Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Dhiki waliyonayo Watanzania inatisha, Waacheni wapewe msaada wa Chakula kuondoa Utapiamlo

Msipende kutukana maana hamkawii kuonyesha ujuha wenu. Hao wamarekani wanaanzaje kupeleka chakula Sudan, Somalia na hata Haiti? Kwa ujuha wako unadhani hivyo vimchele walivyotuletea ndio umemaliza kabisa akiba yao ya mchele kiasi kuwa hawawezi kusaidia nchi nyingine?

Hawa watu wanawajengea mpaka matundu ya vyoo mashuleni mwenu, unadhani wakiwa wanafanya hivyo hawaoni dhiki ya wanafunzi wanaosoma shule hizo?

Ovyo kabisa.

Amandla...
Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
 
Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
Aiseeeee !!
 
Umemjibu vizuri sana asee maadamu yeye yupo Kwa shemeji yake anapata milo 3 tena unaweza kuta ni Milo mibovu tu kazi kulala kwenye sofa anahisi watanzania wote wanakula kama yeye hapa hapa mjini ni wanafunzi wangapi wanashinda njaa mashuleni siku nzima wanashindia maji ya kandoro ni vibajia viwili vitatu hapo hujaenda bado vijijini huko ambapo ndio taabani kabisa

Makorokoro Bondeni usituletee hoja za kichoko hapa hao wamarekani wangeamua kukuwekea ushoga ungekua shoga kitambo sana kwenye hizo ARV unazokunywa wangeshakufanya shoga kitambo sana au hizo ARV unatengeneza wewe na Dada ako hapo Kwa shemeji yako kuna watu mnauzi sana
Na uthibitisho mwingine ni tangaza shughuli mtaani halafu weka masinia ya wali na maharage uone watoto na watu wazima watakavyofakamia. Hawa vijana ni wajinga mno.

Amandla...
 
Na uthibitisho mwingine ni tangaza shughuli mtaani halafu weka masinia ya wali na maharage uone watoto na watu wazima watakavyofakamia. Hawa vijana ni wajinga mno.

Amandla...
😆😆😆😆
 
Tanzania hatuna dhiki kuwashinda Sudan na Somalia.Zambia juzi kati wametangaza baa la njaa,iweje sisi watanzania ndio tupewe kipaumbele wakati hatuna njaa kihivyo?Umiza kichwa kufikiri siyo unafikiri kutumia kwa kutumia makalio.
huo mradi wa kulisha mashule sio wa leo wapa jana, una miaka mingi sana,
 
Tanzania hatuna dhiki kuwashinda Sudan na Somalia.Zambia juzi kati wametangaza baa la njaa,iweje sisi watanzania ndio tupewe kipaumbele wakati hatuna njaa kihivyo?Umiza kichwa kufikiri siyo unafikiri kutumia kwa kutumia makalio.
Hiyo baa ya njaa ndiyo ikoje mkuu? Njaa inauzwa kwenye baa?
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
HIcho ni kisgino cha mjomba wako na chako ni hiki!
 

Attachments

  • FB_IMG_1695019307754.jpg
    FB_IMG_1695019307754.jpg
    68.8 KB · Views: 2
Mimi nimeblow kusikia mtu anamchinja mwanawe akampika akala. Unaweza kutafsiri uwezavyo ila hii ni Red alert mbaya na hatari.

Pia ni laana kubwa kwa wanaosababisha dhiki hiyo.
 
Upo sahihi. Huo Michele Mimi mwemyewe nautaka

Tanzania ni nchi masikini sana.
Upo sahihi Tanzania ni masikini sana.

Tembelea maeneo ya mashamani/vijijini watu ni masikini hadi unajiuliza nini kinaendelea hapa? Watu wamefubaa wana njaa hatari.

Hata mijini vijana kwa wazee wanashinda njaa. Wamechoka hawana kitu.
 
Upo sahihi Tanzania ni masikini sana.

Tembelea maeneo ya mashamani/vijijini watu ni masikini hadi unajiuliza nini kinaendelea hapa? Watu wamefubaa wana njaa hatari.

Hata mijini vijana kwa wazee wanashinda njaa. Wamechoka hawana kitu.
Pokeeni mchele jamani , mtaua raia
 
View attachment 2937653

Wazungu wasingeweza kuleta Chakula Tanzania ikiwa nchi hii inajitosheleza kwa Chakula , wanayo macho na wanaona hali halisi ya Wananchi

View attachment 2937645View attachment 2937646

Viongozi acheni uongo wa kijinga , okoeni maisha ya wananchi wenu ambao ni wazi mnajua wana dhiki utadhani nchi iko vitani , mnataka kuficha kitu gani na ni kwa manufaa ya nani ?

