Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hapana mapenzi ya sasa bila pesa hayanogi.Usitusemelee mkuu sio wote
Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo
Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
Kwamba unamzungumzia mmoja kati ya Rostam, Mo Dejwi, Manji, Zakaria ama Bakhresa sio?Usitusemelee mkuu sio wote
Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo
Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
Kumbe nimeamini akili ya wanaume ilipoMimi sifanyi kabisa eti na diamond Bora nilalwe na mwanaume kichaa, diamond sio type ya wanaume ninao wa admirer so uelewe na ukimuweka joketi sijui Nani, joketi hajatuliaga tangu zamani, pia ujinga wa umaarufu ulimubeba, so hyo ya kusema sijui nitoke naye ni big no kwa kweli
Wooow[emoji122][emoji122][emoji122]Mwanaume anayejielewa with big understanding and big heart to carry and understand woman needs
Sikuongelei vibaya ila so far mwanaume kama Uchebe akikufuata fundi gereji flani unaweza kumpa chance ya kuwa nae kimapenzi? Au mwanaume anaebrashi viatu tu mkono uende kinywani? Au hata muuza maji tu barabarani?Usitusemelee mkuu sio wote
Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo
Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
Bange hii hii? Basi simba kapatikanaLinavuta na bangi hilo lidemu hata sioni uzuri wake na ile sauti zege[emoji57]
Mimi nashangaa wanaovulia chupi Hadi kumzalia watoto kabisa I thought zari was smart enough kumbe na yeye walewale tu anakuwa umri tena kamzalia chap chap ili amkamate, tena Bora sikuhizi huyo diamond kiki zake za wanawake na kuzalilisha watu wamezichoka na kuona kawaida.Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki
Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wako
Labda over my dead body
Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
Wakitoka hao anayefuatia kwa hela hapa bongo ni domo?[emoji849][emoji15][emoji15]Kwamba unamzungumzia mmoja kati ya Rostam, Mo Dejwi, Manji, Zakaria ama Bakhresa sio?
Nakuheshimu sana mkuu ntauwa mtuWe mtoto nakuonaga unapanda magari ya Mbezi pale Tandika Nina data nyingi juu yako na hii Ni cos nakupenda
Kama roho yangu imempenda why not?[emoji849][emoji849][emoji15]Sikuongelei vibaya ila so far mwanaume kama Uchebe akikufuata fundi gereji flani unaweza kumpa chance ya kuwa nae kimapenzi? Au mwanaume anaebrashi viatu tu mkono uende kinywani? Au hata muuza maji tu barabarani?
Okay, tusiende mbali...kijana tu ambaye yupo jobless. Pengine ni graduate tu.
Just kuwa honest unaweza date na hao walioainishwa against kijana mwenye pesa kama diamond!
Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikilizaKumbe nimeamini akili ya wanaume ilipo
Kumbe wanahisi kila mwanamke akiona mwanaume ana hela basi kila mwanamke anamtaka[emoji849][emoji849][emoji15] haya ni maajabu asee
Hawajui kuwa na sisi tuna preference zetu mweeeh[emoji848]
Chawa tu sio nduguNi kaka zake kidamu?
Mkuu unatamani Sana dai amtafune Mimi mars eeh?Hiv kwa akili ya kawaida Diamond ataanzaje kumuacha salama hiv hiv tu kirahisi Mimi Mars?
Sio kweli bana, hao wasanii achana nao na akili zao mbovuHapana mapenzi ya sasa bila pesa hayanogi.
Umeona shilole alivyomuaibisha uchebe kisa ni nini? Pesaaa
kwahiyo dai kesha pata slave mpyaWasalaam wana Jamvi!
Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.
Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....
Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!
Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Hongera sana Mimi Mars!
Hapa naona mnamaanisha kwamba unachotaka ni mikazo tu sio pesaWanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Usisahau nguvu za kuwa na mwenye toyo zinakuja kutoka kwa yule mwenye fedha. Katika scenario Kama hiyo, akiachika kwa huyu mwenye fedha automatically ataachika kwa huyo mwenye toyo pia.Wanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Wanajua sema kujitoa ufahamu tuWanaume wa sasa hawajui mapenzi na ndio maana wanashangaa mwanaume tajiri anachitiwa na mkewe maana mtu akiwa na hela anajua ndio hitaji la mwanamke no wonder mwanamke anaweza mwacha mwenye range akamfata mwenye Toyo simply kwa sababu ana msikiliza
Si kweli wanawake tunapenda wanaume wanaotujali hisia zetu na kutusikiliza ingawa hela muhimu Ila ukiwa na mtu na mijihela yake hakusikilizi ni rahisi kumwacha aisee.Usisahau nguvu za kuwa na mwenye toyo zinakuja kutoka kwa yule mwenye fedha. Katika scenario Kama hiyo, akiachika kwa huyu mwenye fedha automatically ataachika kwa huyo mwenye toyo pia.
Wanashindwa kubembeleza wapenzi wao wanakimbilia tafta hela tafta hela aaarghWanajua sema kujitoa ufahamu tu