johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio hao wameitwa wakajitolee then wataajiriwa, mbona Ubongo wako una ugumu wa uelewa?!Akili kama hizi ni anguko la Taifa! Kwa akili zako unaona ni sawa wakati kuna watu wanaangamia kwa kukosa huduma zao?
Kuna ubobezi wa MMed bila kuingia darasani ,hospitali na kufanya tafiti?Tofautisha ubobezi na kuingia Darasani unapewa cheti
Ndio ubobezi unakotokea.Kigwangala akitaka kuwa Bingwa anaenda tu Darasani ππ
Hii mada iko juu ya uwezo wako kuijadili utapata aibu tu[ angalia 90% ya maoni utanielewa]Sidhani hata kama unaelewa!
Si Kweli, moja ya kada inayopika wataalamu vizuri ni Afya, sema tu Hospital zetu bado hazina vifaa tiba vya kisasa kutokana na ufinyu wa bajeti zetu.Neno Bingwa lisikutishe
Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi
Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Madaktari kibao wanaendesha Bodaboda
Usiishi Kwa kukariri hizi ni zama za AI πππ
Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe ππKuna ubobezi wa MMed bila kuingia darasani ,hospitali na kufanya tafiti?
Ndio ubobezi unakotokea.
Hii mada iko juu ya uwezo wako kuijadili utapata aibu tu[ angalia 90% ya maoni utanielewa]
Endelea kutoa updates za Lumumba tu .
Itoshe kusema wewe ni mwehu! Mbona wewe hujitolei? Mbona wabunge hawajitolei, Chura wa Kizimkazi ameng'ang'ana madarakani na kuuza Tanganyika mbona hajitolei? Unataka mtu asiye na kitu ajitolee!Ndio hao wameitwa wakajitolee then wataajiriwa, mbona Ubongo wako una ugumu wa uelewa?!
Wewe ndiye tutusa unaandika vitu vya kusadikika!Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe ππ
Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi
Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa
Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea ππππ
Wewe unadhani hii ndio Dunia ile Madaktari wanasoma Muhimbili pekee πππNashauri leo kwa post hii buku 7 usipewe!
Bwashee ulilazimishwa kusomea udaktari? πππItoshe kusema wewe ni mwehu! Mbona wewe hujitolei? Mbona wabunge hawajitolei, Chura wa Kizimkazi ameng'ang'ana madarakani na kuuza Tanganyika mbona hajitolei? Unataka mtu asiye na kitu ajitolee!
Mwehu wewe!
Ndugu hakuna mtoto wa kigogo ye yote aliyewahi kujitolea, wote wanapata ajira kwa vimemo! Ukweli lazima usemwe!Umeenda mbali sana kwa kuwataja watoto wa vigogo kujitolea. Hoja ya msingi hapa ni kwamba serikali haina uhitaji wa madaktari bingwa? Kama inahitaji nao kwanini isiwaajili hadi wakajitolee?
Je, serikali hawana pesa za kuwaajili hao mabingwa? Hizo posho za kujitolea na matumizi ya anasa wanayofanya viongozi wa kisiasa na shughuli za kipuuzi za kuzurula zurula za kina Bashite kwanini wasiyapeleke huko? Wanajua kwa mwaka wanatumia kiasi gani kwa mambo yasiyo na faida kwenye jamii?
Nchi yetu haiendelei si kwasababu haina wataalamu wala rasilimali. Haiendelei kwasababu ya dharau ya kutothamini taaluma za watu
Huu mfumo wa kukabidhi wanasiasa kufanya maamuzi ya msingi ndio unaotugharimu. Inatia kinyaa kuwaruhusu wanasiasa kuamua mambo ya msingi ya nchi
Leo ukipita mitaani huku shule zinajengwa kila sehemu kwasababu tu kuna sera ya kujenga shule kwenye kila kata.
Hawazingatii population ya eneo, hawaangalii ukubwa wa eneo, viwanja vya michezo , makazi ya watu,...kuna shule zinageukiana yaana moja upande huu, nyingine upande mwingine ilimradi tu kila diwani ajisifu amepigania shule kwenye kata yake.Hakuna maabara, library, ofisi, wao wanajali madarasa hawanashida na ubora wala ufanisi
Wanaotumia akili wangeweza kukubaliana kata hata mbili, tatu au nne ambazo nyingi zamani zilikuwa kata moja (ziko eneo moja hilo hilo) wajenge shule moja kubwa ya maana, yenye viwango na ubora, iliyokamilika kila kitu tena ya ghorofa ili kusevu eneo badala ya kupoteza hela kwa kila kata kutandaza mabanda yake halafu baada ya miaka mitano yote yameshachakaa wakati huo bado tunashuhudia shule zilizojengwa enzi za mkoloni zikiwa bado na majengo yenye ubora kuliko hizi zetu mpya!
