Dharau za Serikali ya CCM sasa zimezidi; Daktari Bingwa anatakiwa kujitolea

Dharau za Serikali ya CCM sasa zimezidi; Daktari Bingwa anatakiwa kujitolea

Umeenda mbali sana kwa kuwataja watoto wa vigogo kujitolea. Hoja ya msingi hapa ni kwamba serikali haina uhitaji wa madaktari bingwa? Kama inahitaji nao kwanini isiwaajili hadi wakajitolee?

Je, serikali hawana pesa za kuwaajili hao mabingwa? Hizo posho za kujitolea na matumizi ya anasa wanayofanya viongozi wa kisiasa na shughuli za kipuuzi za kuzurula zurula za kina Bashite kwanini wasiyapeleke huko? Wanajua kwa mwaka wanatumia kiasi gani kwa mambo yasiyo na faida kwenye jamii?

Nchi yetu haiendelei si kwasababu haina wataalamu wala rasilimali. Haiendelei kwasababu ya dharau ya kutothamini taaluma za watu

Huu mfumo wa kukabidhi wanasiasa kufanya maamuzi ya msingi ndio unaotugharimu. Inatia kinyaa kuwaruhusu wanasiasa kuamua mambo ya msingi ya nchi

Leo ukipita mitaani huku shule zinajengwa kila sehemu kwasababu tu kuna sera ya kujenga shule kwenye kila kata.

Hawazingatii population ya eneo, hawaangalii ukubwa wa eneo, viwanja vya michezo , makazi ya watu,...kuna shule zinageukiana yaana moja upande huu, nyingine upande mwingine ilimradi tu kila diwani ajisifu amepigania shule kwenye kata yake.Hakuna maabara, library, ofisi, wao wanajali madarasa hawanashida na ubora wala ufanisi

Wanaotumia akili wangeweza kukubaliana kata hata mbili, tatu au nne ambazo nyingi zamani zilikuwa kata moja (ziko eneo moja hilo hilo) wajenge shule moja kubwa ya maana, yenye viwango na ubora, iliyokamilika kila kitu tena ya ghorofa ili kusevu eneo badala ya kupoteza hela kwa kila kata kutandaza mabanda yake halafu baada ya miaka mitano yote yameshachakaa wakati huo bado tunashuhudia shule zilizojengwa enzi za mkoloni zikiwa bado na majengo yenye ubora kuliko hizi zetu mpya!

Hapa ndipo utakapojua akili ya Mwafrika anaijua Mwafrika mwenyewe. Unasomesha wataalamu bingwa halafu unawaambia wakajitolee ndani ya nchi yako hiyo hiyo ambayo wataalamu wanazagaa mtaani wakati huo huo raia wanakufa kwa kukosa huduma yao na wanasiasa wanagonga mvinyo mtaani bila shida yoyote
Viongozi wako bize kusomesha watoto wao na kuwatafutia ajira nzuri sisi wanataka tujitolee huoni huo ni ushenzi!
 
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe [emoji23][emoji23]

Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi

Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa

Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jamaa ni fala sana unaandika pumba.

Ajira za mwaka jana hiyo hospital ya kusaini iliajiri Dr ila hakuna aliyeomba huko wala kwenda kuripoti sasa sembuse kujitolea
 
Itoshe kusema wewe ni mwehu! Mbona wewe hujitolei? Mbona wabunge hawajitolei, Chura wa Kizimkazi ameng'ang'ana madarakani na kuuza Tanganyika mbona hajitolei? Unataka mtu asiye na kitu ajitolee!

Mwehu wewe!
Hivi kimbuzi kiuvccm akili ziko kwa maka....
 
Hili ni tangazo likimuhitaji Daktari Bingwa katika hospitali ya serikali!

Hivi kweli serikali imeshindwa kuajiri na sasa inataka watu wafanye kazi kwa kujitolea?
Kwamba mtoto wa Rais, au Waziri au hata Mkuu wa Mkoa na wilaya angekuwepo mwenye sifa angetakiwa kujitolea?
Kwamba sasa serikali inataka kusambaza umaskini kwa watoto wa walala hoi!

Hakika mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Badala ya kuajiri wataalam ambao watawasaidia wananchi serikali inaamua kununua mashangingi na magari ya anasa ya bei mbaya!

Tujifunze kwa Gen Z wa Kenya muda unakwenda kasi na hapa kwetu yanakuja!

HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA WA KUJITOLEA

Kumb. Na. HB.207/327/03/50

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini unatangaza nafasi 54 za Ajira ya Mkataba wa kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja (1) kama ifuatavyo: -

1.0. Daktari Bingwa Daraja la II - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini MASHARTI YA AJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

1.1 SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

KAZI

Daktari Bingwa

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024-14/07/2024

ΚΑΖΙ ΝΑ ΜAJUKUMU

Kufanya kazi zote za matibabu ya Kibingwa.

Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa

Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.

Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.

Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake

Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement)

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake
Cha Kushangaza zaidi, subiri siku watakapoitwa kazini, hizo nafasi zote ikiwemo hao Mabingwa zitakuwa na watu.
 
Neno Bingwa lisikutishe

Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi

Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Wewe huwa ni shoga... Unapigwa mbupu hadi mdomo. Mtu mwenye akili timamu na asiye shoga haongei kiquma hivi.
 
Mpaka hizi nchi za ulimwengu wa tatu ziwe stable kuna vipindi vingi sana vya shida na tabu bado nchi haijavipitia (japo si lazima ivipitie ila kwa namna uendeshaji wa nchi ulivyo ni lazima tuvipitoe)

Sio rahisi kua kama Scandinavia countries kesho tu hapo, bado kuna transformation nyingi twapaswa kupitia.

Mbaya zaidi hatujui twende na mfumo gani, huku tunagusa kule tunapapasa hapa tunaramba.
 
Neno Bingwa lisikutishe

Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi

Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Kuna Hospitali y Mkoa Fulani,ukiwaona hao wanaoitwa Mabingwa ...Halafu uwalinganishe na Mabingwa " wa Muhimbili mhhhh!
 
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe 😂😂

Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi

Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa

Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea 😂😂😂😂
Biblia ikasema hata mpumbavu akikaa Kimya watu wanamhesabu siku hiyo ana hekima.Kwa hiyo Kigwa ambaye hata Baraza halimtambui anaamka Tu anakuwa bingwa.Shame on you.Bora ukae Kimya Kwa vitu usivyovijua.
 
Mpaka hizi nchi za ulimwengu wa tatu ziwe stable kuna vipindi vingi sana vya shida na tabu bado nchi haijavipitia (japo si lazima ivipitie ila kwa namna uendeshaji wa nchi ulivyo ni lazima tuvipitoe)

Sio rahisi kua kama Scandinavia countries kesho tu hapo, bado kuna transformation nyingi twapaswa kupitia.

Mbaya zaidi hatujui twende na mfumo gani, huku tunagusa kule tunapapasa hapa tunaramba.
Tatizo kubwa la nchi za kiafrika zinadandia treni kwa mbele! Maendeleo yana hatua za kufuata na si kuiga hivyo hatuna budi kuainisha hatua za kufuata.
 
Tuliyaona haya mapema tukafungia vyeti mapema. Yaani nikikumbuka misuli nilipiga kwa ajili ya hio fani, naumia sana.
 
Hili ni tangazo likimuhitaji Daktari Bingwa katika hospitali ya serikali!

Hivi kweli serikali imeshindwa kuajiri na sasa inataka watu wafanye kazi kwa kujitolea?
Kwamba mtoto wa Rais, au Waziri au hata Mkuu wa Mkoa na wilaya angekuwepo mwenye sifa angetakiwa kujitolea?
Kwamba sasa serikali inataka kusambaza umaskini kwa watoto wa walala hoi!

Hakika mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Badala ya kuajiri wataalam ambao watawasaidia wananchi serikali inaamua kununua mashangingi na magari ya anasa ya bei mbaya!

Tujifunze kwa Gen Z wa Kenya muda unakwenda kasi na hapa kwetu yanakuja!

HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA WA KUJITOLEA

Kumb. Na. HB.207/327/03/50

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini unatangaza nafasi 54 za Ajira ya Mkataba wa kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja (1) kama ifuatavyo: -

1.0. Daktari Bingwa Daraja la II - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini MASHARTI YA AJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

1.1 SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

KAZI

Daktari Bingwa

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024-14/07/2024

ΚΑΖΙ ΝΑ ΜAJUKUMU

Kufanya kazi zote za matibabu ya Kibingwa.

Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa

Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.

Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.

Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake

Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement)

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake
Kumbe wasanii wana umuhimu kuliko madaktari!! Hii nchi sasa imevaa chupi kichwani
 
Back
Top Bottom