Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Habarini wakuu
Nimeshangaa sana nijuzi usiku diamond platnum alitoa nyimbo yake ya acha nikae kimya ambayo kiujumla Ali jaribu kuelezea mambo yanayo emdelea Tanzania na kajitahidi sana Ku balance lakini chakushangaza maneno machache tu yale NCHI imetikisika akati wakina NEY waliongea maneno mazito adi kukamatwa na hakuna kilicho tokea....
Ii INA mana gani au watu wanapenda sana kumfanya diamond asipotee kwenye ramani na azidi zungumziwa
Unasema hadi Amekamatwa na serikali ikiwa na maana kuwa serikali yenyewe imetikiswa, halafu hapo hapo unadai "hakuna kilichotokea"?

Akili yako unaijua mwenyewe kwa kweli.
 
Anajipoteza kimziki.. Taratibu Bashite anamuuzia kesi. Anasahau yeye ni mwanamziki na sio mwanasiasa.

Hakuna nyimbo ya hovyo kama hiyo. Watu wanakandamizwa anawaambia wakae kimya?
 
acha kumdhalilisha simba mnyama huyo mondi ni paka kama vipaka vingine
 
Kila mtu amepewa kipaji chake na kila mtu anatumia kwa uwezo wake.....na tunategemeana, hao uliowataja wewe hivi unajua muziki ndo huwaliwaza na kutuluza msongo wa mawazo...kila mtu kwa nafasi yake hufanya dunia iende, MUNGU mwenyewe kwa mujibu wa biblia anapenda sana Muziki....we wachukie ila jua kupitia mziki na akili zao ndogo unazozusema wewe wanatengeneza pesa tena kukuzidi wewe
Sababu ya kuja duniani haikuwa kutafuta fedha.
Reconcile na ubongo wako.
It comes a time money gets/becomes funny!!!!!

Kuna mijitu kama Mansa Musa inashikilia record ya mtu tajiri kupata kutokea lakini haikuacha legacy yoyote zaidi ya kujikusanyia wanawake tuu!!

Kina Hitler walifanya mapinduzi ya mapigano na zana za mapigano duniani, kuna kina Newton kwenye ma physics, kichoff, ohm, kina bill gates wanaacha legacy ya computer software.

Naseeb kama mansa ni kuchungulia alipotokea baaaaasi.

Nawe unasadifu akili mbovu za naseeb.
 
Kama kampeni za ccm tu.Ni yaleyale but tofauti ni mwaka.Nyoka ni yuleyule ila amebadili shimo tu.
 
Back
Top Bottom