Diamond aisimamisha Qatar na kuweka heshima kwa Africa

Ni kweli.
Nyie wabongo wengine mbona mna akili mgando hivyo! Kiwanja kinagaiwaje kwa nchi zingine?!! Kwahyo viwanja vitabebwa na contena kutoka qatar hadi nchi zingine au??πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nini sasa maana vijana wa siku hizi tunalishana matangopori [emoji3] kama kwenye vijiwe vya kahawa siku unaropoka mbele za watu na watu wanakuuliza ulisikia wapi hapo unaanza kujing'ata ng'ata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoo yaan. Ila kweli ushahidi ni muhimu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuwezi bhana, uwiiiiiiih
 
Kwelu anajua ila shida ana nyodo na dharau sisi hatuna shida na yeye tunakula sahan moja na nyodo zake afe kipa afe beki hakuna kukubali hata tuwekewe bunduki kisogoni
 
Naiomba serikali ya mama ianzishe cozi ya uchawa katika ngazi ya certificate diploma na degree maana kuna watu wanavipaji ila hawana vyeti
 
Kwelu anajua ila shida ana nyodo na dharau sisi hatuna shida na yeye tunakula sahan moja na nyodo zake afe kipa afe beki hakuna kukubali hata tuwekewe bunduki kisogoni
Hakuna kitu mtafanya mtaendelea kuteseka na mafanikio yake kila siku.
 
Konde bwoy atampiga chini

"Konde bwoy comi namba one, so much money in the bank Man."
 
Nchi ipo kwenye fukuto kubwa la udini, tunakoenda yale maneno ya mm n Mtanganyika na yule ni Mzanzibar yanaenda kutimia. Nyerere alihazunguza akamaliza na hayupo. Sisi tunaenda kushuhudia utabiri wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…