Dharau za Serikali ya CCM sasa zimezidi; Daktari Bingwa anatakiwa kujitolea

Dharau za Serikali ya CCM sasa zimezidi; Daktari Bingwa anatakiwa kujitolea

Neno Bingwa lisikutishe

Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi

Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Si Kweli, moja ya kada inayopika wataalamu vizuri ni Afya, sema tu Hospital zetu bado hazina vifaa tiba vya kisasa kutokana na ufinyu wa bajeti zetu.
 
Kuna ubobezi wa MMed bila kuingia darasani ,hospitali na kufanya tafiti?

Ndio ubobezi unakotokea.

Hii mada iko juu ya uwezo wako kuijadili utapata aibu tu[ angalia 90% ya maoni utanielewa]

Endelea kutoa updates za Lumumba tu .
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe 😂😂

Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi

Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa

Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea 😂😂😂😂
 
Ndio hao wameitwa wakajitolee then wataajiriwa, mbona Ubongo wako una ugumu wa uelewa?!
Itoshe kusema wewe ni mwehu! Mbona wewe hujitolei? Mbona wabunge hawajitolei, Chura wa Kizimkazi ameng'ang'ana madarakani na kuuza Tanganyika mbona hajitolei? Unataka mtu asiye na kitu ajitolee!

Mwehu wewe!
 
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe 😂😂

Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi

Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa

Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea 😂😂😂😂
Wewe ndiye tutusa unaandika vitu vya kusadikika!
 
Nashauri leo kwa post hii buku 7 usipewe!
Wewe unadhani hii ndio Dunia ile Madaktari wanasoma Muhimbili pekee 😂😂😂

Huko Uchina Wazazi Wamepeleka Watoto Kwa maelfu wamehitimu na wamerudi wako Wengine wanaimbia Nyimbo za Injili 😀😀 na Wengine Chawa
 
Itoshe kusema wewe ni mwehu! Mbona wewe hujitolei? Mbona wabunge hawajitolei, Chura wa Kizimkazi ameng'ang'ana madarakani na kuuza Tanganyika mbona hajitolei? Unataka mtu asiye na kitu ajitolee!

Mwehu wewe!
Bwashee ulilazimishwa kusomea udaktari? 😂😂😂

Umezeekea chuoni 🐼
 
Umeenda mbali sana kwa kuwataja watoto wa vigogo kujitolea. Hoja ya msingi hapa ni kwamba serikali haina uhitaji wa madaktari bingwa? Kama inahitaji nao kwanini isiwaajili hadi wakajitolee?

Je, serikali hawana pesa za kuwaajili hao mabingwa? Hizo posho za kujitolea na matumizi ya anasa wanayofanya viongozi wa kisiasa na shughuli za kipuuzi za kuzurula zurula za kina Bashite kwanini wasiyapeleke huko? Wanajua kwa mwaka wanatumia kiasi gani kwa mambo yasiyo na faida kwenye jamii?

Nchi yetu haiendelei si kwasababu haina wataalamu wala rasilimali. Haiendelei kwasababu ya dharau ya kutothamini taaluma za watu

Huu mfumo wa kukabidhi wanasiasa kufanya maamuzi ya msingi ndio unaotugharimu. Inatia kinyaa kuwaruhusu wanasiasa kuamua mambo ya msingi ya nchi

Leo ukipita mitaani huku shule zinajengwa kila sehemu kwasababu tu kuna sera ya kujenga shule kwenye kila kata.

Hawazingatii population ya eneo, hawaangalii ukubwa wa eneo, viwanja vya michezo , makazi ya watu,...kuna shule zinageukiana yaana moja upande huu, nyingine upande mwingine ilimradi tu kila diwani ajisifu amepigania shule kwenye kata yake.Hakuna maabara, library, ofisi, wao wanajali madarasa hawanashida na ubora wala ufanisi

Wanaotumia akili wangeweza kukubaliana kata hata mbili, tatu au nne ambazo nyingi zamani zilikuwa kata moja (ziko eneo moja hilo hilo) wajenge shule moja kubwa ya maana, yenye viwango na ubora, iliyokamilika kila kitu tena ya ghorofa ili kusevu eneo badala ya kupoteza hela kwa kila kata kutandaza mabanda yake halafu baada ya miaka mitano yote yameshachakaa wakati huo bado tunashuhudia shule zilizojengwa enzi za mkoloni zikiwa bado na majengo yenye ubora kuliko hizi zetu mpya!

Hapa ndipo utakapojua akili ya Mwafrika anaijua Mwafrika mwenyewe. Unasomesha wataalamu bingwa halafu unawaambia wakajitolee ndani ya nchi yako hiyo hiyo ambayo wataalamu wanazagaa mtaani wakati huo huo raia wanakufa kwa kukosa huduma yao na wanasiasa wanagonga mvinyo mtaani bila shida yoyote
Ndugu hakuna mtoto wa kigogo ye yote aliyewahi kujitolea, wote wanapata ajira kwa vimemo! Ukweli lazima usemwe!
 
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe 😂😂
Ubingwa wa kisasa na wa kizamani upi bora,? zamani kulikuwa na procedure huwezi kuzifanya mpaka ziwe " invasive" ila leo hii procedure ya kufanya masaa 4 unafanya saa 1 je kipi bora?
Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi
Ubobezi wao ulikuwa wa namna ipi??fafanua na huu wa saa hizi uko vipi.
Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa
Kuna mahali nimesema mtu ambaye tayari ni qualified M.D akiamua kwenya kwenye ubingwa au ubingwa bobezi haiwezekani?
Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea 😂😂😂😂
Ni wajinga ndio , ukifika Botswana ikiwa ndio "chimbo" la hawa vijana walioamua kuondoka Tanzania na wachache niliowaona hapa kutoka Tanzania na mataifa mengine ya Afrika magharibi utajua vijana walioanza kwenda miaka hiyo walifungulia wengine milango na hawana mpango wa kurudi.

