Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Ujinga ni pale tunapogundua hata kile unachokisema huwezi kukisimamia kwa sababu kuna mtu kafikiri badala yako! [HASHTAG]#umaskini[/HASHTAG] wa mawazo ni mbaya kuliko wote#
Hueleweki bonge
 
Makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa dar kwa takribana miaka kama sita iv na hana cheti chichote......ukuu wa mkoa haina utofauti ni ubunge haihitaji elimu ya form six ili uwe mkuu wa mkoa au wilaya izo ni nyasifa za kisiasa......ebu tifautisha kati ya daktari na mkuu wa mkoa tumia akili kutafakari mambo usiendee kama ling'ombe
Mkuu unajua ulisemalo. Luteni wa jeshi hakuwa na cheti, na alikuwaje mkuu wa secondary na pia katibu mkuu wa chama. Acha kuongea vitu huvijui
 
Sikiliza vizuri huo muziki mara kadhaa, sikiliza tena na tena.

Si uko nao siku zote?
Ama ulezi unafanya uogope?
Na media wanalalama kiongozi atoke
Nchi inaingia matope...

Huyu dogo ana akili kuliko unavyodhani...
Nimekauambia ni so oxymoronic,nimekosa kiswahili chake,lakinini nimetoa mfano kuwa mtu anasema nina sumu tamu,lakini ukiangalia heading yake nimesema ni kimya chenye kelele. .kumbe basi diamond alikuwa anahangaika kubalance pande zote mbili kwa Watanzania na upande wa serkali lakin kubwa zaidi

LESSON YA wimbo wake ni kutuasa kukaa kimya,kuwa kwa mfano sahivi Roma amepotea tukae kimya,swala la vyeti tukae kimya,that is the message and his lesson to us..

Kama mshairi alitakiwa
Kuelimisha,kuburudisha lkn pia kukosoa pale inapo bidi anyways kafanya vzr pia kutetea!!
 
Mkuu unajua ulisemalo. Luteni wa jeshi hakuwa na jeshi, na alikuwaje mkuu wa secondary na pia katibu mkuu wa chama. Acha kuongea vitu huvijui
Uliza ndo ujue usikrupuke
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr single touch double manifestation!!
Ila diamond Mungu anakuona maigizo mliyo cheza yani we we meneja wako na bashite mnajua kabisa mwenzenu roma yuko wapi unajifanya kuleta sympathy mitandaoni igizo lenu limebuma[emoji57][emoji57]
1fb6170690821eae0a0386b34cbbad74.jpg
 
Wanaopigania uhuru wa maoni na kujieleza...wao wenyewe ndio wa kwanza kutoheshimu maoni ya wengine yanayokinzana na mitazamo yao.......

Kwao maoni yanayofaa ni yale yanayopendeza masikioni mwao na mioyoni mwao......hawako tayari kusikia maoni ya wengine yanayokinzana na fikra zao.....

Alafu watu hao hao wanajiita ni wanaharakati wakipigania uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.........

Mimi binafsi nachukulia alichozungumzia Msanii Diamond ni maoni yake au mtazamo wake kama ambavyo mwengine angetoa maoni yake na watu wangeshangilia na kumuita shujaa.......

Only in Tanzania......
 
Makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa dar kwa takribana miaka kama sita iv na hana cheti chichote......ukuu wa mkoa haina utofauti ni ubunge haihitaji elimu ya form six ili uwe mkuu wa mkoa au wilaya izo ni nyasifa za kisiasa......ebu tifautisha kati ya daktari na mkuu wa mkoa tumia akili kutafakari mambo usiendee kama ling'ombe

Wewe ndio ling'ombe unaedhani hapa suala la cheti ni kuhusiana na ujuzi wa kazi anayofanya.


Kuandika kwenyewe hujui ndio utaweza hata kutumia akili kutafakari?
We mwenyewe Bashite tu.
 
Nimesa comment zenu wengi naona uchambuzi wa sanaa umewapita kushoto,jaribuni kuchukua muda wenu msikilize walau mara mbili mara tatu mtamuelewa sana diamond,mama ake kamwambia akae kimya...je ukisikiliza hiyo nyimbi mmeuona huo ukimya? Kaongelea masakata ya vyeti vya bashite, kaongelea kuhusu nape,roma na bunge...mwishoni akawa anaisikitikia tanzania wapi tunakoenda....sanaa inahitaji mtu utuluze akili sana ili uielewe
Watu wanatuliza vichwa madarasani sio kwa wasanii failure kumukichwa.
 
Wewe ndio ling'ombe unaedhani hapa suala la cheti ni kuhusiana na ujuzi wa kazi anayofanya.


Kuandika kwenyewe hujui ndio utaweza hata kutumia akili kutafakari?
We mwenyewe Bashite tu.
Utalinganishaje mambo ya kusomea darasani kama udaktar ambayo ni mambo ya kitaalam kabisa na maswala ya uongozi kuna sehem wanatangaza kuwa kuna interview ya kuwa mkuu wa mkoa ebu tafakari basi
 
Tafuteni "senti" zitawasaidia maisha yenu.

Vyeti vya Makonda havitawasaidia chochote kwenye maisha yenu.

Viva Makonda!
 
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi

1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??

Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.

Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)

Mh,ndio sababu nilitilia Shaka ile post ya meneja wake babutale,nahisi ule ulikuwa ni mpango uliosukwa tayari,na wimbo ulikuwa tayari prepared kwa hili tukio.Hebu tujiulize,,babutale ni wa kumvimbia makonda kiasi kile kweli ???si marafiki sana na bashite???na juzi bashite alikuwa studios zao jamani???hamuoni kuwa makonda alikuwa studios kukamilisha hii project.


Na kama tale anakataa uoga(post yake insta)angemkataza diamond asirelease wimbo unawataka watu wakae kimya!cha ajabu tayari link iko kne bio yake.!!!!ajabu hii!!!!!

Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??

Diamond anaplay kama snitch!na atafaidika sana kifedha na role anayoplay!!!.serikali inawapenda watu kama diamond sana
Nice
 
Back
Top Bottom