Unasema hadi Amekamatwa na serikali ikiwa na maana kuwa serikali yenyewe imetikiswa, halafu hapo hapo unadai "hakuna kilichotokea"?Habarini wakuu
Nimeshangaa sana nijuzi usiku diamond platnum alitoa nyimbo yake ya acha nikae kimya ambayo kiujumla Ali jaribu kuelezea mambo yanayo emdelea Tanzania na kajitahidi sana Ku balance lakini chakushangaza maneno machache tu yale NCHI imetikisika akati wakina NEY waliongea maneno mazito adi kukamatwa na hakuna kilicho tokea....
Ii INA mana gani au watu wanapenda sana kumfanya diamond asipotee kwenye ramani na azidi zungumziwa
Gwa j ashafulia anasaka kiki2 ili chungaji gani mbea mbeawewe pimbi subiri ageuzwe maji huyo almasi wenu! kaingia kchaka kbaya kwa gwajay
Hahaa mkuu upoHiyo kitu imetokea lini? Mbona kijijini kwetu hatujui? Kwani tuvitu tudogotudogo tukitokea weye unajua watu woootee wanajua? Very cheko!
Sababu ya kuja duniani haikuwa kutafuta fedha.Kila mtu amepewa kipaji chake na kila mtu anatumia kwa uwezo wake.....na tunategemeana, hao uliowataja wewe hivi unajua muziki ndo huwaliwaza na kutuluza msongo wa mawazo...kila mtu kwa nafasi yake hufanya dunia iende, MUNGU mwenyewe kwa mujibu wa biblia anapenda sana Muziki....we wachukie ila jua kupitia mziki na akili zao ndogo unazozusema wewe wanatengeneza pesa tena kukuzidi wewe
ushaambiwa dai anatoa kafara huko mason! aje akatae hapaGwa j ashafulia anasaka kiki2 ili chungaji gani mbea mbea