Dhuluma ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yatinga kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa

Dhuluma ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yatinga kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa

Hamieni hukohuko Aljazeera! tu

hamieni huko nje kama kweli mnaamini kuonewa hapa Tz! Mbona kila kukicha mnataka kuwaaminisha mabeberu kuwa hapa kwetu kuna uonevu mkubwa kiasi hicho! Huko ktk nchi zao uonevu mbona umekithiri! Hii mijuha inaboa sana! Tumbafu!
Tuliza kipago binti, nani ahame, tutabanana hapahapa tutamwaga mboga, tutapoteza wote, Siku inakuja
 
CCM mngekuwa na sera za uhakika msingewaita watendaji Ikulu na kuwaamrisha waharibu form za wagombea wa upinzani.
IMG_20191109_083511.jpg
 
Ya mabeberu waachie mabeberu...

Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.

Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.

Mimi naamini kabisa kuwa hata ulichokiandika wewe mwenyewe hapa hukiamini na hapo ulipo ukijisoma, lazima utakuwa unajicheka mwenyewe!!!
 
Ya mabeberu waachie mabeberu...

Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.

Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Ccm bila kufanya hivo itakufa.siasa za hoja haiwezi tena
 
Ccm bila kufanya hivo itakufa.siasa za hoja haiwezi tena
Hoja na vitendo, nikukumbushe tu awamu hii ni ya vitendo zaidi, na vishindo vyake vimeua kabisa dalili za hoja zozote toka upinzani dhaifu.
 
We endelea kujitoa akili
Ya mabeberu waachie mabeberu...

Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.

Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
 
Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.

Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.

My tak.

hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.

Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...

Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.
 
Ya mabeberu waachie mabeberu...

Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.

Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.

Huwa sijui mnaposema kujadili matukio mnamaanisha nini. Hebu tuonyesheni mada za ccm wakikata nondo huku wapinzani wakijadili matukio. Maana wote tuko kwenye nyuzi hizi hizi tena zina page kibao. Hizo zenu huwa mnazijadalia wapi?
 
Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.

Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.

My tak.

hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.

Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...

Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.
Hivi unalia , unalalamika au unaeleza ?
 
Hamjajifunza hata kwa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar mlipo wasusia ccm wakala mboga na ugali wote huku nyie mkibaki mmewakenulia meno wazungu
 
Back
Top Bottom