Kwa mfano , Wilayani Temeke familia nyingi zinaishi kwa mlo mmoja tu tena wa ugali mkavu , Keko , Tandika , yombo , Buza , Mbagala na maeneo kibao dhiki imetamalaki , ni lini serikali ya Tanzania ilipeleka msaada wa msosi maeneo haya ? mnadhani vijana wanaosoma wana hali gani ?

Eti ushoga ! ni nani aliwaambia ushoga unaletwa na chakula ? kwa taarifa yenu chanzo kikuu cha ushoga , mimba za utotoni , maambukizi ya Ukimwi huletwa na dhiki duni ya kujikimu ikiwemo dhiki ya msosi , Tafiti kibao zimefanyika , kwanini mnaficha ? hebu kueni na huruma pokeeni chakula ili kuokoa raia wenu ambao wengi wamezeeka kutokana na dhiki .

Tunafahamu kwamba nyie mnashiba na Mara zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa .

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
UMEMALIZA KILA KITU. SISI MACCM NI MANAFIQ SANA. NA UNAFIQ WETU NI WA KIWANGO CHA PHD KABISA. MI NAUMIA TU KUWA HAWA USA HAWAJATOA CASH. WANGETOA MSAADA KWA CASH NDO INGEKUWA BOMBA NASI TUNGEPATA CHOCHOTE KITU. WAO WAMETOA MZIGO AMBAO HATUWEZI KUUPIGA JINSI ULIVYO. IMENIUMA SANA.
 
UMEMALIZA KILA KITU. SISI MACCM NI MANAFIQ SANA. NA UNAFIQ WETU NI WA KIWANGO CHA PHD KABISA. MI NAUMIA TU KUWA HAWA USA HAWAJATOA CASH. WANGETOA MSAADA KWA CASH NDO INGEKUWA BOMBA NASI TUNGEPATA CHOCHOTE KITU. WAO WAMETOA MZIGO AMBAO HATUWEZI KUUPIGA JINSI ULIVYO. IMENIUMA SANA.
Na kama ingekuwa cash usingesikia kwamba zimeletwa , zingepigwa juu kwa juu
 
Na kama ingekuwa cash usingesikia kwa.ba zimeletwa , zingepigwa juu kwa juu
SASA TUWAAMBIE KWANI NI MTANGAZO YA VIFO?????????????????? CASH TUNGEZIFANYIA KAZI SISI WENYEWE. TUNGEENDA KUNUNUA MCHELE KENYA. NDO LILIKUWA LENGO LETU. SEMA KUNA MBWA AKAWATONYA UBALOZI WAKASEMA HAINA SHIDA BADALA YA PESA WATALETA MCHELE.SISI TULITAKA TUPEWE MSHIKO KISHA TUENDE KENYA KUNUNUA MCHELE AMBAO KENYA WANANUNUA KWETU.
 
Tanzania hatuna dhiki kuwashinda Sudan na Somalia.Zambia juzi kati wametangaza baa la njaa,iweje sisi watanzania ndio tupewe kipaumbele wakati hatuna njaa kihivyo?Umiza kichwa kufikiri siyo unafikiri kutumia kwa kutumia makalio.
Ndo wakuletee ushoga? Yaan mnawaza upuuzi muda wote.
Ushoga uko hapa kabla ya hiyo misaada na mikopo.
Mfyuuuh
 
SASA TUWAAMBIE KWANI NI MTANGAZO YA VIFO?????????????????? CASH TUNGEZIFANYIA KAZI SISI WENYEWE. TUNGEENDA KUNUNUA MCHELE KENYA. NDO LILIKUWA LENGO LETU. SEMA KUNA MBWA AKAWATONYA UBALOZI WAKASEMA HAINA SHIDA BADALA YA PESA WATALETA MCHELE.SISI TULITAKA TUPEWE MSHIKO KISHA TUENDE KENYA KUNUNUA MCHELE AMBAO KENYA WANANUNUA KWETU.
Hakuna mzungu asiyeijua ccm
 
Tanzania hatuna dhiki kuwashinda Sudan na Somalia.Zambia juzi kati wametangaza baa la njaa,iweje sisi watanzania ndio tupewe kipaumbele wakati hatuna njaa kihivyo?Umiza kichwa kufikiri siyo unafikiri kutumia kwa kutumia makalio.
NYIE MNA NJAAA.....MBONA TUNAWAONA MNA NJAA SANA TU. WEWE MWENYEWE HAPO KWA ULICHOANDIKA UNAONESHA KABISA UNA NJAA.
 
Ndo wakuletee ushoga? Yaan mnawaza upuuzi muda wote.
Ushoga uko hapa kabla ya hiyo misaada na mikopo.
Mfyuuuh
USHOGA UPO HAPA TOKA MIAKA YA 90S HUKO. NA MASHOGA TUNAWAFAHAMU WENGI TU HAPA DAR WALIKUWA HAWAJAWAHI KUVUKA HATA NAIROBI. NI WA TANGA,DAR,ZANZIBAR, MTWARA,LINDI n.k
 
Back
Top Bottom