Dhuluma na wizi viwanda vya Mabati Dar, TBS oneni haya

Dhuluma na wizi viwanda vya Mabati Dar, TBS oneni haya

Watanzania tuna shida ya uongozi mkuu, kuanzia juu kbs mpaka chini kabisa,
-Rushwa inatafunwa kuanzia mjumbe wa nyumba 10 mpaka the top!
-Tabia ya viongozi kupuuza mambo au kutokufatilia kbs( kikubwa mshahara unaingia na maisha Yao yanawaendea vzr) hawana muda wa kutatua changamoto za wengine labda waguswe ndo utaona wanatoa mimacho kodo
-RUSHWA RUSHWA RUSHWA RUSHWA
Mm naamini kabisa hata wewe ukipewa uongozi wowote ule utakuwa janga tu.tanzani hii watu waadilifu wawili tu hayati mwl nyerere na tundu lisu tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna fundi mzoefu aliwahi niambia badala ya kununua G30 za bongo ni heri nitumie G32 bati za Uganda.

Nikaona miyeyusho kumbe alikuwa na hoja!

NB:Bati za Uganda zinaingia maeneo ya Kanda ya Titi na ndiyo kimbilio la Pangu Pakavu.
 
Kwenye chuma ndo usiseme.
Jamaa wamepinguza urefu wa chuma kutoka mita6 Hadi mita Tano(square pipe,black pipe,flat bars,nondo yani Kila aina ya chuma na plates za mabati.

Ubora nao wamechakachua vibomba vyepesii, plate bati nyepesii yani ukitegeneza gate la France ndani ya miaka 2 inabidi ubadilishe. Nondo zenyewe zimechakachuliwa nondo ukiikunja inavyunjika kama ukuji mkavu.

Kiukweli hii nchi mamlaka zimejisahau sana, sasa wafanya biashara wanatumia uzaifu huo kuzalisha ma bidhaa yasiyokuwa na viwango maana hakuna wa kufuatilia.

TBS tokeni maofsini nendeni viwandani muone watu wanavyo chapisha bidhaa zisizo na ubora, hasa viwanda vya wachina.
Ni vizuriii unaponunua uulize specs usichague tu vya bei rahisi
 
Back
Top Bottom