Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Kuna Nyimbo Mpya katunga Diamond --FT CCM

--Kuna watu wanaacha kazi wanaongelea Vyeti

Sasa Ajira zipi Serikali imetangaza tangu 2015?

Private sekta biashara zimedorora, watu wamepunguzwa kazi

Ajira zinapotea Mahoteli yanapunguza watu kazi

Utalii umedorora

-- Amani ya nchi inapotea...kuna watu wanaandika kwenye mitandao

Je---Amani wakati watu wana njaa...watu wanakula wadudu...Kusema kuna njaa ni uchochezi...Amani ipo Diamondi wewe uliyeshiba

Uhuru wa kusema no, kuongea tu ni uchochezi

Vyombo vya habari vinavamiwa na mtutu wa bunduki

Bastola anatolewa mtu mkubwa kama Napeee...Je wewe masikini?

Watu wanatekwa na kupotea...Ben Saa Nane na Roma ex

Mikutano ya vyama vya siasa...Demokrasia iko wapi?

[HASHTAG]#freeroma[/HASHTAG]

[HASHTAG]#freebensaanane[/HASHTAG]
Ipakue hapa. https://cloudup.com/files/ivumRL-5FeY/download dogo anatumika vibaya sana
 
Dogo hajielewi..Anazidi kukimbiza mashabiki wake. Eti anasema ugomvi wa Gwajima na Bashite kausababisha Mange. Njaa mbaya sana,anawaza leo tu badala ya kufikiria miaka kumi ijayo. To hell diamond
 
Huo wimbo hautapigwa wala kutajwa katika vituo vifuatavyo
Clouds Media
E- FM
ITV na Redio One
EATV
Labda utasikika kwa muda vituo vifuatavyo
Uhuru Fm
TBC
Mbona Clouds wanapiga huo wimbo tena sana tu.

Tatizo huwezi kuliondoa kwa tatizo.
 
Wewe ndio unasema juu ya uoga.

Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.

Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.

Amewapa ukweli na maisha ni yake.

Makonda oyeeeeee
kila poxt ninayopita ni wew na bashite oyeee
 
Mpaka hapo tayari diamond ni mfuata mkumbo, mwoga na mnafiki, kitendo cha kutumia neno " Eti " manaake anajifanya hana uhakika kwa lolote, pia kaamua kujitia upumbavu kwa kusema ugomvi gwajima na Konda kichocheo ni Mange, na mwisho anasisitiza kwamba kaambiwa akae kimya kama Sio kutafuta Kiki kisiasa mbona ameongea na mbaya zaidi ameongea mavi matupu.
Na wkati gwajima.alisema ugomvi wao ni jimbo sasa dai anataka ugomvi na askofu.
 
Diamond is an Idiot.. There is no doubt.
He is a qualified idiot.

Nilijua tu lazima Bashite amtumie on that way na ametumika kweli kijinga kabisa.

Ukishishakuwa msanii wa muziki wa rank ya Diamond lazima uwe na broad way of thinking (uwezo mkubwa wa kufikiri na kutambua)ya kuweza ku evaluate what's going on kwenye Jamii kwenye muda husika na how u will respond to it.

Unfortunately Diamond na Bashite wake wote ni empty headed.. zero brain.. na ndio maana Bashite alivyomwomba Diamond atunge wimbo wa namna hiyo kwasababu hana akili akakubali.
cc W. J. Malecela
Aisee ur right, Diamond z a qualified idiot!!akae tuu kimya maana zamu yake bado...na lait kama watu wote wangekua na mawazo ya kipuuz kama yake Tz ingekua bado kolon la muingereza na south isingekua huru...tatizo mlimpeleka twishen ya kiingereza tuu mkasahau mambo ya msing...
 
Jaman !!




