Diamond anafanya biashara gani?

Kuna tetesi partner wake bi Zari pamoja na mumewe waliotengana walikuwa wakifanya biashara ya unga. Sasa sijui kama waliacha au vipi. Lakini naona huu mchezo umekuwa mkubwa hapa Tz. Wauza unga wanakuwa karibu na wasanii, alafu fedha za unga zinakuwa zinatakatishwa kana kwamba zinatoka kwenye mauzo ya wasanii hao n.k Aina hii ya Money Loundering naona iko juu sana.
 
Msisahau kwamba Mwandishi anaishi Dar
Na Dar ndio story zenu Kujadilia watu wenye mafanikio na kuomba wafilisike.Baadhi yenu lakini.

Maisha wakati unasoka watu hawakuangalii,ila muda umeotumia ku struggle pia watu hawauoni.Ila ukipata mafanikio tu basi utasikia watu aaahhh amepata hela juzi tu tena ghafla,sijui hata imeuwaje

Leo hii imefikia kwamba kila msanii mwenye mafanikio Dar basi ni muuza Unga
Na hii mentality imekaa kwenye vichwa vya watu,badala ya kufanyakazi na kujituma kwenye biashara wamekalia majungu tuuuuuuuuuu.Watu wanatoka Bush au Mkoa wanapiga hela wanasepa watu mnaendelea na majungu yenu.

Kama mwandishi ameshindwa kujipanga juu ya hili,hao wana jiji sijui vichwa vipoje.

Eti anadi mali zake.Kwani wewe mkeo hadi akuambie kila kitu?
Diamond ni Brand nyingie kabisaaa,aachweeeee
 
Kwa makala hio inadhihirisha umbumbumbu au ukanjanja FIRST CLASS wa mwandishi huyo wa gazeti la Raia Mwema.

Mwandishi gani ambae kwa dunia ya sasa unajua eti chanzo kikuu cha fedha kwa mwanamuziki ni mauzo ya album?? Hajui kama kuna mauzo ya ringtones, tours za kimuziki ambazo ndio zinalipa zaidi, matangazo ya kibiashara kutoka makampuni mbalimbali n.k

Ni dhahiri shahiri kuwa mwandishi ni mburula kwenye nyanja ya muziki na sanaa kwa ujumla..!!
 
-Kuuza Ringtones???? Statistic zipo???
-Kapiga show nyingi???? Statistic zipo???
-Endorsement Voda,Coca-Cola,GSM? ??? stats zipo??
Je hizo show alizopiga kuanzia 2009 za mil10 hadi sasa zinaweza kumpa mabanda yote hayo? Je nidhamu ya fedha ndio hiyo ya kufanya bday ya mil90? Kumbuka pia kuna fela,suka,tale na sallam ukiwaacha dancers na groupies.
 
Venye wivu wajinyonge sana {wenye wivu wajiinyongeee}
 

Kamw kanzu haifanani na dera [emoji23][emoji23]
 

Unajua kaka tusimlaumu mwandishi bure. Anatafuta wanae waje kula. Cha msingi akae na afikirie tuu utumbo wenye maana.
Japo unaona huu kidogo hauelekei ila kuna mijitu imeshasimamia kwato za ngurue na kuamini
 
Reactions: tyc


Kwa kifupi tuu wanakofosi liwe haliwezi kua. Baada ya wao kujaribu kila mbinu kutoka imekua ngumu sasa wanaoaka ili wote tubaki huku huku chai na kitumbua. Ndo wabongo tulivo
 

Nimekuja kugundua kuna watu wanataka uwe chini tuu kila siku. Ili waseme flani mvivu flani hajiongezi flani hafikirii.... Ila ukipata badala ya kuja kukusuport na kukuuliza umetoboaje ili na wao wapae kama wewe, basi wataanza kubeza na kuchafua saabu tu umefanikiwa
"YE NI MTI WENYE MATUNDA, MILELE HAOGOPI KUPIGWA MAWE"[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
 
Si unajua ni mwanamziki wetu nyota pia yuko karibu sana na Kinje.
Kama Bado hujasingiziwa wewe ni shoga au una ukimwi, au unauza unga au unatembea na mke/mme wa mtu basi bado huna pesa au jina au vyote
 
Nategemea waandishi wa hizi habari ni wasomi either wana Masters, Degree or Dip.

Nasikitika kuona mwandishi anatoa hoja isiyo na utafiti wa kisomi, kumvutia msomaji.

Waandishi wa sasa msidhani elimu ya darasan tu inatosha kupima idea za hoja zenu mnazotuletea.

Nategemea kuona waandishi mnafanya taaluma kulingana na mabadiliko ya technology. Huwezi kumpima msanii wa sasa kwa kulinganisha na wa mwaka 2005 or back, mziki wa sasa sisi wa kuuza albamu kama fikra za huyu mwandishi.
 
Hahaha! Hata bakhresa kuna watanzania kobao hswajui kuwa ana kiwanda cha ngano zambia
 
Haya mamizikiziki anayotoa kila uchao, yapo katika mfumo gani? Inamaana hayamwingizii kipato chochote?
Kwa hiyo, mapato katika tasnia ya muziki hutokana na mauzo ya albamu pekee?
Mbona unatuchanganyia habari nawee nae?
 
Mkuu hao Wanigeria wasiojua umiliki wa kiwanda cha Cement cha huyo Tajiri wa Africa labda wale wasiokuwa na mitandao ya kijamii.Especially wale waishio Kwa Mtogole ya Lagos. Ila sio wale wanaofuatilia latest news every time.
Hivi una taarifa Bahresa ana kiwanda Rwanda?
 

Ngada
 
tuache uvivu wa kufikir... album hazilipi.... ela zipo kwenye tour, matangazo, shows...... jamaa sehem zote yuko vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…