Dhuluma na wizi viwanda vya Mabati Dar, TBS oneni haya

Dhuluma na wizi viwanda vya Mabati Dar, TBS oneni haya

Unatafuta kifo wewe! Wale watu wanakula na wakubwa wa huko idarani na usifikiri hao TBS hawajui kinachoendelea.

Unaweza kupinduliwa kesi ukashangaa wewe ndo unashitakiwa kwa kuichafua kampuni then ukadaiwa fidia ya billion 50🤣 fanya masihara na hii nchi Nini???
Kweli wanaweza kukuoka kama samaki. Usidhani wakubwa hawajui na ndiko wanapate pesa ya kusomesha watoto wao Uraya
 
Hivi vimacho madogo (Chinese) ni viharibifu sana, wakivamia nchi wakakuta viongozi wake wamelala au wapenda Rushwa ujue mmeisha. Karibia takataka zote za hovyo zinazo zalishwa ama kuingizwa nchini wao ndo wanahusika.

Wana viwanda vya kuzalisha bidhaa zisizo na ubora Kila Kona ya Dar, mpaka majumbani unakuta wametengeneza mitambo wanazalisha bidhaa fake
 
Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.

Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
vitu vingine tumia akili,, Bei inatosha sana kukuambia quality ya product, halafu kuna wataalam, shida wabongo mnaleta ujuaji na ubahili wakati ungemtumia mtaalam ungempa ganji ya usumbuf lakini ujuaji mwisho wa siku unawatia hasara na hambadilikiii. hata TBS wananunulika na mihuri yao jiongezeee
 
Ukiuziwa bidhaa feki hiyo ni zaidi ya zali. Hapo unabeba hiyo bidhaa unabeba risiti unakwenda mahakamani unafungua kesi ya utapeli, unakwenda TBS inawaripoti unakwenda kwenye social media unawatangaza kuwa ni matapeli na unapost video na risiti zao kila kitu uone kama hawatakutafuta na offer ya kukupa bidhaa halisi.

Tatizo mnawachekea.
iliwahi kutokea sehemu gani hiyo drama yako bongo???
 
vitu vingine tumia akili,, Bei inatosha sana kukuambia quality ya product, halafu kuna wataalam, shida wabongo mnaleta ujuaji na ubahili wakati ungemtumia mtaalam ungempa ganji ya usumbuf lakini ujuaji mwisho wa siku unawatia hasara na hambadilikiii. hata TBS wananunulika na mihuri yao jiongezeee
Hakuna asiyejua kuwa cheap is expensive,unafikiri kuna mtu ambaye angependa kununua kitu kama bati ambalo ndio linaenda kufunika nyumba au pango lako unalokwenda kuishi maisha yako yote halafu lije kuvuja baada ya muda mfupi?watu wanaelewa kuwa hayo mabati ubora wake ni mdogo,lakini ni bora yatamsaidia kuvuta muda wa maisha yake akiwa kwake kuliko kujidanganya kusubiria upate hela ambayo hutakuja kuipata na ukakosa nyumba ya kuishi ya ndoto yako maisha yako yote...
 
Hakuna asiyejua kuwa cheap is expensive,unafikiri kuna mtu ambaye angependa kununua kitu kama bati ambalo ndio linaenda kufunika nyumba au pango lako unalokwenda kuishi maisha yako yote halafu lije kuvuja baada ya muda mfupi?watu wanaelewa kuwa hayo mabati ubora wake ni mdogo,lakini ni bora yatamsaidia kuvuta muda wa maisha yake akiwa kwake kuliko kujidanganya kusubiria upate hela ambayo hutakuja kuipata na ukakosa nyumba ya kuishi ya ndoto yako maisha yako yote...
what is your point idiot???
 
Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.

Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Kama unataka bati kweli ni ALAF, bei zake peke yake zinakupa majibu kwa nini ni ghari.
 
Kama unataka bati kweli ni ALAF, bei zake peke yake zinakupa majibu kwa nini ni ghari.
Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
 
Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.

Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Ukitaka bati la uhakika agiza kutoka south africa.
 
Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.

Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
Kitu hicho hapo kimenyoka vizuri kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20230901-152925.jpg
    Screenshot_20230901-152925.jpg
    51.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230901-152848.jpg
    Screenshot_20230901-152848.jpg
    33.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230901-152908.jpg
    Screenshot_20230901-152908.jpg
    52.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230901-152939.jpg
    Screenshot_20230901-152939.jpg
    25.7 KB · Views: 6
Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
kuhusu upana sijui, ila kupauka kwa bati za ALAF ni Big No
labda kama ulichukua kwa wakala hewa
 
Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.

Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Wenye kulisimamia hilo ndiyo wenye hisa huko usitegemee kama watalifanyia kazi, ukitaka kuamini chukua bati la Galco la mwaka 80 la gauge 28 linganisha na 28 ya sasa utagundua kuwa ni takataka
 
Kwenye chuma ndo usiseme.
Jamaa wamepinguza urefu wa chuma kutoka mita6 Hadi mita Tano(square pipe,black pipe,flat bars,nondo yani Kila aina ya chuma na plates za mabati.

Ubora nao wamechakachua vibomba vyepesii, plate bati nyepesii yani ukitegeneza gate la France ndani ya miaka 2 inabidi ubadilishe. Nondo zenyewe zimechakachuliwa nondo ukiikunja inavyunjika kama ukuji mkavu.

Kiukweli hii nchi mamlaka zimejisahau sana, sasa wafanya biashara wanatumia uzaifu huo kuzalisha ma bidhaa yasiyokuwa na viwango maana hakuna wa kufuatilia.

TBS tokeni maofsini nendeni viwandani muone watu wanavyo chapisha bidhaa zisizo na ubora, hasa viwanda vya wachina.
Na Bado TBS ipo na ina Watumishi

Nchi hovyo sana hii
 
Back
Top Bottom