Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ukiingiza vocha inakubali?Hata mimi wamenifungia sipigi simu ila sms natuma na internet nafungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameifunga ikiwa na kifurushi cha wiki. Hivyo sijajaribu kiweka vocha mpya
Niliwahi kumbishia Dada angu hivyo nae akawa anatumiwa SMS kujulishwa namba yake, akanionesha nikawa nawaza wanajuaje hawa airtel namba ya nida ya mtejamimi najiuliza Airtel namba ya kitambulisho changu wamepewa na nani!? maana walikua wananitumia sms kwamba "ndugu mteja namba yako ya kitambulisho cha NIDA ni xxxxxxxxxxxxxxxx tafadhari nenda kasajili line yako"
Pumbavu sana wewe! Maagizo ya serikali gani yamesema wafunge tarehe 19 Desemba?Wakufungie tu kwa Nini wew unadharau maagizo ya serikari ya kujisajili
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache pressure vipi wakati tayari wamefunga line?waziri wa mambo ya ndani alishasema hazitafungiwa, wacheni pressure, labda mpaka June 2020 ndio wazifungie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni hizo na nyie! Kwani muda uliotolewa kusajili umeshaisha? Si 31 Desemba!!kaka kwanini hukusajili kwa alama za vidole kwq msisitizo wote ule...
mbaya zaidi airtel huwq wanatukumbusha wateja wao kuzisajili hizi lain zetu kila siku ukipiga tu simu kwa mtu kabla simu haijapokelewa unakumbushwa na mhudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ninida wengine tumepeleka taarifa muda mpk sasahatujapewa kitambulisho wanamba huuniuonevukaka kwanini hukusajili kwa alama za vidole kwq msisitizo wote ule...
mbaya zaidi airtel huwq wanatukumbusha wateja wao kuzisajili hizi lain zetu kila siku ukipiga tu simu kwa mtu kabla simu haijapokelewa unakumbushwa na mhudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo ushangae,mi Voda laini moja ilikuwa imesajiliwa na Voda wenyewe kwa jina la wakala,siku za nyuma,yenyewe pia ikaletewa namba za nidamimi najiuliza Airtel namba ya kitambulisho changu wamepewa na nani!? maana walikua wananitumia sms kwamba "ndugu mteja namba yako ya kitambulisho cha NIDA ni xxxxxxxxxxxxxxxx tafadhari nenda kasajili line yako"
Line zimefungwa za watu wengi . maagizo huwa ni mengi yawezekana kuna maagizo mengine wamepewa.waziri wa mambo ya ndani alishasema hazitafungiwa, wacheni pressure, labda mpaka June 2020 ndio wazifungie.
Sent using Jamii Forums mobile app