Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tz ni zaidi ya uijuavyo.Hivi nchi yetu kunasehemu hata moja ambapo wanafanya kazi kwa usahii?kila sehemu rushwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz ni zaidi ya uijuavyo.Hivi nchi yetu kunasehemu hata moja ambapo wanafanya kazi kwa usahii?kila sehemu rushwa
Kama umeshafanya utafiti unaweza kuzitofautisha hata kwa kushika kwa mikono.Bati za kichina ni wiz mtupu bat nyingi ni geji 32 hawaandiki geji wanaandika mm 0.2 hiyo ni geji 32 halafu unaambiwa geji 30
Kweli wanaweza kukuoka kama samaki. Usidhani wakubwa hawajui na ndiko wanapate pesa ya kusomesha watoto wao UrayaUnatafuta kifo wewe! Wale watu wanakula na wakubwa wa huko idarani na usifikiri hao TBS hawajui kinachoendelea.
Unaweza kupinduliwa kesi ukashangaa wewe ndo unashitakiwa kwa kuichafua kampuni then ukadaiwa fidia ya billion 50🤣 fanya masihara na hii nchi Nini???
Kabisa kabisa mkuuKweli wanaweza kukuoka kama samaki. Usidhani wakubwa hawajui na ndiko wanapate pesa ya kusomesha watoto wao Uraya
Kweli haiwezekani TBS wana ofisi Dar na viwanda vipo jirani maafisa wake wasijue kinachoendelea. God saveunapoteza mda kumtag huyo TBS, maana wanajua michezo yote hiyo
wanapokea % huko kufunga midomo
vitu vingine tumia akili,, Bei inatosha sana kukuambia quality ya product, halafu kuna wataalam, shida wabongo mnaleta ujuaji na ubahili wakati ungemtumia mtaalam ungempa ganji ya usumbuf lakini ujuaji mwisho wa siku unawatia hasara na hambadilikiii. hata TBS wananunulika na mihuri yao jiongezeeeMiaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
iliwahi kutokea sehemu gani hiyo drama yako bongo???Ukiuziwa bidhaa feki hiyo ni zaidi ya zali. Hapo unabeba hiyo bidhaa unabeba risiti unakwenda mahakamani unafungua kesi ya utapeli, unakwenda TBS inawaripoti unakwenda kwenye social media unawatangaza kuwa ni matapeli na unapost video na risiti zao kila kitu uone kama hawatakutafuta na offer ya kukupa bidhaa halisi.
Tatizo mnawachekea.
Hakuna asiyejua kuwa cheap is expensive,unafikiri kuna mtu ambaye angependa kununua kitu kama bati ambalo ndio linaenda kufunika nyumba au pango lako unalokwenda kuishi maisha yako yote halafu lije kuvuja baada ya muda mfupi?watu wanaelewa kuwa hayo mabati ubora wake ni mdogo,lakini ni bora yatamsaidia kuvuta muda wa maisha yake akiwa kwake kuliko kujidanganya kusubiria upate hela ambayo hutakuja kuipata na ukakosa nyumba ya kuishi ya ndoto yako maisha yako yote...vitu vingine tumia akili,, Bei inatosha sana kukuambia quality ya product, halafu kuna wataalam, shida wabongo mnaleta ujuaji na ubahili wakati ungemtumia mtaalam ungempa ganji ya usumbuf lakini ujuaji mwisho wa siku unawatia hasara na hambadilikiii. hata TBS wananunulika na mihuri yao jiongezeee
what is your point idiot???Hakuna asiyejua kuwa cheap is expensive,unafikiri kuna mtu ambaye angependa kununua kitu kama bati ambalo ndio linaenda kufunika nyumba au pango lako unalokwenda kuishi maisha yako yote halafu lije kuvuja baada ya muda mfupi?watu wanaelewa kuwa hayo mabati ubora wake ni mdogo,lakini ni bora yatamsaidia kuvuta muda wa maisha yake akiwa kwake kuliko kujidanganya kusubiria upate hela ambayo hutakuja kuipata na ukakosa nyumba ya kuishi ya ndoto yako maisha yako yote...
Kama unataka bati kweli ni ALAF, bei zake peke yake zinakupa majibu kwa nini ni ghari.Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.Kama unataka bati kweli ni ALAF, bei zake peke yake zinakupa majibu kwa nini ni ghari.
Ukitaka bati la uhakika agiza kutoka south africa.Miaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Siyo rahisi hivyo kama siyo mzoefuKama umeshafanya utafiti unaweza kuzitofautisha hata kwa kushika kwa mikono.
Kwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
Kitu hicho hapo kimenyoka vizuri kabisaKwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
kuhusu upana sijui, ila kupauka kwa bati za ALAF ni Big NoKwa hiyo Alaf wanapiga mihuri ya moto kuonyesha gauge au kiwango @ bati. Lakinu yanapauka miaka michache na upana wake ni mdogo.
Ukweli mtupu. Watu wanaibiwa halafu tunaowalipa kodi zetu wasimamie wako jiko moja. Piga KalamuKama umeshafanya utafiti unaweza kuzitofautisha hata kwa kushika kwa mikono.
Wenye kulisimamia hilo ndiyo wenye hisa huko usitegemee kama watalifanyia kazi, ukitaka kuamini chukua bati la Galco la mwaka 80 la gauge 28 linganisha na 28 ya sasa utagundua kuwa ni takatakaMiaka ya nyuma mabati yalipigwa mhuri kuonyesha gauge au viwango (mf G32, G28), sasa hivi sio hivyo. Unanunua mabati ya mgongo mpana na kofia kwa bei ghali.
Haipiti muda kutu tayari. Unaende kiwandani unalipia mabati ya kukunja, wanakunja na kusababisha uharibufu (kuchanika), bado unalazimishwa kuchukua, wizi mtupu!. TBS na Wizara mko wapi? Ruhusu mabati toka nje.
Uzembe wa TBS, Uzembe wa SerikaliKenya kuna mabati ya uhakika sana na bei nafuu,sijui bongo kuna shida gani
Na Bado TBS ipo na ina WatumishiKwenye chuma ndo usiseme.
Jamaa wamepinguza urefu wa chuma kutoka mita6 Hadi mita Tano(square pipe,black pipe,flat bars,nondo yani Kila aina ya chuma na plates za mabati.
Ubora nao wamechakachua vibomba vyepesii, plate bati nyepesii yani ukitegeneza gate la France ndani ya miaka 2 inabidi ubadilishe. Nondo zenyewe zimechakachuliwa nondo ukiikunja inavyunjika kama ukuji mkavu.
Kiukweli hii nchi mamlaka zimejisahau sana, sasa wafanya biashara wanatumia uzaifu huo kuzalisha ma bidhaa yasiyokuwa na viwango maana hakuna wa kufuatilia.
TBS tokeni maofsini nendeni viwandani muone watu wanavyo chapisha bidhaa zisizo na ubora, hasa viwanda vya wachina.