Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

Acha kujikweza wengi memlipa 100K hiyo 7.5 M atakuwa wamelipa wasiopungua 2.
 
Nasubiri comments za genge la wahalifu la wamakonde
Walipoambiwa ni kikundi cha wahuni sio lebo walijiliza mji mzima...leo hii hawajulikani walifia wapi na genge lao la mabange πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alijaribu kufanya show kwenye sebule flani masaki kilichomtokea hatosaahau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkumbusheni kulipa kodi pia isije ikajilimbikiza
 
Mwambie mumeo asiwe anaongeza 00. TRA watammaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…