Mapenzi ni zaidi ya mikazo, hata ukinikaza nikakazika then una tabia zako chafu, matusi, dharau na hauna heshima kukupenda ngumu sanaHapa naona mnamaanisha kwamba unachotaka ni mikazo tu sio pesa
Unafaa sana Nina kibanda kimoja
Utanikubali? No way haiwezekani
Generally; Mapenzi sio pesa,Ila pesa ni kichocheo kikubwa Sana Cha mapenzi kudumu,as long as kila mmoja anazijali hisia za mwenzake.🚶Si kweli wanawake tunapenda wanaume wanaotujali hisia zetu na kutusikiliza ingawa hela muhimu Ila ukiwa na mtu na mijihela yake hakusikilizi ni rahisi kumwacha aisee.
Sasa tatizo tukikosa hela, tukawa na mapenzi ya kweli pekee mnatunyanyasa Sana nyie 😂Wanashindwa kubembeleza wapenzi wao wanakimbilia tafta hela tafta hela aaargh
Ile gar nnayo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Aisee nimeshangaa juzi tu baada ya Diamond kusema anampendaga, mara leo naona wako swimming pool duh, it's like alikua anasubiria hiyo chance itokee tu, sijui ni kiki ama kweli[emoji848]
Money is not everything in love affection aisee, ujue Kuna watu Wana hela Ila hajali mtu wake, Hana heshima unafikiria yatadumuje, ukiona mtu amedumu ujue hao watu Wana chemistry na wanaelewana vizuri na kila mtu anamjua mtu wake udhaifu na strethgh zake Ila kusema hela tu ifanye penzi lidumu hapana kwa kweliGenerally; Mapenzi sio pesa,Ila pesa ni kichocheo kikubwa Sana Cha mapenzi kudumu,as long as kila mmoja anazijali hisia za mwenzake.[emoji124]
Mama yangu anahusika vipi hapa mbona unakuwa kama hutombwi
Ndomaana nikasema, as long as kila mtu anajali hisia za mwenzake, pesa ni kichocheo kizuri Cha mahusiano kudumu.Money is not everything in love affection aisee, ujue Kuna watu Wana hela Ila hajali mtu wake, Hana heshima unafikiria yatadumuje, ukiona mtu amedumu ujue hao watu Wana chemistry na wanaelewana vizuri na kila mtu anamjua mtu wake udhaifu na strethgh zake Ila kusema hela tu ifanye penzi lidumu hapana kwa kweli
Wanaume msio na hela huwa hamjiini, mko inferior hata mkigombana kiubinadamu mtaona tu vile Sina hela na mnakuwa bitter, stressed na hzo stress mnahamishia kwa wapenzi wenu,ndio maana mnakimbiwa ujue stress huambukizaSasa tatizo tukikosa hela, tukawa na mapenzi ya kweli pekee mnatunyanyasa Sana nyie [emoji23]
Sasa kwa nini umemuonea wivu malaya mwenzioNdio na Mimi ni Malaya una swali lingine?
SureNdomaana nikasema, as long as kila mtu anajali hisia za mwenzake, pesa ni kichocheo kizuri Cha mahusiano kudumu.
Sijamuonea wivu I was just commenting my opinion why should I feel jealous for someone using her body, chah don't take these comments personal my dearSasa kwa nini umemuonea wivu malaya mwenzio
Mimi nashangaa wanaovulia chupi Hadi kumzalia watoto kabisa I thought zari was smart enough kumbe na yeye walewale tu anakuwa umri tena kamzalia chap chap ili amkamate, tena Bora sikuhizi huyo diamond kiki zake za wanawake na kuzalilisha watu wamezichoka na kuona kawaida.
Na hao wanaume wanafikiria pesa ni kila kitu kwetu sisi wanawake wanakosea Sana life is more than fame and money
. cariha I love you[emoji7][emoji7]can you be my girlfriend...Sijamuonea wivu I was just commenting my opinion why should I feel jealous for someone using her body, chah don't take these comments personal my dear
Sio Mimi Sasa 😂😂Wanaume msio na hela huwa hamjiini, mko inferior hata mkigombana kiubinadamu mtaona tu vile Sina hela na mnakuwa bitter, stressed na hzo stress mnahamishia kwa wapenzi wenu,ndio maana mnakimbiwa ujue stress huambukiza
Kijana umekuja juzi unataka kuingia vina virefu?. cariha I love you[emoji7][emoji7]can you be my girlfriend...
I loved u since day one don't hurt my feelings this is my heart's deeply message to you
Hivi haya unayosema ni kweli au mnatuenjoy tu jamaniMapenzi ni zaidi ya mikazo, hata ukinikaza nikakazika then una tabia zako chafu, matusi, dharau na hauna heshima kukupenda ngumu sana
Wewe mjinga kweli Toka lini opinion zikawa wivu usinichoshe na ujinga wakoSasa kwa nini umemuonea wivu malaya mwenzio
Jidanganyeni hivo hvoTulia wewe...!! Mwanaume ukiwa na helaa umemaliza kila kitu...
Jamani jamani wakupendwa nitakuwa mie kweli, eti I loved you since day, I'm truly happy if you love me. cariha I love you[emoji7][emoji7]can you be my girlfriend...
I loved u since day one don't hurt my feelings this is my heart's deeply message to you..
Everytime I see your texts its like I'm seeing you on my eyes[emoji7]