Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,648
kule jiandaeni kupokea dabo dabo... Natupia tano muda huu huuMzee tunakusubiri kule kwetu au ndio umeamua kufunga bakuli na kule nini au tina kafa
Bwege kazin Ovyo kabisaUnataka aimbe wimbo wenu wa kipuuzi Makonda amwachie Roma wakati hajamwona akimteka? tujifunze kuwa tunahifadhi maneno.
Na maoni aliyoyatoa Ney wa Mitego kwenye wimbo wake ni aina gani ya Freedom....!!??
Me ndio najua sio lazima ww ujue,ishia kutu kujipa majina,kwani Erick juzi kati amekuwa akitoa ushauri gani dhidi ya Diamond na kiba...uko so awkward ndio maanaUlipambana na shigongo??wap??? Acha unyumbu wewe ni mnafiki kama alivyo huyo daimond
Nimekuelewa Unachoongea na Maneno Yako Yanaishara Nyingi
Hivyo cha Muhimu Tuhifadhi Muda Kuna ya Muhimu Zaidi ya Kuyajadili
Kuwa na Jumamosi Njema, Mkuu
Mkuu bana kwa hiyo wenye akili ndefu ndio wana mawazo kama haya yako?Maswali ya kujiuliza,,
1:Au ulezi unakufanya usiongee??.maana yake Ni kwamba Labda diamond anaogopa kusimama kwenye ukweli kuhusu vyeti kwakuwa makonda ni mlezi wa WCB..
2:Kuhusu Roma kupotea,,naona anaogopa kuhoji kwakuwa anahofia serikali..
3:Anasema roho iliuma baada ya NEY kukamatwa..Hiyo inamaanisha kwamba ney alisema ukweli na hakupaswa kukamatwa..
4:Ulimi usije niponza..
My take:Naona Diamond anaihofia saaaana serikali,na moja ya mambo anayoyahofia ni TRA..kwa story zilizopo,miezi kama saba iliyopita alipandishiwa kodi kufikia milioni 200,kama mnakumbuka alitoa povu clouds kwenye kipindi cha jahasi AKITISHIA KUHAMA CCM..
Namshauri diamond aache uoga au asikae karibu na siasa..karibuni sana..