Igombe fisherman JF-Expert Member Joined Apr 28, 2017 Posts 2,178 Reaction score 3,865 Dec 20, 2019 #81 Huku wamezifungua tena Sent using Jamii Forums mobile app
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 14,834 Reaction score 32,522 Dec 20, 2019 #82 Hivi hawa jamaa wanawaza nini? Hivi wamehakikisha kwanza kwamba wote waliopeleka taharifa wamepata vitambulisho au namba? Sasa kama namba/ID hawatoi lengo la kufungia line ni lipi? Wanamkomoa nani na kwa faida ya nani? Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawa jamaa wanawaza nini? Hivi wamehakikisha kwanza kwamba wote waliopeleka taharifa wamepata vitambulisho au namba? Sasa kama namba/ID hawatoi lengo la kufungia line ni lipi? Wanamkomoa nani na kwa faida ya nani? Sent using Jamii Forums mobile app
Mlundilwa Jr JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 3,187 Reaction score 4,857 Dec 21, 2019 #83 Mtoto halali na hela said: Poleni mliokumbwa na hilo janga sajilini siku zimebaki chache mno Click to expand... Mkuu issue ni kitambulisho hakuna asiyetaka kujisajili Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto halali na hela said: Poleni mliokumbwa na hilo janga sajilini siku zimebaki chache mno Click to expand... Mkuu issue ni kitambulisho hakuna asiyetaka kujisajili Sent using Jamii Forums mobile app