All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Kwa nini usianze sasa kama wewe si mnafiki tu???!Tutaanzisha kampeni ya kuanika watu wote wenye dhiki baada ya Ramadhan , Liwalo na liwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini usianze sasa kama wewe si mnafiki tu???!Tutaanzisha kampeni ya kuanika watu wote wenye dhiki baada ya Ramadhan , Liwalo na liwe
Kwa bongo utasubiri hadi ufeHuu ni ujinga na uuache. usimpe mtu chakula bali mpe maarifa na nyenzo bora za kupata Chakula.
angalia picha pale juuKwa nini usianze sasa kama wewe si mnafiki tu???!
Lingekuwa hili ni swali a (Genuine question) ninge kujibu. Laiti ni kashfa kwa lengo la kuonyesha ukuu wa Nchi nyingine dhidi ya nyingine. Nitakula bati tu, ukatafute majibu mwenyewe Serikalini.Ni lini serikali yako imesambaza chakula ?