Diamond amepiga marufuku nyimbo za Harmonize kupigwa Wasafi FM

Diamond amepiga marufuku nyimbo za Harmonize kupigwa Wasafi FM

Wasafi Tv ni muda kidogo lakini wasafi Fm toka Harmonize kaondoka kwenye lebo waliacha kupiga nyimbo zake.....Lini umesikia wimbo wa Harmonize wasafi hasa hizi za kwenye Album


Sent from my iPhone using Tapatalk
Nimesikia wimbo wa wife ft Jay dee
 
Mtoa mada kaingia choo Cha kike diamond hajawahi kulalamika kutopigwa ngoma zake Bali alitoa ufafanuzi kwanini hizo redio hawapigi nyimbo zake.

Diamond amekuwa akilalamika kupitia mameneja wake kila leo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kila kitu kina wakati wake, kwa sasa Diamond akalie kutangaza na kupromote nyimbo zake tu....kimuziki hana issue tena, kapitwa na watu wengi sana watoto.
Wangapi wamempita kimziki? Na ngoma zao zimefika wapi kushinda za mond?
 
Hapana haiwepo hivyo. Kwann wasafi wafosi kwa kiba lakini wasifosi kwa harmonize. Hivi msanii km Drake analetaga nyimbo wasafi mbn anapiga nyimbo zake.. Diamond ameamuwa kuwa Ruge na yeye.

Diamond na wasafi wameanza ujinga ambao wamekuwa wakiulalamikia lazima tuseme ukweli kabisa!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wewe umeongea bila kufanya research ngoma zake zinapigwa Ila sio Sana Jana tu kwenye kipindi cha shootout Cha wasafi tv ngoma yake ya uno imepigwa.
Unasema ngoma zinapigwa sio sana we unajua kipindi Mond analalamika kuwa nyimbo zake hazipigwi kwenye radio flani si zilikua zinapigwa ila sio sana halafu unasema umesikia kwenye kipindi hicho tu acha kutetea ujinga hao wote ni wasanii na sisi ndio wasikilizaji tunajua kabisa kuwa Mond hachezi nyimbo za Harmo basi mana yake ameshindwa kukwepa mtego wa mwenzie aliyekuwa anamlalamikia
 
Mimi naona Harmonize ndio mfalme mpya wa bongo flava kiba na mond muda wao umekwisha.
 
Clouds wakifanya haya mbona uwa mnawatukana ndiyo maana nasema aliyesema binadamu wote ni sawa alidanganya

Na hili ndilo watu tunasema kila leo na ndilo linashangaza kwanini Diamond anafanya ambayo alikuwa ana yalalamikia?


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Unasema ngoma zinapigwa sio sana we unajua kipindi Mond analalamika kuwa nyimbo zake hazipigwi kwenye radio flani si zilikua zinapigwa ila sio sana halafu unasema umesikia kwenye kipindi hicho tu acha kutetea ujinga hao wote ni wasanii na sisi ndio wasikilizaji tunajua kabisa kuwa Mond hachezi nyimbo za Harmo basi mana yake ameshindwa kukwepa mtego wa mwenzie aliyekuwa anamlalamikia

Tena muulize ni lini ameusikia wimbo wowote wa Harmonize baada ya kuhama lebo ya WCB? Tofauti ya Diamond na Kina Majizo .Regina iko wapi? Diamond alipost Album ya Harmonize akiipromote lakini hata nyimbo moja ya kwenye hiyo Album haijawqi chezwa wasafi!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Diamond hajapiga marufuku nyimbo ya msanii yoyote kuchezwa Wasafi Fm acha kupotosha. Harmonize ndio hataki nyimbo zake zichezwe Wasafi media wala hataki any interview na Wasafi. Tangu atoke Wasafi hajawai peleka nyimbo yake ipigwe pale Wasafi ndio maana unaona nyimbo za nyuma zipo zinapigwa sana tu.

Kuna wasanii wanataka kuitia ubaya Wasafi media so wanazuia kiaina content zao ziende pale mwingine ni Kiba, sema kwa Kiba Wasafi wameamua kufosi tu ili kuondoa picha ya ubaya.

Nasikiliza wasafi 24/7 hakuna nyimbo ya Harmonize inapigwa. Iwe ya zamani akiwa WCB au hizi mpya, HAKUNA.
Unforgetable
 
Alaf kuna mtu anakuja aseme mawingu Ndo wanapenda bifu na kina jeje

god is good

Nikishawai kusema watu wengi wanalaumu Clouds kwakuwa hawakuwai pata nafasi ya kuwa kama Clouds....wamiliki wa E-Fm nao walikuwa wanapinga wasanii kutopigiwa nyimbo zao lakini aliposhika mpini wakawa wabaya zaidi ya Clouds na sasa Wasafi Fm imeshakuwa Clouds iliyokuwa ina lalamikiwa kila leo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Na Sku izi Namsikia Komando J kwa Mawingu tena Karudi kwa Kasi ya Corona

Clouds ni watu wa Amani na upendo wasanii wengi wakiwemo Diamond ndio wamewakataza kucheza nyimbo zao....


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kwani Wasafi Media ni mali ya Diamond?
Mimi najua ni mali ya Kusaga, ama iko tofauti?
 
Back
Top Bottom