Mkuu hiyo lugha yako siielewi kabisa. Nini shida?ππππ ππππππππππ πππππππ πππππππππ πΌππ πππππ ππ πππππππ πππππ ππππππππ, π³πππππ ππππππππ ππ ππππππ ππππ πππππππ ππππππ πππ πππππππ ππππ ππππππ.
π΅πππππππ π ππππ ππππππ πππππ, πππππ ππππππππππππ/ππππππ ππππ ππππ πππππππ π πππππππππ ππππππ ππππππ πππππ ππππ, πππππππ πππ ππππ πππ.
π²πππ ππππ πππππππ ππππ ππ πππππ ππππ ππππ, πππππππ πΌππ ππππ ππππππ πππππππππ ππππππ ππππππ ππ πππππππ, ππππππ ππππ ππππππππππ ππππ ππππ ππππ ππππ ππππ πΎππππ
MmmmmmmmmhNikwambie tu mkuu,Kila kitu Ni nyota Kama nyota yako haijachezewa kufanikiwa Ni jambo rahisi
Mkuu nyota isipochezewa kumbe mafanikio ni kugusa tu??? Kwamba kila utakachofanya kitanyooka na kuleta matokeo makubwa?Ukweli unaouma ambao wengi wao humu hawaufahamu, au wanaufahamu na waliwahi kuusikia lakini hawataki kukubaliana nao.
Utajiri wa kidunia una majuto, Ule usiotokana na Mungu.Bora uishi kwa raha duniani ufe uende motoni.
Kuliko kuishi masikini kufa kwenda motoni kwa uzinzi usengenyaji, dhuluma nk
Amina
Yeah yeah [emoji119][emoji23][emoji23]Aache unafiki na cheap popularity siyo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]We kijana wa maso hapo Mwalimu Nyerere Dr wa Kaliua iua umeanza kuwananga watu wakati ndo kwanza upo chuo Maso mwaka wa pili
Mara ya kwanza nimeenda kwa Mtaalam, kabla hajaanza kunitibu akamwomba Mungu kwanza.Una uhakika ni Mungu ndiye kampa? Una uhakika? Kwa herufi kubwa.!
Kwamba muungu wa Mtaalamu ndiye Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi?Mara ya kwanza nimeenda kwa Mtaalam, kabla hajaanza kunitibu akamwomba Mungu kwanza.
Kwahiyo haijalishi alivyopata ila Mungu atakuwa alivibariki.
Mungu anasema "Nitabariki kazi ya Mikono yako"
Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama Naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawa na Diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Kwa paula mbali sana huko tuanzie kwa gigy money tu hapo.Vipi anafikia utajiri wa paula mtoto wa pfunk?
Mkuu ukumbuke alichonacho Diamond ni kipaji. Sikatai, ni kweli hadi kufika hapo alipo amepambana na kujitahidi kuwa na discipline. Ila sasa nikuulize mkuu Je wote twaweza kuimba??Ni aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama Naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawa na Diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Nimeelewa ahsanteeSasa ww hivi ukiambiwa kinyume chake kwamba Diamond unayedhani ni tajiri ila sio tajiri utaamini au unaamini kile unachosikia kwa watu hii dunia ina mengi kijana,kumbuka kuna watu ni matajiri ila hawajapata vijana wajanja Diamond kapata tajiri afu yeye kawa mjanja umeelewa?
Sawa Mkuu, ila kumbuka kuna watu wameajiriwa naye na wanatoa sadaka zao siku za Ibada.Kwamba muungu wa Mtaalamu ndiye Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi?
Usijifariji, muungu wa Mtaalamu ndiye yule maandiko yamemwita muungu wa Dunia hii, na huyo ni Ibilisi na shetani.
Kama ilipata Mali fake kupitia mganga, uwe na HAKIKA umebadilishana na shetani Roho Yako na ukapewa utajiri fake.
Kutoka huko, kubali kupoteza Mali fake zote ulizopata Kwa uchawi, la Sivyo, endelea na uchawi wako.
π π π πWe najua una umri sawa na jini Halaand wa man city, vipi unafikia hata utajiri alionao house girl wake