Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Binamu niliumiaje mwanzoni chezea harusi ya uwanja wa taifa.. muulize Kim nana anajua...

Hiyo couple ya Nuhu na Shilole wananichoshaga tu..sa hivi atachora tatoo kwenye korodani yule

Aaaah aa nilijua tu hawawez fika mbali
 
Mwanamke matunzo anataka demu mkali halafu anakua mbahili.... kaniboa huyu mtoto wa Tandale na visababu vyake vya kijinga... si bora angekaa kimya.. sema tu mie ni shabiki wake ila kwa hili kanichosha

C katoa murano anakuna mkono unapofika bila hvyo nyumba haitamalizika,pia familia inamtegemea
 
Nimekuwa nikiwafuatilia kwa six months nyie watu ni macelebrity basi tu hamjijui jinsi watu wanavyowafuatilia na kuwakubali huku mitaani... hata mods wanajua kuwa Celebrities Forum ni nomaaa ndan ya JF
 
Nimekuwa nikiwafuatilia kwa six months nyie watu ni macelebrity basi tu hamjijui jinsi watu wanavyowafuatilia na kuwakubali huku mitaani... hata mods wanajua kuwa Celebrities Forum ni nomaaa ndan ya JF

hahahaaaa....!!!
mods wenyewe wanakuja kuburudika huku!!
unaweza jikuta unamfagilia mkeo au demu wako!!
 
hahahaaaa....!!!
mods wenyewe wanakuja kuburudika huku!!
unaweza jikuta unamfagilia mkeo au demu wako!!

kwel kabisa!! na hizi IDs na usernames...unawezakuta mkeo au demu wako ndo anapost vitu humu na hujui na huko nae karibia muda wote
 
Nimekuwa nikiwafuatilia kwa six months nyie watu ni macelebrity basi tu hamjijui jinsi watu wanavyowafuatilia na kuwakubali huku mitaani... hata mods wanajua kuwa Celebrities Forum ni nomaaa ndan ya JF

Haaaa mie nimehama majukwaa yote nimehamia jukwaa la macelebrities... umbea umbeani
 
Ila binamu umeumia mwenyewe uliipendaje couple yao? Pole ndo maisha, inabid uanze kuipenda couple ya shilole na nuhu mziwanda

Umenichekesha eti afatilie couple ya Nuhu na Shilole yaan hua nikiwasikia hawa Nuhu na shilole sina mbavu aiseeeee
 
Umenichekesha eti afatilie couple ya Nuhu na Shilole yaan hua nikiwasikia hawa Nuhu na shilole sina mbavu aiseeeee

juzi walikua kwenye planet bongo huyo shilole sasa anavyojishaua llooh!!
km njiwa sa kafara
 
Nimekuwa nikiwafuatilia kwa six months nyie watu ni macelebrity basi tu hamjijui jinsi watu wanavyowafuatilia na kuwakubali huku mitaani... hata mods wanajua kuwa Celebrities Forum ni nomaaa ndan ya JF

Hadi mitaan hii kali hhhhhhaaaa
 
Nimekuwa nikiwafuatilia kwa six months nyie watu ni macelebrity basi tu hamjijui jinsi watu wanavyowafuatilia na kuwakubali huku mitaani... hata mods wanajua kuwa Celebrities Forum ni nomaaa ndan ya JF

Dinazarde umesikia? Apa kichwa kilivyovimba sasa duh, salute kwako shabiki wa ukweli
 
Last edited by a moderator:
juzi walikua kwenye planet bongo huyo shilole sasa anavyojishaua llooh!!
km njiwa sa kafara

Anajifanya mtoto ,kuchanganya l na r ndo kaziii,,anashindwa kusema vitu anamuuliza Nuhu hiyaaaaa
 
kwel kabisa!! na hizi IDs na usernames...unawezakuta mkeo au demu wako ndo anapost vitu humu na hujui na huko nae karibia muda wote

mi namjua shem wangu kwa id yake mana mi ndo nilimfungulia ila ye sana jukwaa la njuka kule
ns sista nae yupo ila ijui id yake na hajui yangu
 
Kwa furaha ulionayo leo lazma umeongezeka kilo 2 kudadadeki zako kama mchawi vile ulivoshangilia ha ha ha

Yani leo binamu nina furaha ya ajabu, furaha niliyopata leo ni kama nilivyopanda ndege mara ya kwanza kuelekea dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…