Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.