Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Team wcb toeni ufafanuzi makonda alisema mahari tayari imeshatolewa kwa hiyo bibi harusi ni mimimars na kama sijakosea kwenye sherehe ya esma walisema harusi ya bwana nasibu mwezi 8 ila umeisha na kwa kauli ya lokole kasema harusi itakuwa wiki nzima
NB:Nasubiri ndoa nadhani itakuwa kwa Mkapa
 
Hiv kwa akili ya kawaida Diamond ataanzaje kumuacha salama hiv hiv tu kirahisi Mimi Mars?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…