Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
CCM mngekuwa na sera za uhakika msingewaita watendaji Ikulu na kuwaamrisha waharibu form za wagombea wa upinzani.Kwa kasi ya awamu ya tano, kuna mbadala ya sera kweli?? bora mmezuga kutojua kujaza fomu ili mkimbie aibu ambayo ingewakuta.
Sasa si turudi mezani tubadili kanuni mtunge kanuni rahisi na rafiki, ili mshide kihalali, ili tuamini MNA Sera nzuriKwa kasi ya awamu ya tano, kuna mbadala ya sera kweli?? bora mmezuga kutojua kujaza fomu ili mkimbie aibu ambayo ingewakuta.
Tuliza kipago binti, nani ahame, tutabanana hapahapa tutamwaga mboga, tutapoteza wote, Siku inakujaHamieni hukohuko Aljazeera! tu
hamieni huko nje kama kweli mnaamini kuonewa hapa Tz! Mbona kila kukicha mnataka kuwaaminisha mabeberu kuwa hapa kwetu kuna uonevu mkubwa kiasi hicho! Huko ktk nchi zao uonevu mbona umekithiri! Hii mijuha inaboa sana! Tumbafu!
Wazalendo ni wakina na vibaraka ni wakina nani ?Ngoja tuone,vibaraka na wazalendo nani ataibuka kidedea
CCM mngekuwa na sera za uhakika msingewaita watendaji Ikulu na kuwaamrisha waharibu form za wagombea wa upinzani.
Duu kweli Mbowe mashine kubwa kisiasa Jiwe hamkuti hata kwa chembe
Ya mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Ccm bila kufanya hivo itakufa.siasa za hoja haiwezi tenaYa mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Hii kusifu na kuabudu itatuponzaHakuna jipya, Mabeberu wanatimiza wajibu wao.
Hoja na vitendo, nikukumbushe tu awamu hii ni ya vitendo zaidi, na vishindo vyake vimeua kabisa dalili za hoja zozote toka upinzani dhaifu.Ccm bila kufanya hivo itakufa.siasa za hoja haiwezi tena
Ya mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Hizi zilizopo zina ugumu gani??Sasa si turudi mezani tubadili kanuni mtunge kanuni rahisi na rafiki, ili mshide kihalali, ili tuamini MNA Sera nzuri
Itakua wanasubiri serikali iwasaidie kuuza sera zao. Ngoja tuendelee kusubiri.Hizo Sera wapinzani wakauzie wapi?
Ya mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Hivi unalia , unalalamika au unaeleza ?Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.
Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.
My tak.
hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.
Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...
Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.
Itakua wanasubiri serikali iwasaidie kuuza sera zao. Ngoja tuendelee kusubiri.