Diamond anafanya biashara gani?

Tuache utani maisha ya diamond hayalingani na kipato chake..... Biashara ya Pablo Escobar na El Chapo inahusika hapa
 
Anafanya biashara ya muziki
Kwa hiyo unataka akifanya show akwambie ameingiza sh ngp....akiingia ubia na makampuni na penyewe aseme ampewa shi ngp

Kumbuka akifanya ivo mtasema ana show off za kijinga wa tz cjui tukoje
 
Piga majungu tu ukimaliza unywe chai na kiporo cha ubwabwa maharage ujiandae kujamba,mwenzio anafanya yake,mijitu.mingine bwana, wewe hujiulizi kwanini unaishi chumba kimoja AKA STOO na baba na mamaako huko shimo la udongo, unakalia majungu
 
Piga majungu tu ukimaliza unywe chai na kiporo cha ubwabwa maharage ujiandae kujamba,mwenzio anafanya yake,mijitu.mingine bwana, wewe hujiulizi kwanini unaishi chumba kimoja AKA STOO na baba na mamaako huko shimo la udongo, unakalia majungu
Acha kashfa wewe
 
Hivi una taarifa Bahresa ana kiwanda Rwanda?
Mkuu Bakhresa sio Rwanda tu hadi Zambia ,DR Congo huko kote ana viwanda vyake vipo so hata hiko cha Rwanda pia hiyo taarifa ninayo Labda uniulize Manji anakiwanda wapi siwezi kujua kwa kweli?
 
maandishi wa habari nae anajiuliza maswali wakati kazi yake ina mruhusu kufatilia kwa kina na kumuhoji muhusika.....otherwise makala kaiandika kwa majungu na kichochezi......makanjanja bado hawajisha.
 
Kwa hiyo unataka akifanya show akwambie ameingiza sh ngp....akiingia ubia na makampuni na penyewe aseme ampewa shi ngp

Kumbuka akifanya ivo mtasema ana show off za kijinga wa tz cjui tukoje
Watanzia wa Dar ndivyo mlivyo hasa wanaume
 
Ni wasanii wachache sana ambao wamewahi nufaishwa na albums hapa Tanzania na ni kipindi kilee cha nyuma kabla ya kukua kwa teknolojia kipindi ambacho ilikuwa ngumu sana kunyonya wimbo bure kutoka mtandaoni,kipindi hicho hata zile nakala chache zilizouzwa asilimia kubwa ya ingizo liliishia mfukoni kwa msambazaji(MAMU akiwa mnufaika mkubwa wa kipindi hicho).

Sasa hivi wamegundua njia ambayo angalau wanakula jasho lao nayo ni kutoa wimbo kuutangaza kisha kufanya matamasha mbalimbali.

Sasa kama mwandishi wa habari tena za michezo na burudani anashindwa kugundua jambo jepesi kama hilo sijui inakuaje!
 
huyu mwandishi uchwara,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,jamaa anafanya matangazo ya hela ndefu,anapiga shoo,ana mke tajiri n.k
 
huyu mwandishi uchwara,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,jamaa anafanya matangazo ya hela ndefu,anapiga shoo,ana mke tajiri n.k
Mwandishi ni kanjanja yeye anajua pesa inaingia kwa kuuza albamu tu, hajui kwamba digital system ndo inaingiza pesa nyingi mfano
- youtube views unalipwa
- miito kwenye simu unalipwa
- mirabaha nyimbo ikipigwa redioni hasa nje
- kufanya shows
- kufanya matangazo
- kuwa balosi wa kampuni
Vyanzo ni vingi sana ambavyo mwandishi hajui
 
"WANAJENGA MAJUNGU MI NAJENGA VIBANDA" - Platinum a.k.a Baba Tifa.
Unakunywa bia gani.??
Eti wanauliza anafanya biashara gani?...jina lake tu tyr biashara tosha...
Wajaribu kumkodi akawapigie kwenye harusi zao km saida karoli wanavyomfanya[emoji13] [emoji13]
Wamjaribu akawatangazie magazeti yao ....
Watamlipa sh ngapi....km hawajachemka
Majungu majungu tu
 
Huyu naye ni mwandishi? yani akili yake ameiaminisha msanii kupata hela hadi auze album, huyu ni mwandishi hewa.
Waandishi wengi wa siku hizi ni failure...yn anaenda uandishi tu coz hana marks za kusoma advanced level...so bora akasome kicetificate Dsj...tsj
 
watu bongo hii hii hawamjui Mo Dewji, uyo dangote mwenyewe naigeria huko kunawatu hawamjui pia acha kujua biashara zake.
 
Mwandishi ana uwezo mdogo wa kufikiria, watu wanauza nyimbo sio ablam tena siku hizi
 
watu bongo hii hii hawamjui Mo Dewji, uyo dangote mwenyewe naigeria huko kunawatu hawamjui pia acha kujua biashara zake.
Mkuu kama ulinisoma vizuri sidhani kama kuna haja ya kuendelea na huo mjadala. Huyo asiyemjua Mo kwa hapa Tanzania labda kwa wale waishio vijijini na tena hawafuatilii habari ya aina yoyote ile. Kwa wale waishio mijini hata kama hawajamuona kwa sura ila habari zake watakuwa wanazijua.
 
Kuna kitu kwenye hii makala ambacho mwaandishi hajakifafanua tusiishie kusema mwaandishi hajui kama album hailipi,hata yeye amesema kuwa kuna vyanzo mbalimbali ambavyo vinaweza kumpatia msanii hela na pamoja na show.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…