Bin Mngereza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 610
- 269
Wabunge wanachekesha sana wanasema eti kwa hadhi waliyo nayo hawawezi kulala kwenye nyumba za kulala wageni za vichocholoni.
Alaa kuumbeeee!!!!!!!...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wanachekesha sana wanasema eti kwa hadhi waliyo nayo hawawezi kulala kwenye nyumba za kulala wageni za vichocholoni.
Umeona mentality ya kijjinga sana hii ndio maana wenye busara wanataka majina ili kuendelea kujiridhisha kuwa wakina nani wako upande gani; hao unaowaita mafisadi bila kutajwa leo ungewajua????!!!
Acha ujanja wa mkasi kufurahia kukata kitambaa huku ukichomolewa vidole hauna la kufanya!!!!!Majina yanatakiwa ili kujua true colours na sio political inclination au party caucus na kwa majina ni rahisi kuwabana wakija majimboni come 2015 mama mlevi weeewe!!!!!
Tatizo lako unadhani kujiajiri ni kukopi kile anachofanya mwenzio nadhani hapa ndiyo huwa mnakuwa waoga, kijana huwezi kukaa na kuridhika tu eti napata laki3 kwa mwezi so what? Ondoa regime hiyo madarakani ili upate unafuu wenzio wanakamua posho wizarani na agency za serikali hafu unabaki kutumbua mimacho lo!
Badilika usifikirie baishara za kujaza fremu ambazo kila kona unatazikuta jaribu kuwa tofauti, kalime hata miwa kilombero au Mtibwa, kalime mahindi, mpunga nk, kukaa mjini kusikufanye ufikiri vijijini hakuna fursa.
Hata ukiandika kwa kupamba na maneno ya kanga kwako wewe hukujua mafisai ni akinanani hadi walipotajwa na Dr Slaa, Swali hivi unadhani kabla ya mwaka 2005-2008, Wezi wa mali ya umma hawakuwepo? Je walikuwa hawajulikani?
Unaongea tu kama chiriku hoja ni kuwa laki 3 kwa siku kama wanaona hazitoshi watajwe kwa majina tuwajue,wewe unabisha kuwa sio muhimu nikakupa mifano yooote ili ujue thamani ya laki tatu !!!!!!! Wewe unaniambia habari ya kilimo na vijijini mie????!!!!!
Nimeanza hiyo unayoita kujiajiri 2006 sijui ulikuwa wapi muda huo pilika za mijini na vijijini kupata laki tatu kwa siku unazijua???!!!!
Umegusia kilimo twende huko hivi unajua hekari moja kulima kwa tractor ni 35 mpaka 40 thou sasa fanya hesabu ujue laki tatu ni hekari ngapi???!!!!!
Shamba kupalilia kibarua analamba 15-20 thou kwa hekari moja wewe unaona 300thou kwa siku sio ishu,una shida ya akili wewe!!!!!!!Au hujui mazingira ya nchi hii??
Baldan planter inatupa mbolea na mbegu kwa pamoja inauzwa 18milion Tshs gawanya kwa laki tatu ujue hao watu wanachukua mitaji hapo ya hicho kilimo unachoongelea mjjinga wewe halafu unaleta maneno mepesi hapa ebo!!!!! Unajua boom sprayer 600ltrs inauzwa bei gani???!!!
Mkiambiwa kuwa anayesema laki tatu kwa siku hela ndogo huyo anatukana watanzania usikurupuke kutetea eti kwa kigezo cha chama sijui na kama hayo!!!!!
Usipime watu kwa ID humu fungua akili zaidi ya upeo wa keyboard!!!!!!!
Nakupa ushauri unaniita mjinga hivi unadhani mimi siyo mkulima? na unajua nilianzaje? We unawaza kulima kwa mbolea tu, haya lima kwa hiyo mbolea baada ya miaka 5-10 utaona ardhi yako itakavyokuwa. Mwambie Pandu Kificho akutajie hayo majina umalize kiu yako.
"Identification of the problem its magnitude and causative agents" ni hatua nzuri katika kutatua tatizo husika!!!!!!!
Hivi unajua athari ya mtu kutajwa kwa kashifa katika success lader???!!!!
Hutaelewa wewe hata jua likitoka magharibi!!!!!
Kama mkulima au sio its up to you ila msimamo wako ndio kichefuchefu changu!!!!!!
Kama hujui crop rotation mpaka sasa uje mashambani ule shule watu wanageukia herbicides we unaogopa mbolea????!!!!!
Au hujui hata hizo harrow na chisels zinasaga udongo???!!!!
Acha watajwe kama wapo ili wajulikane wewe si huridhiki na hali ilivyo sasa ukitajiwa wanaosababisha huoni its a way forward????!!!
Kijana kusoma kwako ulipoambiwa hayo maneno ya kwenye research ukajua hata katika siasa itakuwa hivyo, haya alipo wataja nani ambaye ameshachukuliwa hatua za kisheria? Mbona wengi wao walienda kwenye majimbo yao na kushinda chaguzi? Usifiri kila kitu utatumia shule kukitatua, Kuondoa rushwa hakuitaji ukasomee.
Hivi unaposema mimi sijui mfumo wa kulima mazao kwa mzunguko nakushangaa sana, swala hapa ni mbolea waulize wananchi wa mikoa ya Shinyanga, Mwanza na Mara kwanini hawapati mazao ya kutosha, na kajifunze madhara ya mbolea iliyotumiwa miaka ya 70 na 80 katika mikoa hiyo. Acha kukariri unafikiri kusoma kwako ndiyo umejua kila kitu.
Ccm wote bila shaka wanaona hazitoshi. Humo pia atakuwamo shibuda wa cdm.
Ha ha ha aaaaaaah daanh hapa natwanga maji kabisa!!!!!!!!!
Siasa bila utafiti ndio hizi mnazodanganyia wananchi masikini!!!!!!!
Hawahoji na.hapa sasa hutaki role ya applied research kwenye maisha halisi!!!!!!!
Hayo sio maneno ya research hayo yapo tu hata unapoamua kumfuata msichana kwa minajili ya mapenzi!!!!!!
Yani wewe ndiye huelewi ndo maana unataoa mifano isiyoendana, kuhitaji msichana kumtongoza awe mpenzi wako hakuhitaji research kwa maisha ya sasa, akili yako ikimtamani unamwaga sera, Katika mapenzi unaanza kutamani hafu ndo unapenda sawa!
OLESAIDIMU ukimkimbiza kichaa aliyekuchukulia nguo zako ukioga mtoni hivi huwa inatafsiriwaje tena...! Hahaha kazi unayo ndugu yangu yangu.
acheni uongo nani ni mtu na mkewe mle munawasingizia ebu wataje tuone