Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kwa hio ili nisionekane namchukia inatakiwa niseme asilipe Kodi sisi ambao hatujafanikiwa kwa mtazamo wako tusilipe KodiNo, ipo zawadi ya kuchukia vijana waliofanikiwa kama Diamond Platnumz.
Ngoja ndugu zake waje wananiandama Nina mchukia kukumbusha Kodi😁Mkumbusheni kulipa kodi pia isije ikajilimbikiza
Unaweza kumkumbusha wajibu mtu ambaye wala hatambui kama duniani kuna kiumbe anayitwa Bob Sambeke ?Sasa kukumbusha wajibu wake Ni chuki[emoji16] Africa sihami
Unaweza kumkumbusha wajibu mtu ambaye wala hatambui kama duniani kuna kiumbe anayitwa Bob Sambeke ?
Watu unaopaswa kuwakumbusha ni ndugu, jamaa , majirani na marafiki zako.
Kinachokufanya upapapitikie masuala ya kodi ni nini? Maana wewe ndio umeleta hayo masuala ya kodiKwani kuna zawadi ya mlipa Kodi mkubwa
Uandishi wa huyu jamaa siupendiHivi kwanini huwa unaandika kama unamshindanisha/unampiganisha vita hivi.!??
Kuna watu huwa unawalenga ndgu,??
Maendeleo hayana chamaKinachokufanya upapapitikie masuala ya kodi ni nini? Maana wewe ndio umeleta hayo masuala ya kodi
View attachment 2465064
Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.
Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.
Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.
Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.
Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥
Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.
Diamond = Greatest Of All Times
Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.
Wajing wajing wengi badoWho pays such ammount of money for that garbage? I be damned
Na leo watu wameamkaa hata 100 hawana hela yote wampe mondiHaya show imeisha, akalipe kodi.
Kaona style zotee hazifai.. mpaka kaenda dandia ya Asake..Nampongeza Asake wa Buza.
Naona chawa akiuza utu wakeView attachment 2465064
Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.
Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.
Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.
Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.
Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥
Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.
Diamond = Greatest Of All Times
Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.
Huyo show kaiangalizia Wasafi tv hana ubavu wa kulipa hata hiyo laki moja,
Mashabiki lia lia wa Sadala ni choka mbaya waliojikatia tamaa