Diamond anakosea sana...

Diamond anakosea sana...

Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Huyo mamaake diamond hajielewi au umaarufu na pesa vimempofusha kias kwamba kawa kiazi sanaaa sasa Diamond nae kawa kiazi zaid kwa kushikiwa akili na mamaake wakati ni mwanaume mtu mzima
 
Anadai msaada Kama Deni!!! Kwani uchungu was mzazi nao upo?akikupa shukuru,asipokupa shukuru...hao wore waliotusomesha wangeshika bango Kama Abduli mbona tungekoma.
BTW una watoto4,Kila mmoja na mamaake!hiyo pia ni ila.
Huyo Mzee shida yake ni Chakula na matibabu tu,sizani Kama anadai Mambo ya hanasa Kama Magari ya kifahari kutoka kwa Mond!!?
 
Kwa kweli mzazi ni mzazi tu, Simba alitakiwa asimpotezee kiivyo mzee wake, alitakiwa amwezeshe hata laki 3 au laki 5 kila mwez kupoza ugumu wa maisha. Badala yake Anko kaja juzi tu anafaidi kila kitu yani kwa maza penzi na kwa mtoto matumizi.
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Mkuu mimi ni mwanamke mwenye 60+ katika kuishi kwangu nimeona matukio mengi sana ya kina mama wanapo gombana na wenza wao kazi kubwa wanayo fanya ni kuotesha chuki kati ya baba na watoto wake, hasa kipindi watoto wakiwa bado wadogo, kwa hivyo watoto wanajua baba ni mtu mbaya na asiyefaa!! Kwa hili, bi Sanura amefaulu, ila Nassib kama ana akili anatakiwa atambue kuwa mama yake ana walakin. Amtambue mama yake kama mwanamke mwenye ndimi mbili. Ulimi mmoja unatamka Abdul, na mwingine unatamka Nyange!!! Jambo la kuchekesha Abdul alitamkwa tangu akiwa mdogo, utu uzima anatamkwa Nyange!!!
 
Mkuu mimi ni mwanamke mwenye 60+ katika kuishi kwangu nimeona matukio mengi sana ya kina mama wanapo gombana na wenza wao kazi kubwa wanayo fanya ni kuotesha chuki kati ya baba na watoto wake, hasa kipindi watoto wakiwa bado wadogo, kwa hivyo watoto wanajua baba ni mtu mbaya na asiyefaa!! Kwa hili, bi Sanura amefaulu, ila Nassib kama ana akili anatakiwa atambue kuwa mama yake ana walakin. Amtambue mama yake kama mwanamke mwenye ndimi mbili. Ulimi mmoja unatamka Abdul, na mwingine unatamka Nyange!!! Jambo la kuchekesha Abdul alitamkwa tangu akiwa mdogo, utu uzima anatamkwa Nyange!!!
Nikweli..aisee hii ya wazazi wakike kuwajaza chuki watoto...Anaweza akawa tu analalamika na kusema vibaya kuhusu baba kwa hisai zake... yaani anakulalamikia ili atoe dukuduku lake rohoni...but unachukia mamayako anavyolalamika unamuona baba yako mkosefu Sana...na Unamchukia..
 
Ukiwa serious na mambo ya ile familia utapagawa uzur diamond huwa yuko kimya na hilo swala wala hasemagi lolote.
 
Ama KWELI mtoto hachagui mzazi..na mzazi hachagui mtoto..
Ila mwanaume au mwanamke anachagua "mtu atakae zaa na kulea nae"..
 
Kwenye hili hatuna lakufanya ilatulio nnje yafamilia hii tutumie kama funzo mama akiamua kujenga chuki kwamtoto nihatari
 
Malezi ya mzazi mmoja mtoto huwa analaumiwa bure tu baadae.Tena afadhali hata mzazi mwenyewe awe baba ila akiwa mama maneno ambayo atamjaza mtoto unaweza dhani huyo baba ni mbadala wa shetani,yani unaweza hisi hakuna mtu mwenye dhambi kama huyo baba.Ndo haya yanayomtokea jamaa na bahati mbaya sana kwake yeye Mama yake ndo Kila kitu,anaona heri akwaze dunia lakini si Mama yake na yuko sawa tu.
 
Huyo mzee hakuwahi kupata mtoto wake wa damu? Na je,tuna hakika hakuwahi kumtenda jamaa alipokuwa mdogo kisa kamkuta/so damu yake? Ya Ngoswe!
 
mzee ashatoa ushauri wa bure kua TUNZA SANA UTAJIRI WAKO, itafika siku mondi nae ATAFULIA na ataambiwa akina tiffah, na wengine sio watoto wake ndio apo atapoita maji MMA...
 
Baba d kasema aliondoka akawaacha. Sasa si aliondoka anataka iweje Tena mtoto ndo anaanza form one??
 
Huyo mzee hakuwahi kupata mtoto wake wa damu? Na je,tuna hakika hakuwahi kumtenda jamaa alipokuwa mdogo kisa kamkuta/so damu yake? Ya Ngoswe!
Binafsi mimi pia najiuliuza, ina maana Mzee Abdul kakaa na huyo mama tangu Diamond mtoto mdogo mpaka amekuja kuachana naye Diamond yuko Form one hawakuwahi kuzaa kabisa ??
 
Inastosha tu kulea mimba ya mama yake mpaka kuzaliwa jambo la kushukuru. Kama mbaya baba yake ambaye hata mimba tu hakulea na huyu Uncle Shamte ambaye kamkuta mama anavipesa unadhani huyo Shamte angemtaka huyo mama kama hana kitu. Heshima kwa mzee Abdu alikpokea mimba, mpaka Hosp kuzaa, kampa jina hayo mapungufu mengine sio muhimu.
 
Huyo Mzee shida yake ni Chakula na matibabu tu,sizani Kama anadai Mambo ya hanasa Kama Magari ya kifahari kutoka kwa Mond!!?
Ningekuwa mimi ndio huyu mzee sichukui na wala sitaki shillingi, pesa sio kila kitu heshima bwana kumwita tu baba mtu anafurahi au kumpigia simu tu baba vipi hali sio kila kitu pesa na mbaya zaidi huyu mama kamfanya yule Queen Darlin kama sio mtoto tena ambaye amekuwa na Diamond wakijuwa ndugu baba mmoja kamtafutia ndugu mpya Momo. Mama mtu mbaya sana hafai hata bure.
 
Back
Top Bottom