Mi niko poa kabisa na comment yako, kwa sababu ulichosema ni sahihi!! Nilikuwa tu namkumbusha akusome hadi mwisho!!mkuu sikupitia comment zako mimi nilisoma za jamaa kidogo nikaandika ninacho kijua. OVER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi niko poa kabisa na comment yako, kwa sababu ulichosema ni sahihi!! Nilikuwa tu namkumbusha akusome hadi mwisho!!mkuu sikupitia comment zako mimi nilisoma za jamaa kidogo nikaandika ninacho kijua. OVER
mkuu upo sahihi kabisa, nimepitia mjadala wenu nachokiona utaumiza kichwa tu. Kwani huyu mtu ataki kuelewa kabisa ni bora ufanye mambo mengine ila tupo tuliokuelewa.Mi niko poa kabisa na comment yako, kwa sababu ulichosema ni sahihi!! Nilikuwa tu namkumbusha akusome hadi mwisho!!
Mbona anatumia nguvu nyingi sana kutangaza mali alizonazo? Mpaka leo sijawahi sikia Mo, Bahresa and the like wakiutangazia umma nini wanacho au wamenunua. If you have it is yours - sasa sijui watu wafanyeje!Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Tulia sindano ikuingie vizuri.Mbona anatumia nguvu nyingi sana kutangaza mali alizonazo? Mpaka leo sijawahi sikia Mo, Bahresa and the like wakiutangazia umma nini wanacho au wamenunua. If you have it is yours - sasa sijui watu wafanyeje!
Jibu swali acha uzwazwa... narudia tena, mbona nguvu kubwa inatumika kutangaza kila alichonacho na asichokuwa nacho?Tulia sindano ikuingie vizuri.
Punguza hasira.Jibu swali acha uzwazwa... narudia tena, mbona nguvu kubwa inatumika kutangaza kila alichonacho na asichokuwa nacho?
Mbona TCRA washakujibu.Hujui kitu! Mke wa Kusaga ana 100% ngapi na mdogo wake Kusaga ana 100% ngapi??
Huwezi sema sasa ana miliki media! Sema ana share kwenye, Wasafi Media! Tafsiri yakumiliki maana yake he is 100% owner!
Kutajwa kuwa mmiliki nilazima uwe ndie muanzilishi na/ au mwenye majority share. So, kama Diamond anamiliki majority share za Wasafi ni sawa kufahamika kama mmiliki.Mark zuckberg anatajwa kama mmiliki wa facebook ila uhalisia anamiliki share less than 50 %..
Kwa kigezo chako biashara kubwa karibu zote duniani zisingekuwa na wamiliki
Zuckerberg share zake hazizidi 30% ila anatambulika kama mmiliki wa Fb.50% ni mmiliki halali huyo, hakuna wazo linaweza pitishwa bila yeye! Ila ingekua ana 49% tu kwenye company,basi anakua anapelekwa tu! Huoni Simba wanakataa kumpa MO 51% za umiliki,unadhani kwa nini!
Msamehe bure. Kayumba academy ni shida.Aliyekuambia nani kwamba,ukiwa na share flan,kila faida inapigwa kwa % unayomiliki?? Unazijua dividends kweli au unashabikia tu,bendera fata upepo!! Anaweza kua analipwa mshahara tu na hizo share zake! Weka pembeni ushabiki wako,njoo na facts, ni kweli ana pesa,lakini sio unazotaka kusema wewe!
Hiyo 30% inaweza kuwa ndio majority share holder, wengine wana 2%, 5% etcZuckerberg share zake hazizidi 30% ila anatambulika kama mmiliki wa Fb.
Watu humu wanasema Diamond atakuwa hana sauti sababu ya 45% anayo miliki,vip huyu mwenye less than 30% na Hawa wenye 70%.Hiyo 30% inaweza kuwa ndio majority share holder, wengine wana 2%, 5% etc
Ukishamiliki zaidi ya 25% share kwenye kampuni ni lazima uwe na sauti.Watu humu wanasema Diamond atakuwa hana sauti sababu ya 45% anayo miliki,vip huyu mwenye less than 30% na Hawa wenye 70%.
Unaweza kuwa na sauti,ila siku hawa 70% wakiamua jambo lao lazima uwe mpole tu.Ukishamiliki zaidi ya 25% share kwenye kampuni ni lazima uwe na sauti.
Hakika.Unaweza kuwa na sauti,ila siku hawa 70% wakiamua jambo lao lazima uwe mpole tu.
Shida watu wanataka kusikia ili kuwa mmiliki wa kampuni lazima uwe 100% share kama kiosk cha chips mayai ..Tell them mkuu! Hawa jamaa ni wabishi sijawahi ona
Hilo unazungumzia ni probability,so inaweza ikatokea au isitokee what if I ikatokea? Hiyo sauti unaitolea wapi.Unadhani wote wanakua na wazo moja sasa! Ni ngumu sana! Kwanza wengine wana 0.2,wengine ndiyo hizo 2,3,4 hawawezi kua na sauti ya pamoja