Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

Akiwa navyo wewe unapata nini?

mwambie amuoe marehemu mama ako basi
 
sinza ndio maana vijana wa uko wanafirw* tamaa sana
 
Chief nimekuelewa kinoma noma.Uko vizur basi ni jamaa kaamua kushupaza ufahamu.
Ila hapo kwenye infinix naomba utuache kidogo usije leta maafa ya kimbunga Jobo.
 
Achana na media na mengine, Diamond kwenye mauzo ya muziki digital kwa mwaka haipungui million 700 na hapo anatoa nyimbo mbili kwa mwaka. Sasa ngoja aje na album nafikiri ataweka rekodi mpya east Africa ya mauzo.
Akiingiza billion moja utafaidika? angalia maisha yako na familia yako kwa ujumla
 
Chief nimekuelewa kinoma noma.Uko vizur basi ni jamaa kaamua kushupaza ufahamu.
Ila hapo kwenye infinix naomba utuache kidogo usije leta maafa ya kimbunga Jobo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kunogesha genge... Mi huwa nashangaa mtu akitaniwa hivyo anachukia wakati hata hatujuani. Yaan humu ndani ni kituko, mtu anaweza mind as if mnajuana na anatamani arushe hata mshala kama morani. Wanasahau huu ni mtandao na hatujuani hivyo watu wachukulie pia ni sehemu ya kufurahia maisha
 
Mkuu unaweza kuwa na hoja nzuri sana, lakini unafanya personal attacks ambazo ni unnecessary.

Acha kujificha kwenye matusi, fafanua hoja zako zieleweke.
Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chawa wa WCB ndo wanachopenda kuona na kusikia, na jamaa anajua hilo bas anapita mule mule, kumbe anawapiga changa la kisogo..
Kuna jitu liongo na lipenda sifa zisizo stahili km domokaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.
Hivi kuna mtu katukana pahala fulani?
 
Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.
Hivi kuna mtu katukana pahala fulani?
 
Akiingiza billion moja utafaidika? angalia maisha yako na familia yako kwa ujumla
Maisha yangu yapo njema sana ndio maana sinaga stress yani positive vibes only.
 
We Mburula kweli aisee!!

Yaani unakuta jana tajiri Jeff, halafu leo inatangazwa Musk kamzidi Jeff; kesho kutwa tena wanatangaza Jeff karudia kiti; yaani kwa akili yako unadhani kinachoangaliwa ni nini kama sio thamani ya share?

Anza kuwasoma Bloomberg Wealth kwanza:-
Hiyo ni January 6, Elon anamuacha Jeff!!

One week later, hawa hapa Forbes na wenyewe wasome:-
Hiyo ni January 13, 2021

Kama hapo kwenu kuna mtoto hata wa darasa la IV, hatimae muulize ni nani kilaza kati yangu na wewe!!

Btw, wapi nimesema huwa zinapanda shares za Diamond na za mwingine zinashuka? hivi una akili kweli wewe?!
Tatizo lako unaingiza ushabiki wa kitoto. Hapo mwenyewe unakula daku wali maharage huku umeshika Infinix iliyo na cracks na ambayo amekuachia shemeji yako unajiona umeandika nondo kwelikweli.
Acha kujifanya unajua wakati huna unachojua!!!!
 
Wewe una nini? Hawa chawa wamekuwa wengi kipindi cha mwendazake!
 
WEWE NI KILAZA, HUJUI LOLOTE, ndo maana badala ya kujibu kwa hoja, unakimbilia matusi... VERY STUPID!!!

Fine, mimi mtoto wa Uswazi, sasa how come wewe mtoto wa kishua unayetaka kuaminisha watu umesoma shule za kishua lakini bado una uelewa finyu kama ubongo wa kuku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…