Nakushauri tena hii mada haitaki siasa , na iko juu ya uwezo wako kuijadili ila kama unataka mjadala karibu .
 
Wewe unadhani hii ndio Dunia ile Madaktari wanasoma Muhimbili pekee 😂😂😂

Huko Uchina Wazazi Wamepeleka Watoto Kwa maelfu wamehitimu na wamerudi wako Wengine wanaimbia Nyimbo za Injili 😀😀 na Wengine Chawa


Nasimama na comment yangu: Leo no buku 7 kwako. Habari hii iwafikie Nchimbi wa Nchimbi na Makala wa Makala, kwa hakika ikiwapendeza.
 
Issue kubwa ni Tatu:
Moja: Madaktari hawatoshi kwanini tunawaacha badala ya kuwatumia ?
Mbili: Kama wanatosha kwanini tunatumia mapesa mengi ya walipa Kodi kuwasomesha ?
Tatu: Kama hawahitajiki basi ni sawa hata tukisema watoe pesa ili ndio wapate ajira its all about demand.., hatuwezi kama taifa kuwachukua tu sababu ni madaktari wakati hawahitajiki ila swali la jibu hili ni hoja namba Mbili..., Kwanini tunatumia mapesa na gharama nyingi kuwasomesha..., Kwanini tusiwa export waende nchi nyingine zenye uhaba kama sisi hatuna uhaba?
 
Hili ni tangazo likimuhitaji Daktari Bingwa katika hospitali ya serikali!

Hivi kweli serikali imeshindwa kuajiri na sasa inataka watu wafanye kazi kwa kujitolea?
Kwamba mtoto wa Rais, au Waziri au hata Mkuu wa Mkoa na wilaya angekuwepo mwenye sifa angetakiwa kujitolea?
Kwamba sasa serikali inataka kusambaza umaskini kwa watoto wa walala hoi!

Hakika mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Badala ya kuajiri wataalam ambao watawasaidia wananchi serikali inaamua kununua mashangingi na magari ya anasa ya bei mbaya!

Tujifunze kwa Gen Z wa Kenya muda unakwenda kasi na hapa kwetu yanakuja!

HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA WA KUJITOLEA

Kumb. Na. HB.207/327/03/50

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini unatangaza nafasi 54 za Ajira ya Mkataba wa kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja (1) kama ifuatavyo: -

1.0. Daktari Bingwa Daraja la II - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini MASHARTI YA AJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

1.1 SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

KAZI

Daktari Bingwa

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024-14/07/2024

ΚΑΖΙ ΝΑ ΜAJUKUMU

Kufanya kazi zote za matibabu ya Kibingwa.

Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa

Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.

Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.

Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake

Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement)

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake
Manispaa tu ya mtwara ingeweza kaujiri na kulipa hiyo mishahara ya madaktari 2
 
Unajaribu kuiamsha Gen-Z, ya Tanzania ambayo imeandaliwa kutokuhoji, ambalo linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu vingine huwezi kuvihoj kwenye ngazi hiyo pengine utaambiwa km umekua uondoke nenda huko ukapange soma kuhusu, ostracism, pia, human herding, (unyumbu), utanishukuru
Ni jambo gumu kwa malezi waliyokulia lakini hakuna namna inabidi tukomae kutoa elimu vinginevyo hili Taifa litakuwa mfu muda si mrefu! Kwa sasa vijana wana akili za wizi au fisi anayengojelea mkono udodoke apate kitoweo! Kwa hiyo vijana wanasubiri wadondokewe na ufisadi watoboe kama wanavyosema!
 
Neno Bingwa lisikutishe

Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi

Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Msenge sana wewe.

MD miaka 5.

Internship mwaka mmoja .

Then masters Miaka 3 hadi 4.

Mtu awekeze elimu miaka 10 then unwambie ajitolee.

Ada muhimbili million 5 na kitu.

Then ukamlipe nusu mshahara kiuhalisia hawatapata Specialist wa kujitolea.
 
Maajabu ya Mussa serikali ya Samia kuja na program uchwara kwa jina: "madaktari wa mama."

Madaktari bingwa hao hupiga kambi kwenye hospitali za mikoa na wilaya moja baada ya nyingine, kwa danganya toto ya kuwafikishia wanyonge huduma. Leo wako huku, kesho kule.

Angalia posho zao za kujikimu na safari wanazokomba sasa. Mbona zilitosha mno kuajiri madaktari wa kutosha na wakakaa kwenye hospitali hizo huko siku zote?!

Hii nchi kila kitu ni siasa + upigaji kwa kwenda mbere?!

Kwa kufikia kutaka kuwa mabingwa kwenda kujitolea hivi; kwa nini kwa kuanzia, mpango uchwara huu wa ulaji na hawa "madaktari wa mama" usisitishwe mara moja?

Iko kama vile serikali hii, wanatuona kama manyani tu.

Tate Mkuu, johnthebaptist, Lucas Mwashambwa kwa utambuzi.
Ni jambo la kusikitisha mradi huu wa wizi unapata promotion kubwa sana! Hivi sasa hakuna hata hospitali moja ya serikali/umma inayojitosheleza kwa wataalam mbali na vifaa, badala ya wanasiasa na wataalam kujikita katika kutafuta ufumbuzi wa changamoto hii wako bize kujikomba kwa mama wa Kizimkazi!
 
Back
Top Bottom