Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.

Kabisa hata mama yako anakubali tu
 
Mimi Mars kale ni kademu ka kawaida Sana, Chibunye kaishiwa sera kik za mademu watanzania wameshazikataa anatapatapa tu,

Uroho wa Papuchi ni mbaya sana, Kadada kawatu kameenda kuongeza list

Chibunye kafanya tendo la kikatili sana kumnyanganya mtu demu wake..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe marioo alikuwa anakulaa palee.. Pole yakeee simba anatafuna anaemtakaaa dadekii wanaume tutafute pesaa
Dogo mpka sasaiv ajulikani yuko wapi [emoji23][emoji23]watu wake wa karb wanadai Dogo ata Kwenye Simu apatkni [emoji23][emoji23]
 
Sasa si bora Mondi kuliko huyo Kiba aliyeshindwa kuiheshimu ndoa yake na mke wake kwa kumgonga Diva ktk kitanda anacholala yeye na mke wake.

Mpaka Diva kwa upuuzi wake akataka kupost picha akiwa ktk room ya Kiba,sema Clouds wakamsimamisha na kumuonya.
 
Hahahaha kk uroho wa hyo kitu ili Bak kdogo ni mkule bek tatu wang
 
Naona hamjui vizuri simba mla watu.

Ila dah maskini my future wife umekwenda kwa bwana jeje
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…