Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Huenda thamani ya shilingi imetelemka sana kwa hiyo purchasing power ya watu imepungua.
 
Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
Watoto wetu na wake zetu wanapewa chanjo za magonjwa mbalimbali tangu wakiwa na mimba miezi mitatu ili kumkinga mama na mtoto kutoka huko huko ulikotoka mchele hivi hao wazungu wangeamua kupitia chanjo hizo vizazi vyetu viwe machoko nyumba gani ingepona
 
Wewe mbwa, keyboard hero unadhani wazungu wakitaka kukuuwa watatumia chakula? Mbona chanjo na dawa za binadamu tunategemea kutoka kwa wazungu? Chanjo zote ulizochanjwa ametengeneza mama yako? Hadi vijiti vya meno vinatoka kwa wazungu. Unafikiri wazungu wakiweka sumu kwenye chanjo na vijiti vya meno nani atabaki salama?

Acheni ujinga wa kijinga usiokuwa na tija. Nipeni hiko chakula nile na familia yangu tuone kama hamtakuja kunidoea. Mmelaaniwa nyie mbwa koko.
Kuna watanzania ambao akili zao sijui zikoje!Hivi huo mchele nani amethibitisha kwamba umewekwa viambata vya kuchochea uchoko?Nchi ina watu walioajiriwa na serikali na wanalipwa mishahara kwa kuhakiki standard za ubora wa kila bidhaa iingiayo .Je Tbs wameshindwa kuhakiki ubora wa huo mchele mpaka huu mtanziko usio na sababu uendelee?Kama ni hivyo hiyo Tbs ni ya nini ?
 
Kuna watanzania ambao akili zao sijui zikoje!Hivi huo mchele nani amethibitisha kwamba umewekwa viambata vya kuchochea uchoko?Nchi ina watu walioajiriwa na serikali na wanalipwa mishahara kwa kuhakiki standard za ubora wa kila bidhaa iingiayo .Je Tbs wameshindwa kuhakiki ubora wa huo mchele mpaka huu mtanziko usio na sababu uendelee?Kama ni hivyo hiyo Tbs ni ya nini ?
Lakini cha kushangaza ARV wanapokea bila shida
 
Kuna watanzania ambao akili zao sijui zikoje!Hivi huo mchele nani amethibitisha kwamba umewekwa viambata vya kuchochea uchoko?Nchi ina watu walioajiriwa na serikali na wanalipwa mishahara kwa kuhakiki standard za ubora wa kila bidhaa iingiayo .Je Tbs wameshindwa kuhakiki ubora wa huo mchele mpaka huu mtanziko usio na sababu uendelee?Kama ni hivyo hiyo Tbs ni ya nini ?
TBS walishapima na kujiridhisha kuwa mchele huo ni salama na bora kwa matumizi ya binadamu lakini anajitokeza msomali mkoja amevimbiwa maharage ya Mbeya anakuja kuchafua hali ya hewa. Kama ameshindwa kukaa hapa nchini kwa amani ni afadhali arudi kwao akapambane na Al Shaabab. Naona amelewa amani na utulivu.
 
Wanaopinga chakula ni wale wanaoshiba.pana watz sasa hivi ndo wanakula hadi kesho Tena mida kama hii.
 
Alafu watu washenzi Sana, eti hii nchi inamchele wa kutosha wakati zipo shule nyingi tu ndani ya hii nchi wanafunzi hawapati hata uji shuleni. Sawa mahindi na Michele upo wa kutosha sasa mbona wanafunzi hawapati chakula shuleni?
Well Noted Mkuu

Mijamaa imeshiba imekalia mavieeti
 
Nilikuwa naangalia mchanganuo wa bajeti yetu ya tilioni 44+, makusanyo yetu yote ni tilioni 29 tu, zingine 40%lazima tukope, na kwa hiyo yetu 29tilioni, tilioni 5 tu ndio maendeleo, zingine ni matumizi ya kawaida, mishahsra, posho, safari, na kulipa madeni!
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Asanteni wahisani wetu USAID.
WaTanzania tunahitaji sana hiyo maposho. Hawa wanaokula hela za walipa kodi kwa uwezo wa kamba zao hawahitaji hiyo chakula.
Wao wana uwezo wa kula nyama kila siku na wine [emoji485] nzuri.

Sisi wa huku kwa walala Hoi ugali tembele tunahitaji chakula hiyo is iende popote kama ipo hapa tayari tugawieni tukule.
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Uzi huu umenigusa Sana, japo wote tuna Maisha magumu lakini kuna watu ni maskini wa kunuka Yani kila siku ijayo kwake ndo anajisemea Bora Jana [emoji19]
 
Uzi huu umenigusa Sana, japo wote tuna Maisha magumu lakini kuna watu ni maskini wa kunuka Yani kila siku ijayo kwake ndo anajisemea Bora Jana [emoji19]
Hakika sana
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Huu ni ujinga na uuache. usimpe mtu chakula bali mpe maarifa na nyenzo bora za kupata Chakula.
 
Back
Top Bottom