vdole, msg yake ilikuwa wazi kabisa kwamba

mtu asifungiwe sim kwakuwa tu hajasajili kwa alama za vidole. Ila alisema zoezi la usajili wa line liende sambamba na zoezi la usajili wa vitambulisho vya nida"

Kitendo cha T.C.R.A kukaa kimya sijui wanamaanisha nn au wanasimamia nn!

Hawa Airtel wamejiamulia tu kuwafungia mawasiliano wateja wake bila hata ya kutoa notice halali.

Wanamkwamisha mh. Rais kuleta maendeleo ktk nchi yetu! Wanastahili faini ya kufa mtu iwe fundisho kwa wengine wenye viherehere kama wao"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha T.C.R.A kukaa kimya sijui wanamaanisha nn au wanasimamia nn!

Hawa Airtel wamejiamulia tu kuwafungia mawasiliano wateja wake bila hata ya kutoa notice halali.


Labda wanasubiri barua kutoka kwa Mkuu, isemayo

"...mtu asifungiwe sim kwakuwa tu hajasajili kwa alama za vidole. Ila alisema zoezi la usajili wa line liende sambamba na zoezi la usajili wa vitambulisho vya nida"
 
Kama umejulishwa ni vizuri nenda kasajili kwa alama za vidole ,sasa wengine hiyo namba hawana kabisa na hata wakitafuta mtandaoni au kwenda nida hakuna namba na ilhali walijiandikisha,

Nida wanatengeneza mazingira ya rushwa tu!!!
Niliwahi kumbishia Dada angu hivyo nae akawa anatumiwa SMS kujulishwa namba yake, akanionesha nikawa nawaza wanajuaje hawa airtel namba ya nida ya mteja

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana! Ni kama wameamua kuwahujumu watanzania.

Ni jana tu nilikuwa namsikiliza mh. Rais kuhusu kusajili line kwa alama za vdole, msg yake ilikuwa wazi kabisa kwamba

mtu asifungiwe sim kwakuwa tu hajasajili kwa alama za vidole. Ila alisema zoezi la usajili wa line liende sambamba na zoezi la usajili wa vitambulisho vya nida"

Kitendo cha T.C.R.A kukaa kimya sijui wanamaanisha nn au wanasimamia nn!

Hawa Airtel wamejiamulia tu kuwafungia mawasiliano wateja wake bila hata ya kutoa notice halali.

Wanamkwamisha mh. Rais kuleta maendeleo ktk nchi yetu! Wanastahili faini ya kufa mtu iwe fundisho kwa wengine wenye viherehere kama wao"



Sent using Jamii Forums mobile app
...Sio tu Wanamkwamisha Bali pia ni dharau ya aina yake kwa Kiongozi Wa Nchi!
Heads must roll !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza;

Kampuni inashindwa kutoa notice kwa wateja wake!

T.c.r.a. lazima iwatoze faini kari iIi iwe fundisho.

Airtel Haijuwi kuwa NIDA kuna foleni ndefu ya Watamzania wakifuatilia vitambulisho na namba zao ili kupata usajili kwa alama za vidole!

Ivi hawa Airtel wanaweza tambua madhara na hasara walizo sababisha kwa kitendo walicho fanya ?

Naipenda nchi yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa hii imetokea kwa watu wengi wasiosajili kwa alama za vidole mimi mwenyewe mmoja wapo...laini ya airtel ndo naitumia sana.

Kwa kilichotokea jana nina imani hata wao airtel wamepata hasara maana watu wengi hawakuweka hela wala vocha,hii itasaidia kuongeza muda wa usajili
mbona line yangu ya airtel ipo hewani na bado sijaisajili?, isije kuwa hamjatumia hizo line zenu miezi mitatu iliyopita halafu mnalalamika bure, mnawasingizia airtel.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema Wakuu,

Binafsi kwangu sio kwema kabisa, Nimekosa dili kadhaa sababu ya Kuhindwa kuwasiliana. Leo tarehe 19/12/2019 hawa AIRTEL bila ya sababu za msingi wameamua kuwafungia wateja wake ambao hawajasajili laini zao. Inashangaza kuzifunga leo wakati tarehe ya mwisho ni 31/12/2019.

Nimeshindwa kuwasiliana na watu mbali mbali ambao wananijua kupitia number hii. Na kwa kupitia number ingine imekua usumbufu kuanza kujitambulisha tena upya. Kiherehere hiki hakijulikani kinatoka wapi wakati tarehe rasmi ya kufunga laini hazijafika.

TCRA wapo tu na toka asubuhi sijaona kama wametoa tamko lolote hadharani kuhusu hii kadhia ya leo ya Airtel
Pole sana mkuu.
Ila ungewapgia tcra, airtel na kutupa mrejesho wa majibu yao ungekuwa great thinker.

Kama vipi tuanze kalalamika kwa mzee wa kijiji Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Tatizo Nchi hii kila Mtu ni Mkubwa anayeweza kujiamulia anavyotaka na likatendeka!
Raising aliishasea Lakini zisingwe kwa kukosa kusajiliwa kwa kukosa alama za Vidole!
Waziri Mhusika akasisitiza hili.
Siku mbili tatu baadaye kakaibuka Kamkurugenzi ka trca na kutamba hadhari kuwa line lazima zitafingwa!
Raising na Waziti wake, bila kumkemea Mkurugenzi husika huyu...!!
Unategemea mini? Kila mtu ni mkubwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom