Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tenaa uwape makavu yao kabisaaa.
 
USHOGA UPO HAPA TOKA MIAKA YA 90S HUKO. NA MASHOGA TUNAWAFAHAMU WENGI TU HAPA DAR WALIKUWA HAWAJAWAHI KUVUKA HATA NAIROBI. NI WA TANGA,DAR,ZANZIBAR, MTWARA,LINDI n.k
Bora hata mseme ukweli, tumechoka na uongo wa kipuuzi.
 
maisha yalivyo magumu ila wale ccm wa utumbo mpana watakwambia uchumi umeongezeka.
ukiona mtu anakuja kukuomba pesa ya chakula au chakula ujue nchi imefika pabaya sana.
 
Kupinga huo msaada wa chakula ni tabia ya uchoyo na roho mbaya
 
Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
Kwahyo Makorokoro Bondeni kaathirika [emoji16]
 
Oya nyie tuache masikhara, kosa vyote ila usiombe njaa ya CHAKULA ikupate... Its very hard to handle [emoji24]
 
Watoto zaidi ya milioni kumi wanalala na njaa Marekani.

Itoshe kusema, Watoto wa Kiafrika(African Americans) ndio kabisa wanalala njaa maradufu ukilinganisha na Wamarekani wengine wa kutoka ulaya. Kwanini? Mnafikiri wanawajali watoto wa DODOMA kihivyo?

Tusidanganyane

Kwanini wasianzie huko kwao? kwamba wao hawana dhiki?

Sasa likija suala la Lishe, Watanzania bora wale huu ugali na kisamvu na dagaa mara mia kuliko hivi vyakula ambavyo vimechakachuliwa na kuongezwa virutubisho. Yaani hata huko kwao kuna kampeni kabambe mashuleni watoto wasilishwe vyakula kama hivi wanavyovileta huku kwasababu vimeonekana kusababisha magonjwa mengi tu, pamoja na Utapiamlo.

Ushabiki mwingine ni wa Kishamba tu.

In short hawana ukuu wowote ule ikiwa kwamba wenyewe wanashindwa kujilisha. Ni photo op tu.
 
Kuna watu hua napita njia nikielekea ghetto nikiwa natoka masjed nawaona wako nje wanafuturu wali maharage familia nzima wamezunguka wanafuturu wali maharage daaah roho inaniuma sana ndio hivyo tu na mm bado mambo yangu hayaeleweki

Waafrika kuna possibility ya kuishi hivi hivi mpaka kiama yaani sijui tuna shida gani jamani hasa kwenye kujiongoza vizuri angalau tukahakikisha tunapunguza lindi la umaskini
Watanzania wengi ni maskini hasa wanaopata milo mizuri ni kiwango kidogo sana

Wamarekani tunaomba msituletee tu wali tuleteeni basi hata na viongozi kadhaa watuongoze jamani sisi tumeshindwa kabisa
Tatizo kubwa ni UPIGAJI UPIGAJI UPIGAJIIIII..

Hatuna shida nyingine.
 
Kunamifala humu inajidai inamisimamo LAKINI ikiskia Mchele huo unagawiwa itakimbilia KUOMBA hata kibaba kimoja!! Asiyetaka alale atuliee
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Ndo maana nilisema hukoo kwamba kama kutuua wacha watuue kwa sababu tumekuwa ni taifa lenye idadi kubwa ya machawa badala ya thinkers na watatua matatizo.

Nchi hii ukiwa na fikra mbadala za maendeleo ndo unakuwa unatembea na tiketi ya kifo mkononi.
 
Back
Top Bottom