Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

sasa bashite kafikaje apo
 
Umeongea mazuri mengi ila kusema eti wanasiasa wa upinzani ndio wanasambaza chuki, akiko lako limekosa sifa ya kuwa katika jukwaa hili LA great thinkers!

Wabunge wanafungwa, wananyimwa dhamana,
Hakuna mikutano ya siasa ambayo IPO ktk katiba,
Hakuna kuruhusu majadiliano ya wawakilishi wa wananchi live,
watu wanalalamika kukatwa na bodi ya mikopo asilimia kubwa zaidi ya mkataba wao,
watu wanapotea katika mazingira yasiyoeleweka name kadhalika!

Haya yote yanaleta chuki kwa wananchi,je hay a ni kazi ya wapinzani?
Grow up bwana!
 
Diamond tena kwenye vichwa vya watanzania
 
Diamond kauimba huu wimbo kwa akili vizuri sana nilicho gundua ndani ya wimbo huu ni direct and iderect themes. Bt wengi hawajausikiliza kwa kuutafakari
Nahisi watakuwa walifeli Somo la Kiswahili Kwenye Matumizi ya Fasihiiii..
Watu ambao wanaupondea huo wimbo
 
Huu uzi unaonyesha jinsi watanzania walivyo shallow kwenye kutafsiri vitu, huu wimbo wengi wametoka kapa! Wameamua kuutafsiri ktk title yake tu ya NIACHE NIKAE KIMYA.
kwahiyo uko deep peke yako na wewe ndio unajua kutafsiri kwa usahihi kile kilichoandikwa
 
Hivi diamond anafaida gani kwa taifa
 
Yaani nape tuu kutolewa ka mtutu mayoweeee ......kipindi slaa kavuja damu kimyaaa.... Kisiasa nilikua namuelewa sana Zitto mpaka alipotweet kitu asichokua na uhakika ....UKURUPUKAJI .... Kama Nape alivyotoa tamko la serikali baada ya kuona video Instagram ..... Makonda alikua na ulinzi wake ni kikosi maalum akaenda clouds lakini kelele nyiiiingi . Watu walitaka avue viatu ndo aingie .... Yaani vikelele visivyo na mashiko yeyote , yaani huezi amini mtu maisha yamemkamata mpaka anakuwa team mange [emoji3] [emoji3] ..... Kweli kabisa mtu unakaa na kujudge kwa info za mange? Kweli sisi watanzania tunamuhitaji Magu kuliko tunavyofikiri ...... Endeleeni kumskiza mange na kuamini serikali imemficha Roma [emoji111]
 
Ndo ulicho gundua tu..au bado unaskiliza..sio lazima utoe hata usichokijua....yaan hata kwa akili ya kitoto unaelewa kabisa mamaake kamwambia akae kimya ila yeye kagoma na kuongelea...yaan wabongo bana..
 
Nahisi watakuwa walifeli Somo la Kiswahili Kwenye Matumizi ya Fasihiiii..
Watu ambao wanaupondea huo wimbo
Sahihi kabisa mkuu huu wimbo ni mzuri na hauna shida isipo kuwa wengi hawajauelewa wao wamebeba dhana moja tu ya nikae kimya wamesahau ndani ya huo ukimya wake yameongelewa mambo indirectly.
 
Tatizo lenu nyie mumeijaji hiyo nyimbo kwa upande mmoja tu,ila diamond amesema kwa kila upande...hebu kaisikilizeni tena hiyo nyimbo
 
Huyu punda ni mfitini sana vita ya Gwajima na RC imepoa ye kaanza kuichochea kwa kutumwa na mtumishi hewa .Bishop aliongea baada ya kutajwa kwenye vita hewa but yeye anakujakuimba eti ni ugomvi wa mtandaoni ndio chanzo.Hapana mvulana huyu asitumike kwenye vitu vya msingi.[HASHTAG]#vivaroma[/HASHTAG]
 
We ambae si muoga na mfuata mkumbo...una nin na unamchango gani kwa Taifa adi apo ulipofikia wew.
 
Tukio la kusindikiza Weekend,


Chadema ilikuwa ya 2010 bana,
 
Unamaanisha kwa kuwa mtu hakai DSM apaswi kukumea uvunjifu wa amani na utawala wa sheria tena vitendo hivyo vinafanya na mkuu wa mkoa?

Ni kweli ushabiki sio mzuri ila tumia akili yako kupambanua mambo vizuri..
 
Sioni shida ya wimbo wake ameeleza hisia zake in mature way labda mna yenu kutaka kila mtu awe ama upande huu ama ule!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…