Dharau: Airtel wameanza kufungia laini zisizosajiliwa

Hivi hawa jamaa wanawaza nini? Hivi wamehakikisha kwanza kwamba wote waliopeleka taharifa wamepata vitambulisho au namba?

Sasa kama namba/ID hawatoi lengo la kufungia line ni lipi? Wanamkomoa nani na kwa faida ya nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…