Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
- Thread starter
- #21
Upana Migongo 5= 80Cm , Migongo 6=90Cm ???Kanunue kiboko migongo mitano hautauta,,,bati zingine unakuta zina migongo 6 lakini feki hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upana Migongo 5= 80Cm , Migongo 6=90Cm ???Kanunue kiboko migongo mitano hautauta,,,bati zingine unakuta zina migongo 6 lakini feki hatari
Ukiuziwa bidhaa feki hiyo ni zaidi ya zali. Hapo unabeba hiyo bidhaa unabeba risiti unakwenda mahakamani unafungua kesi ya utapeli, unakwenda TBS inawaripoti unakwenda kwenye social media unawatangaza kuwa ni matapeli na unapost video na risiti zao kila kitu uone kama hawatakutafuta na offer ya kukupa bidhaa halisi.Kwenye chuma ndo usiseme.
Jamaa wamepinguza urefu wa chuma kutoka mita6 Hadi mita Tano(square pipe,black pipe,flat bars,nondo yani Kila aina ya chuma na plates za mabati.
Ubora nao wamechakachua vibomba vyepesii, plate bati nyepesii yani ukitegeneza gate la France ndani ya miaka 2 inabidi ubadilishe. Nondo zenyewe zimechakachuliwa nondo ukiikunja inavyunjika kama ukuji mkavu.
Kiukweli hii nchi mamlaka zimejisahau sana, sasa wafanya biashara wanatumia uzaifu huo kuzalisha ma bidhaa yasiyokuwa na viwango maana hakuna wa kufuatilia.
TBS tokeni maofsini nendeni viwandani muone watu wanavyo chapisha bidhaa zisizo na ubora, hasa viwanda vya wachina.
Wanaweka kwenye nini sasa mbona sijawahi kusikia.Kenya wanajali ubora ndo maana hata Unga wa Ngano hukuti kwenye viroba
Wanafungasha kwenye mifuko ya karatasi kilo 2 kama azaniaWanaweka kwenye nini sasa mbona sijawahi kusikia.
Aaaah okay. Yaani ile inakuwa kama pakti hivi?!Wanafungasha kwenye mifuko ya karatasi kilo 2 kama azania
Hawawezi kwenye viroba wao unga wanafunga kwenye bifungashio kama nganoWanaweka kwenye nini sasa mbona sijawahi kusikia.
Shida ipo katika mfumo wetu wa elimu watu wanaharibika kuanzia mbali haya ni matokeo tuKenya kuna mabati ya uhakika sana na bei nafuu,sijui bongo kuna shida gani
YEsAaaah okay. Yaani ile inakuwa kama pakti hivi?!
Mkuu hakuna jeshi la mtu mmoja liliwahi kupigana vita likashinda "mark my words".Ukienda kiwandani usiende kizembe wakizingua wawashie moto ile ya kibabe hadi washike adabu.
Ndo manake,,,usikimbilie upana utapoteaUpana Migongo 5= 80Cm , Migongo 6=90Cm ???
Watanzania tuna shida ya uongozi mkuu, kuanzia juu kbs mpaka chini kabisa,Kenya kuna mabati ya uhakika sana na bei nafuu,sijui bongo kuna shida gani
Hakuna ki mamlaka Cha hovyo hii nchi kama TBSKweeeli. Mfano Kiwanda Mwenge kinaajiri watu kugonga ncha (ends) za squire pipes zionekane zina unene mkubwa. Stipido. Chumvi hewani inazitoboa haraka sawa "Tangi bovu" Mbezi beach
Unatafuta kifo wewe! Wale watu wanakula na wakubwa wa huko idarani na usifikiri hao TBS hawajui kinachoendelea.Ukiuziwa bidhaa feki hiyo ni zaidi ya zali. Hapo unabeba hiyo bidhaa unabeba risiti unakwenda mahakamani unafungua kesi ya utapeli, unakwenda TBS inawaripoti unakwenda kwenye social media unawatangaza kuwa ni matapeli na unapost video na risiti zao kila kitu uone kama hawatakutafuta na offer ya kukupa bidhaa halisi.
Tatizo mnawachekea.
Unatafuta kifo wewe! Wale watu wanakula na wakubwa wa huko idarani na usifikiri hao TBS hawajui kinachoendelea.
Unaweza kupinduliwa kesi ukashangaa wewe ndo unashitakiwa kwa kuichafua kampuni then ukadaiwa fidia ya billion 50🤣 fanya masihara na hii nchi Nini???