Hapa ndipo utakapojua akili ya Mwafrika anaijua Mwafrika mwenyewe. Unasomesha wataalamu bingwa halafu unawaambia wakajitolee ndani ya nchi yako hiyo hiyo ambayo wataalamu wanazagaa mtaani wakati huo huo raia wanakufa kwa kukosa huduma yao na wanasiasa wanagonga mvinyo mtaani bila shida yoyote
Ubingwa wa kisasa na wa kizamani upi bora,? zamani kulikuwa na procedure huwezi kuzifanya mpaka ziwe " invasive" ila leo hii procedure ya kufanya masaa 4 unafanya saa 1 je kipi bora?Ubingwa wa kisasa unaweza kufanyiwa hata mitihani kama hao wa OUT tutusa wewe ππ
Ubobezi wao ulikuwa wa namna ipi??fafanua na huu wa saa hizi uko vipi.Ndio nimekwambia Ubingwa wa akina Prof Sarungi, Mugaya,, Kaisi, Ngwada nk ni wa ubobezi
Kuna mahali nimesema mtu ambaye tayari ni qualified M.D akiamua kwenya kwenye ubingwa au ubingwa bobezi haiwezekani?Kigwangala hapractice Lakini akitaka kuwa Bingwa anakuwa
Ni wajinga ndio , ukifika Botswana ikiwa ndio "chimbo" la hawa vijana walioamua kuondoka Tanzania na wachache niliowaona hapa kutoka Tanzania na mataifa mengine ya Afrika magharibi utajua vijana walioanza kwenda miaka hiyo walifungulia wengine milango na hawana mpango wa kurudi.Serikali Siyo wajinga kuwaambia waanze Kwa kujitolea ππππ
Wewe unadhani hii ndio Dunia ile Madaktari wanasoma Muhimbili pekee πππ
Huko Uchina Wazazi Wamepeleka Watoto Kwa maelfu wamehitimu na wamerudi wako Wengine wanaimbia Nyimbo za Injili ππ na Wengine Chawa
Ukoo wako wote hakuna anayeweza kusomea taaluma nyeti kama hizo kwa sababu ya kurithishana utaahira!Bwashee ulilazimishwa kusomea udaktari? πππ
Umezeekea chuoni πΌ
Manispaa tu ya mtwara ingeweza kaujiri na kulipa hiyo mishahara ya madaktari 2Hili ni tangazo likimuhitaji Daktari Bingwa katika hospitali ya serikali!
Hivi kweli serikali imeshindwa kuajiri na sasa inataka watu wafanye kazi kwa kujitolea?
Kwamba mtoto wa Rais, au Waziri au hata Mkuu wa Mkoa na wilaya angekuwepo mwenye sifa angetakiwa kujitolea?
Kwamba sasa serikali inataka kusambaza umaskini kwa watoto wa walala hoi!
Hakika mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Badala ya kuajiri wataalam ambao watawasaidia wananchi serikali inaamua kununua mashangingi na magari ya anasa ya bei mbaya!
Tujifunze kwa Gen Z wa Kenya muda unakwenda kasi na hapa kwetu yanakuja!
HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA WA KUJITOLEA
Kumb. Na. HB.207/327/03/50
Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini unatangaza nafasi 54 za Ajira ya Mkataba wa kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja (1) kama ifuatavyo: -
1.0. Daktari Bingwa Daraja la II - (NAFASI 02)
KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini MASHARTI YA AJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1
1.1 SIFA
Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).
KAZI
Daktari Bingwa
MWAJIRI
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini
MUDA WA MAOMBI
28/06/2024-14/07/2024
ΞΞΞΞ ΞΞ ΞAJUKUMU
Kufanya kazi zote za matibabu ya Kibingwa.
Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa
Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.
Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.
Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake
Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement)
Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake
Ni jambo gumu kwa malezi waliyokulia lakini hakuna namna inabidi tukomae kutoa elimu vinginevyo hili Taifa litakuwa mfu muda si mrefu! Kwa sasa vijana wana akili za wizi au fisi anayengojelea mkono udodoke apate kitoweo! Kwa hiyo vijana wanasubiri wadondokewe na ufisadi watoboe kama wanavyosema!Unajaribu kuiamsha Gen-Z, ya Tanzania ambayo imeandaliwa kutokuhoji, ambalo linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu vingine huwezi kuvihoj kwenye ngazi hiyo pengine utaambiwa km umekua uondoke nenda huko ukapange soma kuhusu, ostracism, pia, human herding, (unyumbu), utanishukuru
Msenge sana wewe.Neno Bingwa lisikutishe
Zamani Daktari bingwa alikuwa ni yule aliyebobea mfano Prof Sarungi
Siku hizi bingwa anaingia darasani akitoka tayari ni Bingwa
Ni jambo la kusikitisha mradi huu wa wizi unapata promotion kubwa sana! Hivi sasa hakuna hata hospitali moja ya serikali/umma inayojitosheleza kwa wataalam mbali na vifaa, badala ya wanasiasa na wataalam kujikita katika kutafuta ufumbuzi wa changamoto hii wako bize kujikomba kwa mama wa Kizimkazi!Maajabu ya Mussa serikali ya Samia kuja na program uchwara kwa jina: "madaktari wa mama."
Madaktari bingwa hao hupiga kambi kwenye hospitali za mikoa na wilaya moja baada ya nyingine, kwa danganya toto ya kuwafikishia wanyonge huduma. Leo wako huku, kesho kule.
Angalia posho zao za kujikimu na safari wanazokomba sasa. Mbona zilitosha mno kuajiri madaktari wa kutosha na wakakaa kwenye hospitali hizo huko siku zote?!
Hii nchi kila kitu ni siasa + upigaji kwa kwenda mbere?!
Kwa kufikia kutaka kuwa mabingwa kwenda kujitolea hivi; kwa nini kwa kuanzia, mpango uchwara huu wa ulaji na hawa "madaktari wa mama" usisitishwe mara moja?
Iko kama vile serikali hii, wanatuona kama manyani tu.
Tate Mkuu, johnthebaptist, Lucas Mwashambwa kwa utambuzi.
Hakuna MD anayeendesha bodoboda acha uongo.Madaktari kibao wanaendesha Bodaboda
Usiishi Kwa kukariri hizi ni zama za AI [emoji23][emoji23][emoji23]