Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Woman's pride wapi mzee huyu manzi me huwa namtrack kwenye nyuzi kibao anaponda wanaume watafutaji leo kaja kivingine kuwa eti diamond sio type yake.... Sasa najiuliza yeye type yake hasa ni ipi.

Maaana wanaume watafutaji anakwambia hawafai, haya diamond ana hela nae hafai... So yeye type yake ni ipi, au ni lesbian huyu dada....?!
 
Hahaaa uongo wangu una daganya ili iweje umeshindwa hoja for ur information sio mwembba nimejaliwa neema za Allah, na shape nzuri sijisifii kabisa inshort nimeumbika kuliko ukoo wenu acha kudaganya humu JF,hoja ijibiwe kwa hoja
Hahahaaa, mimi nilidhani unajisifia kwa u brightness wako, kumbe unajisifia kwa msambwanda......

Yale yale, ukiona mwanamke ana msambwanda mkubwa ujue kichwani empty minded

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
So unajua salio la account ya diamond now....?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nilijue ili iweje sasa maana wasanii wengi show off to, Kuna watu wanajulikana kwa hela na biashara ka kina baharesa na hawapigi kelele, and it's normal
 
Hahahaaa, mimi nilidhani unajisifia kwa u brightness wako, kumbe unajisifia kwa msambwanda......

Yale yale, ukiona mwanamke ana msambwanda mkubwa ujue kichwani empty minded

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Sijajisifia nilikuwa natoa clarification jua Basi kutofautisha Mambo alla, unajua maana ya kitu full package?
 
Njoo kwangu sasa mamy! achana na jeje.Mi sina hela kihivooo ila mi ndiye The Man
 
Kwanza kabisa namshukuru kwa matusi uliyotoa hapa tunachoongea mapenzi ni pesa huo ndio ukweli wenyewe hata huyo Lulu anadate na Nani utapata jibu sio lazima kila demu ampende as personally ila anweza kumpenda kwasababu ana hell kwa hapa bongo Ni ngumu kwa mtu mwenye hela akataliwe labda tu huyo demu awe anajiweza hiv nikuulize Demu yupi anaweza akamtolea nje mo dewji?
 
Mbona unaandika out of topic kabisa umekunywa chai kweli?
I'm happy kumbe huwa unanifatilia naomba uletee sehemu niliyoponda watu wapambanaji don't project ur inferiority and ur insecurities towards what I wrote here in JF, it's my opinions as I respect urs, dude get a life
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha dah masikini. Unanikumbusha jamaa yangu m'moja kipindi tupo chuo mwaka wa tatu, alikuwa anasema yeye hata maisha yamgonge vipi, hawezi kuja kununua vibaby walker (tugali tudogo).

Tulipomaliza alinunua Nissan Xtrail. Alikaa nayo miezi sita tu... Sasa hivi hapa ninavyocomment anatumia Toyota Ractis.

So don't worry daughter of eve soon you will stop Hallucinating during the day
 
Mimi nilijue ili iweje sasa maana wasanii wengi show off to, Kuna watu wanajulikana kwa hela na biashara ka kina baharesa na hawapigi kelele, and it's normal
Kichwa chako kibovu, unataka celebrity a behave kama government official
 
Mwanaume anayejielewa with big understanding and big heart to carry and understand woman needs
Woman Needs= Money over everything

Hence; Money = Diamond platinum

To get to money = Kuwa na diamond

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Beib umeshindwa kabla hata haujaweka karata ya kwanza.....
 
Aah wewe! Kila demu anasemaga hivyo lakini mwisho wa siku domo anapiga shuti moja tu chalii
Tena kama huyu anapigwa upumbu huku unamtazama usoni namna mashine inaingia na kitoka na akiondoka unamwitia uber tu na hela ya vocha asepe.
 
hahahaaaaa, sasa sijui kwahilo atajielezeaje..
 
dah sikujua kuna wanaume wana mapenzi kama sio mahaba ya dhati kwa nasibu kiasi hiki, nadhani hata wapenzi wao hawawapendi hivi, kwa mahaba haya wanaweza hata kuwapa nasibu wanawake wao
 
Ila haupo sawa bi dada..... Aidha unapitia magumu au ulipotoka hakuna amani ndio unatoa sumu muda huu akilini.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…