Sorry bro wewe ni mmakonde?-Bongo harmonize ndio msanii bora anajua kuimba ana kipaji na hatumii nguvu nyingi, wakati Diamond anatumia nguvu nyingi sana Machawa, Media zake,kiki nk nk,
-bottom line kama kweli Diamond ana pesa si alipe Kodi yake tu ya 700M? Kamishna Mkuu wa TRA amuandikie Demand Notice apewe ultimatum akishindwa wauze Mali zake Ili kufidia Kodi,i.e wakamate Rolls-Royce,au Nyumba au magari mengine, (kama alikuwa hajalipa)
MhayaSorry bro wewe ni mmakonde?
Ila aisee diamond yupo vizuri na ndio maana anafanikiwa kimziki binafsi sikutegemea kama atapiga show ya class ile yupo full package nawasifie kwa mara ya kwanza Wasafi kwenye show sound ya mziki ilikuwa nzuri sijui sound engineer alikuwa nani? Na kingine kilichonivutia mambo sijui mikono juu alijitahidi isiwepo, ubunifu wa stage na mandhari yaliokuwa yanabadilika that was unique, uingiaji wake wa stage na quality aliyoonesha ya kuimba ilinivutia, team nzima ya band na pamoja na chemistry waliitengeneza was fantastic I was like it. Mwisho kabisa nimpongeze amefanya show Kali
Huku kwa Mwamposa watu walilipa buku 10 wakapata mafuta, maji na vitambaa vya upako wakiwa wamebarikiwa.Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.
Haswaaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo show kaiangalizia Wasafi tv hana ubavu wa kulipa hata hiyo laki moja,
Mashabiki lia lia wa Sadala ni choka mbaya waliojikatia tamaa
Na kuimba taarabu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zuchu bado hana skill za kutawala jukwaa, kitu pekee anachokiweza ni kukatika viuno vingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zuhura huyu au???zuchu anazidi kua mtamu, hot and sexy teen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa Zuchu umesikika,
Haya nenda kamkatikie mpenzi wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku ifatilia hata, afu tangu mwanzo nilivoona ni copying kutoka huko mbelee, walaa sikutaka hata kujua nn kitakua. Mzee wa ku copy ana jipyaa gan mjini??
eeh, au naongopa ? au ni nyege zinanisumbua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zuhura huyu au???
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua nyegee aseeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eeh, au naongopa ? au ni nyege zinanisumbua
Nakazia.Nasubiri comments za genge la wahalifu la wamakonde
The same question popped into my mind.Sorry bro wewe ni mmakonde?
Hayo ya kwenda na kitanda si ndio ubunifu wenyeweWasanii wa bongo huwa wanafanya maigizo jukwaani au muziki? Kwenda na kitanda au baiskeli jukwaani ni muziki au maigizo? Au mwingine kaenda na lori. Bongo fleva bado sana kwenye show za jukwaani. Christian Bella na wakongo wenzie ndo wanaweza hayo mambo ya jukwaani. Hata Peter Msechu pia. Diamond, Konde gang, Ali Kiba, Zuchu, Mario na wengine ni ushuzi mtupu. Yaani bora ukawatazame Twanga au Bogos Musica.