Hivi huu wimbo mmeusikiliza kwa umakini na kuutafakari kweli wakuu?? Maana inawezekana bado kuna shida katika kuuelewa vizuri na maudhui yake lakin mimi naona ni wimbo mzuri tu ila ndani yake una direct and indirect themes.
Huwa sizipendi nyimbo zake ila niliposikia Roma nikatamani niusikie na nimeuelewa!Kwamba watu wengi isipokuwa yeye,hawana kazi za kufanya wanajadili ubashite!Anadharau na huenda ni haki yake,si ana hela!
 
Ni aibu kwa taifa lenye wasomi wenye level mbalimbali kuanzia certificate, Diploma, Degree, Masters na PhD wakiongozwa na walimu wa walimu maprof wanashikiwa akili mbaya zaidi mpaka mwenye dhamana ya kupambana na waharifu yuko busy kulike post za muharifu Mange
 
  • Thanks
Reactions: Oxx
Iv watu wenye chuki na Bashite ni kwasabab moja tu ya cheti? I think wengine atahakai DsM. Mpandikiza chuki amefanikiwa kwa kiasi kikubwa. Wengi Uongozi wa Bashite ata haugusi maisha yao kwa namn yoyt lkn kutwa wanapiga kelele. Tz sasa unafk umezd. Mimi kuanzia Leo simuamn CCM wala CHADEMA yeyote. Kutufanya mazombi it's enough now. Ikifika 2020 nitafanya tathmn mwenyew nani ni nani kitaeleweka tu
 
Wewe ndio unasema juu ya uoga.

Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.

Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.

Amewapa ukweli na maisha ni yake.

Makonda oyeeeeee
You can't silence people cocochanel why all these happening this time? Brainstorming lady!!
 
Mimi ni shabiki nambari moja wa diamond ila ulichokifanya kitakupeleka pabaya
Amini nakwambia huyu bashite unayempigia debe ipo siku yatakutokea puani tu
Yaliwakuta wema itakua ww?
Yalimkuta nape itakua ww?
Yaliwakuta clouds itakua ww?
Kina manji, petirman, na watu kibao sembuse ww?
Hao wote walikua vipenzi wake bashite
Mimi nakwambia umeamua kuwa against na taifa na kuwasaliti masikin wa nchi
Amini nakwambia unajiingiza vita na ngoma usiyoijua
Unataka kupotea kisanii ww si bure amini nakwambia
Unajiingiza kwenye migogoro bila kujua unajiharibia.
Bora ungebaki kimya tu
Chuki zakijinga hizo
 
Dogo anatumika movie ya kitekwa roma.
Babu talent+bashite+diamond and the likes kama fid q nilimuamini ila naona nae ukabila ushamkamata...ila tushajua ile ni movie tu na diamond ndio katoa soundtrack yake
 
Sijaona kosa la diamond mpaka sasa!mbona Nay anaimba na hajatukanwa?!au kwa kuwa kaimba diamond?!

Mange ni chizi tu kama machizi wengine,anataka watu wamuamini yeye kwa lazima kama nani?!
Mange kasemaje kwani!??
 
Jaman !!




Hivi huu wimbo mmeusikiliza kwa umakini na kuutafakari kweli wakuu?? Maana inawezekana bado kuna shida katika kuuelewa vizuri na maudhui yake lakin mimi naona ni wimbo mzuri tu ila ndani yake una direct and indirect themes.
Hiyo ndio kazi ya fasihi, itafsiri kadri uwezavyo uki relate na hali halisi. Kang'ata na kupuliza!...hajaside popote!...

Kailaumu serikali,
Kawalaumu anaowaona kama wachochezi,
Kaonesha masikitiko yake juu ya wafanyiwayo wasanii,
Kawalaumu wapinzani na bunge kwa upana wake,
Kaonesha ananafasi ktk jamii na jamii inataka kusikia neno lake juu ya yanayoendelea, lakini naye anaogopa kwamba inaweza kumkost akitoa neno juu yake,

Analalamika watu kupenda kupiga soga sana kuliko kufanya kazi!

Mwisho kabisa, hajui kama taifa tunasimamia nini, n kama hatuna muongozo wa kulijenga taifa,!
 
Back
Top Bottom