Diamond aachia wimbo mpya: Nitampata Wapi? - Nov 20, 2014

Huo wimbo ukoje sijausikia kabisa kama ka copy za zamani atakua kwishney atafte skendo imu boost

Katoka bongofleva akaja mchiriku,now taarabu.

Diamond ataifanya Tanzania isikike duniani kwa taarabu.
 
Katoka bongofleva akaja mchiriku,now taarabu.

Diamond ataifanya Tanzania isikike duniani kwa taarabu.

Mhhh huko kufulia tu taarabu awaachie kina mzee Yusuph na kina bi Kidude ndo kaifikisha mbali taarabu
 
bado kidogo nitaombwa radhi na yule mod aliyefuta uzi wangu uliosema kiba atatoa video ya mwana remix baada ya huyu dogo kutoa video yake mpya maana walikuwa wanategeana maana kaingia choo cha kike kweli aisee, video afadhali lakini audio hovyooo....
 
Only in Tanzania - Kwa Style hizi Bongo Flavor itafika mbali!
 
Msanii Diamond anaelekea kuvunja rekodi ya nyimbo yake kupakuliwa mara nyingi zaidi mitandaoni ifikapo leo saa nane...

Hatua hiyo inakuja baada ya nyimbo yake iliyoachiwa leo saa nane kushika nambari mbili kwa kupakuliwa zaidi hivyo Diamond atatumia masaa mawili tu kuisambaratisha rekodi ya mtandao wa mkito.com na kuandika ukurasa mpya ndani ya masaa manne tu tokea wimbo wake uachiwe...

Kama bado hujauona ingia youtube.com maana ushawekwa teyari....
 
Hata skendo zenyewe watu hawataki kuzisikia! mganga wake hajamlipa hadi Leo,kamzulumu bure babu wa watu.

Hahahaaa Ududu leo unanivunja mbavu hatariiiii
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…