Diamond anakosea sana...

Diamond anakosea sana...

Kwa kweli mzazi ni mzazi tu, Simba alitakiwa asimpotezee kiivyo mzee wake, alitakiwa amwezeshe hata laki 3 au laki 5 kila mwez kupoza ugumu wa maisha. Badala yake Anko kaja juzi tu anafaidi kila kitu yani kwa maza penzi na kwa mtoto matumizi.
Daah...huku anagonga huku anakula?
 
Kwakweli diamond akikaa kimya atakuwa ni mjinga. Huyo mzee ameishi nae no matter what ilobidi ampe heshima hata kama mtu baki.kitendo kwa alixhawahi kuishi nae wakala kama baba na mtoto hiyo yatosha.

Sijawahi ona mwanamke mwenye roho mbaya kama mama diamond. Pesa zinafanya watu wawe mashetani.
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Bro yule simuiti mzee ni mdingi tu tunakaribiana miaka chochote analilia anastahili wamemvunjia heshima sana,
You can imagine Diamond sijui nani kamuacha babaake hata wa kumlea analipa bili kwa yule fala tu sijui nani sijui tabata Sijui katoka Ilala akamle kiboga mamaake. Limama ndo hili linaropoka utumbo huku mtandaoni
 
Jamani Wanawake kumbe ni Viumbe hatari sana! Wanaume ukipata mashaka na Mtoto wako,chukua nenda kimyakimya pima DNA alafu kaa kimya na Majibu yako kichwani!!
DNA yeyewe kwenye hii maabara iliyopima papai na kulikuta na virus vya corona?
 
Malezi ya mzazi mmoja mtoto huwa analaumiwa bure tu baadae.Tena afadhali hata mzazi mwenyewe awe baba ila akiwa mama maneno ambayo atamjaza mtoto unaweza dhani huyo baba ni mbadala wa shetani,yani unaweza hisi hakuna mtu mwenye dhambi kama huyo baba.Ndo haya yanayomtokea jamaa na bahati mbaya sana kwake yeye Mama yake ndo Kila kitu,anaona heri akwaze dunia lakini si Mama yake na yuko sawa tu.
Ni kweli mkuu hizi situation zinakwaza mno hawa wanawake ndio mama zetu lakini ndio mashetani wakubwa wanaweza kukupandisha au kukushusha muda wowote usipokuwa makini kwenye haya maisha.
 
Maisha ya watu yanasiri kubwa sana mkuu usiingilie. Kuna mshikaji wangummoja alifariki miaka ya nyuma na alikuwa na uwezo mkubwa tu. Lakin kwa mwaka ananunua nguo 2 tu mpya tulikuja kugundua baadae jamaa alikuwa wazee wa swanga kwake.
 
Tusiwe wepesi wa kusahau mambo kirahisi,tambua yakwamba mpaka haya maneno kufikia hapa tayari diamond ameplay part kubwa sana kwa mzee Abdul,kisha msaidia sana mpaka matibabu yake ya miguu.
hela ya kula hakuikosa toka lwa mondi.Tatizo ni pale mzee abduli alipotaka haki sawa na mama dangote,yaani kama mama diamond akipewa nyumba basinae apewe,akinunuliwa gari nae apewe

,kutwa kucha mzee abduli alikuwa hakauki interviews mbalimbali akionyesha masikitiko yake kwa umma.sasa ndio maan mama dangote kaamua kumwaga hata zile mboga alizokuwa akipewa mzee abduli.
Binafsi siwezi mlaumu diamond.
 
Kama baba yake alimkataa Diamond kama mtoto wake basi kila mmoja ashinde amechi zake.Diamond atakuwa anaendeleza tu pale baba yake alipoishia.
 
Swali jingine la kujiuliza, je walikuwa na mahusiano mazuri ya baba na mtoto kabla Diamond hajapata pesa na umaarufu?
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Nilikuwa natafakari uliyoandika, nikakuta kuna like 30 zimegongwa, na mimi nagonga yangu
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Hili tukio linashabihiana na nyimbo ya Stamina Ft Prof Jay.
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Diamond + management team yake + wasafi.. ni wapumbavu sana kweli hili jambo.. na kama wote wama mshambulia mzee Abdul. Mungu atawalaani wanavyo mnyanya mzee wa watu kisaikolojia
 
Mkuu mimi ni mwanamke mwenye 60+ katika kuishi kwangu nimeona matukio mengi sana ya kina mama wanapo gombana na wenza wao kazi kubwa wanayo fanya ni kuotesha chuki kati ya baba na watoto wake, hasa kipindi watoto wakiwa bado wadogo, kwa hivyo watoto wanajua baba ni mtu mbaya na asiyefaa!! Kwa hili, bi Sanura amefaulu, ila Nassib kama ana akili anatakiwa atambue kuwa mama yake ana walakin. Amtambue mama yake kama mwanamke mwenye ndimi mbili. Ulimi mmoja unatamka Abdul, na mwingine unatamka Nyange!!! Jambo la kuchekesha Abdul alitamkwa tangu akiwa mdogo, utu uzima anatamkwa Nyange!!!
Diamond + management + family + wasafi.. akili zina matope, ni kama wameanzisha vita na mzee Abdul.. wana mshambulia na kumzalilisha bure. Maskini hashambulii tajiri, na ukiona tajiri anamshumbulia maskini, ujue lengo lake kubwa ni udhalilishaji
 
Baba d kasema aliondoka akawaacha. Sasa si aliondoka anataka iweje Tena mtoto ndo anaanza form one??
Mama aling'ang'ania mtoto, baba akaona isiwe tabu niondoke. Huwezi ishi ma mtu anaenda tomb.wa nje anarudi asubuhi hiyo ni dharau
 
Diamond + management + family + wasafi.. akili zina matope, ni kama wameanzisha vita na mzee Abdul.. wana mshambulia na kumzalilisha bure. Maskini hashambulii tajiri, na ukiona tajiri anamshumbulia maskini, ujue lengo lake kubwa ni udhalilishaji
Ingia kwa dada wa Taifa utaelewa kwa nini wanatumia nguvu kubwa?

Issue ni kulizima soo la Esma madawa ya kulevya na ujambazi.

Dada wa Taifa hajawahi kutuangusha.

Hawa matapeli kumbe wanatumia nguvu kubwa ili kuficha skendo la Esma watu wasahau.

 
Back
Top Bottom