MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 1,140
- 2,141
Nyie wabongo wengine mbona mna akili mgando hivyo! Kiwanja kinagaiwaje kwa nchi zingine?!! Kwahyo viwanja vitabebwa na contena kutoka qatar hadi nchi zingine au??😂😂Ni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wabongo wengine mbona mna akili mgando hivyo! Kiwanja kinagaiwaje kwa nchi zingine?!! Kwahyo viwanja vitabebwa na contena kutoka qatar hadi nchi zingine au??😂😂Ni kweli.
Tulia usitikisike sindano ipenyeNi mabeki tatu kutoka bongo wa huko Quatar ndiyo wanatumia youtube, wenyeji hawatumii Android.
Huenda akapafom kwenye ufunguzi..🙄?Nikajua amepafom kwenye draw ya kupanga makundi world cup Qatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoo yaan. Ila kweli ushahidi ni muhimu.Nini sasa maana vijana wa siku hizi tunalishana matangopori [emoji3] kama kwenye vijiwe vya kahawa siku unaropoka mbele za watu na watu wanakuuliza ulisikia wapi hapo unaanza kujing'ata ng'ata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuwezi bhana, uwiiiiiiihSasa hapa ndio naanza kuamini mashabiki wa muziki hasa kiba na Diamondi wote ni maandazi tu [emoji23][emoji1787][emoji38]
Huyu mwengine anashabikia Diamondi ku trend qatar ka kijinchi kidogo wakati Davido amekuwa included ktk watarishaji mziki kwenye hilo kombe la dunia
Huku wa kina kiba fans wanasema qatar wanavunja viwanja walivyojenga kwa ajili ya kombe la dunia nawaambia walete sources holaaa
Sasa kweli nakosea kuwaita maandazi
Eti cocastic ?[emoji3]
Thubutuuuuuuuuh yake. Khaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Huenda akapafom kwenye ufunguzi..[emoji849]?
Kwelu anajua ila shida ana nyodo na dharau sisi hatuna shida na yeye tunakula sahan moja na nyodo zake afe kipa afe beki hakuna kukubali hata tuwekewe bunduki kisogoniMsanii namba moja Africa Diamond Platnumz au mashabiki wake wanapenda kumuita Simba mnyama mkali amekuwa trend namba moja nchini Qatar.
Diamond amefanikiwa kuwa trending namba moja kwenye waandaaji hao wa World Cup akiwa na wimbo wake Watasubiri alomshirikisha malkia wa muziki Africa ya Mashariki yani Zuchu wa Kopa.
Yani kwa kifupi mpka kizazi hiki tunakufa wote hatatokea msanii ataeweza kutrend namba moja Qatar au nchi yoyote nje ya East Africa zaidi ya Diamond lakini wale wenye roho za husda watasema inawezekana so kama inawezekana mwambie msanii wako nae atrend hata nusu saa tu nchi kama Qatar.
Jamani Simba kashindikana fanyeni tu ushabiki kuchangamsha muziki ila huyu jamaa sio binadamu wa kawaida. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu mtafanya mtaendelea kuteseka na mafanikio yake kila siku.Kwelu anajua ila shida ana nyodo na dharau sisi hatuna shida na yeye tunakula sahan moja na nyodo zake afe kipa afe beki hakuna kukubali hata tuwekewe bunduki kisogoni
Hata mi nilihisi hivyo, kumbe kafanyaje mkuu?Nikajua amepafom kwenye draw ya kupanga makundi world cup Qatar
Nyodo zipi?Kwelu anajua ila shida ana nyodo na dharau sisi hatuna shida na yeye tunakula sahan moja na nyodo zake afe kipa afe beki hakuna kukubali hata tuwekewe bunduki kisogoni