DHARURA: Naitisha kikao cha wanaume usiku huu tujadili bei elekezi ya mahali kwa mchumba

DHARURA: Naitisha kikao cha wanaume usiku huu tujadili bei elekezi ya mahali kwa mchumba

Unavyoenda kutoa mahari, ni wakati wa kampeni (inaamuliwa Kama upewe Jimbo au la 😀) Chagua msemaji rasmi, kampeni manager (MSHENGA). Halafu hayo mengine yanazungumzika. Usiogope bei itakayotajwa mwanzo bali pambaneni hadi waridhie kiasi mlichonacho.

ANGALIZO, kuna familia inaweza kuwa imekukataa wakaona njia rahisi ni kukutajia mahari kubwa
 
Leo naingia ofisini nimemkuta kijana wangu mmoja ana manung'uniko sana na nilitegemea awe na furaha sababu alitujulisha anaenda kuchumbia. Kummuliza shida nini akasema story ile ile inayotaka kufanana na nilichokiona humu jf Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Dogo kaenda kule wamemwambia mahali million 5 wakati ilikua laki 8 kwa makubaliano ya awali.

Wanaume wenzangu ipi ni bei elekezi ya mahali? Bei hii tutaisambaza iwezekanavyo kwa wahusika pande zote ili hii scamming ya kucharge mahali kubwa ikomeshwe.

Category na mapendekezo
1)Mchumba std 4 - elf 50,000 hadi laki 2
2)Mchumba std 7 - laki 2 hadi 3
3)Mchumba form 4 - laki 4
4)Mchumba form 6 - laki 5
5)Mchumba diploma - laki 6
6)Mchumba degree ya arts - laki 7 na nusu
8)Mchumba degree ya science - laki 9

Nafungua kikao.
Mm yamenikuta wiki iliyopita siku ya kutoa mahari,
Mwanzo tulielewana vizur kabisa, siku yakuja kuchukua mahari wananigeuka tena wanataka mahari iongezeke, nikawaambia nyambafu kwani mtoto wenu anakuja na mabati, kama vp msepe mbona walinyooka
 
Back
Top Bottom