Maswali ya kujiuliza,,
1:Au ulezi unakufanya usiongee??.maana yake Ni kwamba Labda diamond anaogopa kusimama kwenye ukweli kuhusu vyeti kwakuwa makonda ni mlezi wa WCB..
2:Kuhusu Roma kupotea,,naona anaogopa kuhoji kwakuwa anahofia serikali..
3:Anasema roho iliuma baada ya NEY kukamatwa..Hiyo inamaanisha kwamba ney alisema ukweli na hakupaswa kukamatwa..
4:Ulimi usije niponza..
My take:Naona Diamond anaihofia saaaana serikali,na moja ya mambo anayoyahofia ni TRA..kwa story zilizopo,miezi kama saba iliyopita alipandishiwa kodi kufikia milioni 200,kama mnakumbuka alitoa povu clouds kwenye kipindi cha jahasi AKITISHIA KUHAMA CCM..
Namshauri diamond aache uoga au asikae karibu na siasa..karibuni sana..